Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Si dhani kama ni kweli leta sensa hapa...Ninachoipenda jf wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hutaweza kupata number kamili, sense yake aliifanya ndotoni.Si dhani kama ni kweli leta sensa hapa...
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee baba sio kila kitu kinahitaj sensaSi dhani kama ni kweli leta sensa hapa...
Hii lugha huku kwetu ushirombo haijafika.....[emoji25] [emoji25] [emoji25]Me love you u know. (In Jamaican voice)
Akil za kuambiwa changany na zako mzee babaSi kweli...wanawake wengi wapo FB sio JF
Ukiwaona hao niite. Natamani kweli niwaone na mimi hao wajaka wawili.Daby and BAK
Wifi poua.Ukiwaona hao niite. Natamani kweli niwaone na mimi hao wajaka wawili.
Sawa wifi nasubiriaWifi poua.