Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Hakuna mwingine. Nilitamani nikutane nae huyu,Mungu akawezesha. She is the best friend I ever have.Mbona umetajwa Hapo tayari
Anatumia uganguzi huyu jamaa....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mshana jr inabidi aitishe mkutano maana wengi tunamkubali
Mhhhh......[emoji45] [emoji45] [emoji45]Miss Natafuta [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Leo nimepata bahati mubashara tena mujarab kabisa.....[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Hahaaaaaa1. Mshana JR ila asije na vitendeakazi vyake (matunguli)
2. Bujibuji
3. Gentamycine
4. Alietoaga post inahusu kwa nini walimu wanavaa malonyalonya au oversize na ata akishona nguo mishono inakuwa ya kizamani Mfano. mishono ya Yondo Sister (jina nimemsahau) kiukweli japo siwajui ila natamani sanaaaaaaaaaaaa nionane nao.
Uchoyo huo
Mkuu.....1. Mshana JR ila asije na vitendeakazi vyake (matunguli)
2. Bujibuji
3. Gentamycine
4. Alietoaga post inahusu kwa nini walimu wanavaa malonyalonya au oversize na ata akishona nguo mishono inakuwa ya kizamani Mfano. mishono ya Yondo Sister (jina nimemsahau) kiukweli japo siwajui ila natamani sanaaaaaaaaaaaa nionane nao.
Mi apaEbu ngoja nisubiri atakae sema.....
Anatamani kukutana na mimi..[emoji101]
Naomba nisikutaje, kwakua tayari umesha tajwa...[emoji5] [emoji5] [emoji5]kumbe nimetajwa. jamani hadi rahaa
Tatzo hiyo mijino yako watu wanahisi kuwa ww ni robot si unamkumbuka mdau mmoja humu aliwahi sema kuwa humu kuna maroboti mkuu?Ebu ngoja nisubiri atakae sema.....
Anatamani kukutana na mimi..[emoji101]
[emoji16][emoji16][emoji16]Tatzo hiyo mijino yako watu wanahisi kuwa ww ni robot si unamkumbuka mdau mmoja humu aliwahi sema kuwa humu kuna maroboti mkuu?
Amen.....[emoji120]Mimi[emoji101]
Ni kheeeeri kabisaaa ndugu.asante mkuu
ila kukutana kwetu kuwe kwa kheri
Geuka nyuma yako....[emoji4]Daby and BAK
Umefrahi!!!!![emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona tyr washakutaj mkuuEbu ngoja nisubiri atakae sema.....
Anatamani kukutana na mimi..[emoji101]