HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
mmh, haya manyoya ya bata mzinga.
Hawakulana ila wana mpango wa kulana kabisa, tena washawekeana ndimu, pilipili na kachumbari, waacha wakate hamu tu.
Yale yale ya binamu nyama ya hamu! Huyo dada afunguke!