Mtu mwenye busara na hekima akinena wahusika wajitafakari na kunyumbulika akili

Mtu mwenye busara na hekima akinena wahusika wajitafakari na kunyumbulika akili

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu
Kwa maneno haya ya mtu mwenye busara alivyonena naomba wahusika wajitathimini na wanyumbulishe akili zao
 
Salama wandugu
Kwa maneno haya ya mtu mwenye busara alivyonena naomba wahusika wajitathimini na wanyumbulishe akili zao

Kipindi cha Magu wanaomwita sasa kuwa ana hekima walikuwa wanamwona hana hekima ni mlevi tu, na wale waliomwona ana hekima sasa wanamwona hana hekima.
Kweli duniani hakuna ubaya wala wema, na perception tu.
 
Kipindi cha Magu wanaomwita sasa kuwa ana hekima walikuwa wanamwona hana hekima ni mlevi tu, na wale waliomwona ana hekima sasa wanamwona hana hekima.
Kweli duniani hakuna ubaya wala wema, na perception tu.
Kwani haiwezekani awamu iliyopita alikuwa anatema pumba, then this time kabadilika anagawa punje!??? Unashangaza sana wewe unayedhani once good or evil always good or evil. Ninyi ndio wale jamaa mkiwaona ^akina Yuda & Iblis Bin Shetan ^ wameshikilia Misahafu, then mnatema mate, eti ^Kama fulani naye ataiona Pepo, basi hata mimi lazima!^ Hizo brain, kisaikolojia zinaitwa ^closed perception^ au ^fixed-mindset^ (akili boksi).
 
Kwani haiwezekani awamu iliyopita alikuwa anatema pumba, then this time kabadilika anagawa punje!??? Unashangaza sana wewe unayedhani once good or evil always good or evil. Ninyi ndio wale jamaa mkiwaona ^akina Yuda & Iblis Bin Shetan ^ wameshikilia Misahafu, then mnatema mate, eti ^Kama fulani naye ataiona Pepo, basi hata mimi lazima!^ Hizo brain, kisaikolojia zinaitwa ^closed perception^ au ^fixed-mindset^ (akili boksi).
Maana yangu ni kwamba, kila jambo lina angle mbili kutokana na anayelipokea. Kuna ambao sasa wanaona anachozungumza ni upupu na kabla alikuwa anazungumza point. Na kuna wanaona sasa anazungumza point hapo awali alikuwa anazungumza upupu.
Ndiyo maana nikasema duniani hakuna uzuri au ubaya bali ni maoni ya mhusika tu.
Kizuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwangu and verse versa is true
 
Maana yangu ni kwamba, kila jambo lina angle mbili kutokana na anayelipokea. Kuna ambao sasa wanaona anachozungumza ni upupu na kabla alikuwa anazungumza point. Na kuna wanaona sasa anazungumza point hapo awali alikuwa anazungumza upupu.
Ndiyo maana nikasema duniani hakuna uzuri au ubaya bali ni maoni ya mhusika tu.
Kizuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwangu and verse versa is true
Zama za magu alinufaika zama hizi wasionufaika ndo wapiga kelele.
 
Maana yangu ni kwamba, kila jambo lina angle mbili kutokana na anayelipokea. Kuna ambao sasa wanaona anachozungumza ni upupu na kabla alikuwa anazungumza point. Na kuna wanaona sasa anazungumza point hapo awali alikuwa anazungumza upupu.
Ndiyo maana nikasema duniani hakuna uzuri au ubaya bali ni maoni ya mhusika tu.
Kizuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwangu and verse versa is true
Hiyo ni assumption yako, unless ulete uthibitisho wa hao ^watu^ na maoni yao jinsi yalivyokuwa mwanzo, na mabadiliko yake sasa. Otherwise, uko kwenye kundi la walaghai.
 
Hiyo ni assumption yako, unless ulete uthibitisho wa hao ^watu^ na maoni yao jinsi yalivyokuwa mwanzo, na mabadiliko yake sasa. Otherwise, uko kwenye kundi la walaghai.
Yes ni mtazamo wangu kama ulivyo mtazamo wako juu yangu, ambao na mimi siukubali. Na umesema kundi la walaghai, ina maana lipo lingine ambalo unadai siyo la walaghai. So ni sawa umekubaliana nami kuwa kuna kundi linamkubali na lile linalomkataa.
 
Mheshimiwa Mbowe katoe sadaka ...................
 
Back
Top Bottom