Dah! Kujaribu kuhisi huyo espy eti anaweza kuwa sura ngumu kama chige itakuwa ni kumkosea kweli kweli manake itakuwa hata salamu njiani hazipati!Suala la kutamani kukutana na mtu anonymous kwangu hata siliwazii sana.
Yaani likija wazo la kwamba unaweza tamani kuonana na ID ya kike kama huyu espy unakuja kukuta kumbe ni mwanaume kama chige daaah, hapo hamu inakata kabisa[emoji23][emoji23]
Hata mnaotongoza PM mnajitahidi sana asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Abeeeh [emoji8][emoji8][emoji8]shunie
Asante mkuu one day yesKapeace
Hahahahahah nakualika kwenye ubatizoukweli mie kwa wanawake natamani kukutana na wanwake wale very charming !yaan wana kautukutu fulan hv !sipendag kukaa na mtu mpoleee ambaye haongei !yaan napenda kukutana na mtu ambaye tukiamua kucheka tunacheka haswa na ikiwezekana kufanya kaukorofi fulan mweee mweee !
Evelyn Salt ,espy ,demi ,kapeace Demiss ,Mzigua90 Dinazarde ,Madam Mwajuma ,MADAM T ,Heaven Sent ,Nalendwa ,Neybright
yaan hapa aiseee uwiii
Balaa tupu hapoYaani sipatii picha hiyo crew inakamilika paaap!! Nahisi nitaondoka mbavu zimekatika.
Mkuu upo sahihi kabisa kwenye kubisha,typing error hao jamaa hawajazionaKwa hiyo wewe unavyoelewa mmiliki wa JF anaitwa Max Macello?
BabySisi tuna nyota ya Mkaa..Kajisemea HS
Wewe ushaonana na wote humu sasa unataka uonane na nani tena?Sisi tuna nyota ya Mkaa..Kajisemea HS
Hapi nyu iya tu yu tuu mama.Balaa tupu hapo
Hapi nyu iya nisalimieni Heavensent jameni
Ujisalimiepo tu na wewe my ndugu, salamu from me. Hapi nyu yiaBalaa tupu hapo
Hapi nyu iya nisalimieni Heavensent jameni
Nimesalimika mama, namshukuru Mungu. Twa masiku?Hapi nyu iya tu yu tuu mama.
Heaven Sent umesalimika.
Nina uhakika huyo mwenye hilo eneo atatufukuza tu after kuona sura zetuukweli mie kwa wanawake natamani kukutana na wanwake wale very charming !yaan wana kautukutu fulan hv !sipendag kukaa na mtu mpoleee ambaye haongei !yaan napenda kukutana na mtu ambaye tukiamua kucheka tunacheka haswa na ikiwezekana kufanya kaukorofi fulan mweee mweee !
Evelyn Salt ,espy ,demi ,kapeace Demiss ,Mzigua90 Dinazarde ,Madam Mwajuma ,MADAM T ,Heaven Sent ,Nalendwa ,Neybright
yaan hapa aiseee uwiii
Yaani sipatii picha hiyo crew inakamilika paaap!! Nahisi nitaondoka mbavu zimekatika.
Tununu mama. Mith yuuu[emoji8]Ujisalimiepo tu na wewe my ndugu. Hapi nyu yia
Nimesalimika mama, namshukuru Mungu. Twa masiku?
Mith you too kwa kweliTununu mama. Mith yuuu[emoji8]
Msalimie mkwe, mwambie hajamalizia mahari hivyo asikufiche hivyo.Mith you too kwa kweli
Haha kasema anahofia mtampokonya mkeweMsalimie mkwe, mwambie hajamalizia mahari hivyo asikufiche hivyo.