Mtu nnayetamani kukutana nae Face to Face kutoka JamiiForums

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakufwa mm kama nawaona majini wakata kamba watakavyofurahi mpaka upate huruma ya mods ya uzi kufutwa watu wameshakujua
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Yani sipati picha wakunyumba.
 
Mweee mbona me sitajwii[emoji134] hamnipendi jamani? Naomba munipende km niliyo.
 
Ohooo mi ni mpole afu mkimya mnooo ukikaa na mie utaboreka ha ha ha japo najua hautaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…