Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
JamiiForums habarini.
Niandike kwa kifupi Sana. Katika somasoma yangu. Nimeona na kutafakari maandiko mbalimbali watu tunayoyaandika, MTU unayeandika maneno meeengi, Kwa kawaida unarudiarudia yaleyale.
Ukiwa unauwezo wa kuandika sentence chache ambazo hazimchukui msomaji dakika moja na nusu, yaani sekunde tisini, na akaelewa maneno na dhumuni lako, aka akapata ujumbe uliokisudiwa basi wewe Upo kwenye kundi la wenye akili timamu.
Nakaribisha comment fupi fupi na huu ndio ukweli wenyewe.
Niandike kwa kifupi Sana. Katika somasoma yangu. Nimeona na kutafakari maandiko mbalimbali watu tunayoyaandika, MTU unayeandika maneno meeengi, Kwa kawaida unarudiarudia yaleyale.
Ukiwa unauwezo wa kuandika sentence chache ambazo hazimchukui msomaji dakika moja na nusu, yaani sekunde tisini, na akaelewa maneno na dhumuni lako, aka akapata ujumbe uliokisudiwa basi wewe Upo kwenye kundi la wenye akili timamu.
Nakaribisha comment fupi fupi na huu ndio ukweli wenyewe.