loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
😄😄 We jamaa unafurahishaga sana.R.i.P Classmate...😪
Ila imekua ghafla sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄 We jamaa unafurahishaga sana.R.i.P Classmate...😪
Ila imekua ghafla sana..
NIKUELIMISHE KIDOGO...Ugonjwa gani hata madaktari kwenye microscope hawajui wanaangalia nini kuutambua!?,.
Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.NIKUELIMISHE KIDOGO...
unahitaji eneo lenye negative pressure kuweza kupima huu ugonjwa ,ukipima kama ugonjwa mwingine utasababisha maambukizi zaidi na kuenea, nyenzo kwenye upimaji ni Glovebox yenye inatengeneza mazingira rafiki na kupunguza chance ya kueneza ugonjwa , au mazingira rafiki kama BSL3 LAB ,,
Umeinyaka kijiwe gani mkuuUnayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
Hata UKIMWI ni hivyo hivyo. Ni ugonjwa kwa ajili ya watu wajinga duniani (gullible people)Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
😂😂😂 dah too sadUnayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
Labda madeniMwingine kafariki huku ghafla haijulikani kimemuua nini