Elimu ni Ufunguo wa Maisha.
Mtu Mwenye Elimu anatakiwa amuelimishe asiyekuwa na Elimu.
Ni Ujinga na Ubwege wa kiwango cha PhD pale Msomi anapoamua kuikataa Elimu aliyo nayo na kuamuwa kuwa Chawa, Msomi huyo huwa mjinga zaidi kuliko alivyokuwaga kabla ya kuwa na Elimu.