Mtu umeoa ila bado unanunua wanawake, michepuko kila kona. Sasa umeoa ili iweje?

Mtu umeoa ila bado unanunua wanawake, michepuko kila kona. Sasa umeoa ili iweje?

Hakuna watu wanafiki Kama wali-oa

Mtu ameoa Ila anashinda anazunguka sehemu za kukua Dada poa mwingine michipuko kibao .

Sasa umeoa ili iweje?
Ndoa ni kwa walipo mature.. Siku hizi tunaingia kwenye ndoa wenye nyege na hisia zaidi na kundinyanaa.. nyege zikikata na hisia zikiisha lazima ukatafute anaekuoa hisia tena na nyege
 
Hakuna watu wanafiki Kama wali-oa

Mtu ameoa Ila anashinda anazunguka sehemu za kukua Dada poa mwingine michipuko kibao .

Sasa umeoa ili iweje?
Wanawake walio olewa Mara nyingi Sana wanatoa visingizio vya kijinga ili mradi tu wasiwape waume zao burudani ndio maana wanaume wanajiongeza na ma Haus gel, ma barmaid, dada poa n.k.
Mpe mumeo kila siku asubuhi na jioni uone Kama atachepuka.
 
Kwani watu wanaoa ili kupiga mashine - Kama ni suala la mashine mbona unawezapata hata kabla ya ndoa.
Ndoa ni tasnia nyingine kabisa na kama watu hamjui why mnaoa au kuolewa ni hatari.

Your husband/ wife is your life partner..not only your sex partner but your sex partner may not be your life partner...Your wife/husband id your life partner (not only and far more than your sex partner)
 
Back
Top Bottom