Mtu mmoja kati ya Wawili waliobainika kuwa na ugonjwa wa Marburg afariki Kagera

Mtu mmoja kati ya Wawili waliobainika kuwa na ugonjwa wa Marburg afariki Kagera

Ugonjwa gani hata madaktari kwenye microscope hawajui wanaangalia nini kuutambua!?,.
NIKUELIMISHE KIDOGO...
unahitaji eneo lenye negative pressure kuweza kupima huu ugonjwa ,ukipima kama ugonjwa mwingine utasababisha maambukizi zaidi na kuenea, nyenzo kwenye upimaji ni Glovebox yenye inatengeneza mazingira rafiki na kupunguza chance ya kueneza ugonjwa , au mazingira rafiki kama BSL3 LAB ,,
 
NIKUELIMISHE KIDOGO...
unahitaji eneo lenye negative pressure kuweza kupima huu ugonjwa ,ukipima kama ugonjwa mwingine utasababisha maambukizi zaidi na kuenea, nyenzo kwenye upimaji ni Glovebox yenye inatengeneza mazingira rafiki na kupunguza chance ya kueneza ugonjwa , au mazingira rafiki kama BSL3 LAB ,,
Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
 
Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
Umeinyaka kijiwe gani mkuu
 
Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
Hata UKIMWI ni hivyo hivyo. Ni ugonjwa kwa ajili ya watu wajinga duniani (gullible people)

Wizara ya Afya walikanusha hakuna Malburg kagera, siku chache baadaye wakapewa Bilioni 7.5 na W. H. O, siku chache baadaye akaja mkurugenzi wa WHO Tanzania mara Samia akatangaza kuna mgonjwa mmoja kagundulika!

Ni upumbavu mtupu
 
Unayohisi unanifundisha ni yale uliyoandaliwa ukaelekezwa uyakariri, Malburg ,COVID 19, Ebola, Monkey Pox etc, ni vitu vilivyoandaliwa maabara na wasomi ma professor wanaolipwa ela nyingi sana. Vipo , lakini vipo kimkakati zaidi. Mimi naongelea walioviandaa na sababu zake.., umewahi kujiuliza kwanini Ebola huwa ipo D.R.C tu miaka kibao!?,na malori,magari binafsi kila siku yanaenda Congo na kurudi lakini Tanzania, Zambia hakuna!?!?.., tatizo watu mnaamini yote mnayoambiwa na kusikia hamuendi nje ya box.
😂😂😂 dah too sad
 
Back
Top Bottom