Mtu nnayetamani kukutana nae Face to Face kutoka JamiiForums

Mtu nnayetamani kukutana nae Face to Face kutoka JamiiForums

Suala la kutamani kukutana na mtu anonymous kwangu hata siliwazii sana.
Yaani likija wazo la kwamba unaweza tamani kuonana na ID ya kike kama huyu espy unakuja kukuta kumbe ni mwanaume kama chige daaah, hapo hamu inakata kabisa[emoji23][emoji23]

Hata mnaotongoza PM mnajitahidi sana asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah! Kujaribu kuhisi huyo espy eti anaweza kuwa sura ngumu kama chige itakuwa ni kumkosea kweli kweli manake itakuwa hata salamu njiani hazipati!
 
Unaweza ukakutana na mkeo au mumeo au mtoto chezea mitandao ya kijamii[emoji23]
 
ukweli mie kwa wanawake natamani kukutana na wanwake wale very charming !yaan wana kautukutu fulan hv !sipendag kukaa na mtu mpoleee ambaye haongei !yaan napenda kukutana na mtu ambaye tukiamua kucheka tunacheka haswa na ikiwezekana kufanya kaukorofi fulan mweee mweee !

Evelyn Salt ,espy ,demi ,kapeace Demiss ,Mzigua90 Dinazarde ,Madam Mwajuma ,MADAM T ,Heaven Sent ,Nalendwa ,Neybright
yaan hapa aiseee uwiii
Nina uhakika huyo mwenye hilo eneo atatufukuza tu after kuona sura zetu
Yaani sipatii picha hiyo crew inakamilika paaap!! Nahisi nitaondoka mbavu zimekatika.
 
Kama ingewezekana ningetamani kukutana na Kiranga.
 
Back
Top Bottom