Mtu mwenye akili timamu Maandiko yake ni mafupi

Sijawahi kumsikiliza mkenda lkn Kwa kweli nakubali Hawa ni watu wawili tofauti kabisa.
 
Nilifundishwa na prof mmj USA, alisema...Angalia wakati unahutubia...

Kagua idadi zile eeeee....eeeee....eeeee.

Yeye ndiye alituekeleza kutoa lecture dakika moja tu na ujumbe umfikie hadhira.

Mara kadhaa tylitunia hotuba za Barack Obama.

Jamani msimuone obama vile anafanya zoez takatifu... kabila ya hotuba yake . Hutumia kioo kijitazama wakati anahubiri, anatumia saa sekunde nk Kwa nn alikuwa anafanya hivyo. Niili ujumbe wooote uliokisudiwa umfikie msikilizaji, msomaji nk. Kwa TZ ingawa watu watakataa kwangu mie Ndg Mbowe ni mtaalamu Sana wa hotuba ibayobeba maudhui yote na hotuba zake zinakidhi makundi yote ya hadhira
 
Wenye akili timamu Kuna Jambo lenu huku
 
Mm naona Kuna mada nyingi kwenye thread moja... af mtoa Uzi mbona kama ume generalize kwa IQ yaani intelligence quotient ndio kipimo pekee cha utimamu wa akili ya mtu, hio sio.

Wengine Wana high IQ (intelligence quotient) lakini Wana low SQ (social quotient) ama EQ (emetional quotient).. zote zinaathiri personal presentation on the community.
 
wewe kila siku unaandika mchanga hawewe akili zako"""""""" ni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…