Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swala la maamuzi binafsi, Kutegemea na mahala ulipo, Na nini hasa unataka na umejianga vipi kwa huo mshahara.msaada mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi ni sawa kulipa kodi 100k
Kwahyo ni sawa tu nisiogope🥹?Ni swala la maamuzi binafsi, Kutegemea na mahala ulipo, Na nini hasa unataka na umejianga vipi kwa huo mshahara.
Nisubiri kwanza ?Hela kubwa sana hyo 700k
Hapo usioe kwanza
Nisawa kabisaJamani naombeni msaada mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi ni sawa kulipa kodi 100k kwa mwezi na hujaoa umepanga chumba na sebule ?
Nimeshangaaa, ukute ni malamba mawili huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maeneo gani hayo chumba na sebule ni 100K tu?
malamba mawili hakufai kuishi?Nimeshangaaa, ukute ni malamba mawili huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hautegemewi na yoyote ni sawa tu.Jamani naombeni msaada mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi ni sawa kulipa kodi 100k kwa mwezi na hujaoa umepanga chumba na sebule ?
Kunafaa haswaa, na wapo wanao ishi huko.malamba mawili hakufai kuishi?
Unataka ukaishia nae pamoja?Maeneo gani hayo chumba na sebule ni 100K tu?
7% ni sawa kwa kulipia nyumbaJamani naombeni msaada mtu ukiwa unalipwa 700k kwa mwezi ni sawa kulipa kodi 100k kwa mwezi na hujaoa umepanga chumba na sebule ?