Mtu umeoa ila bado unanunua wanawake, michepuko kila kona. Sasa umeoa ili iweje?

Mtu umeoa ila bado unanunua wanawake, michepuko kila kona. Sasa umeoa ili iweje?

Jeuri, kiburi,uchafu,kutokujituma kitandani,kauli mabaya,kupenda migogoro n.k.....
Zinaweza kuchangia mwanamke kutafuta mbadala
 
Jeuri, kiburi,uchafu,kutokujituma kitandani,kauli mabaya,kupenda migogoro n.k.....
Zinaweza kuchangia mwanamke kutafuta mbadala
Kaka unakunywa beer gani?
Tukutane weekend upate beer za kutosha.
KIBURI hasa wakerewe
UCHAFU hasa wasafwa
KUTOJITUMA hasa wachaga
KAULI MBAYA hasa wanyakyusa
KUPENDA MIGOGORO Kama wote.
 
Kuna jamaa yangu ndio alitoa kali ya mwaka. Jamaa ana wake wanne (4),sasa kwenye stories stories za hapa na pale kuna siku nikamuuliza "Kaka na nyie wenye wake wengi mnatamani nje kama sisi wenye kamoja?" Jibu lake liliniacha mdomo na tulicheka mno. Alinijibu kwamba "Ndugu yangu sie ndio tunatamaa zaidi yenu na tunachepuka kuliko nyie" .
 
Wanaume mliooa, mnaitwaa huku, kuna jambo lenu mje mtoe ufafanuziii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume mliooa, mnaitwaa huku, kuna jambo lenu mje mtoe ufafanuziii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nyie muache visingizio, Mara kichwa linauma, Mara tumbo, Mara siko kwenye mood. Mood kitu gani ? Mtu akitaka kitu chake mpe, Tena mpe yote. Unashindwa kumpa mtu dakika tano ukijua kabisa ndio umemtuma akatafute mbadala.
Hata siku moja mchepuko hamnyimi sponsor, iwe mvua iwe jua na akimpa anampa kweli kweli amalize hamu mpaka weekend.
 
Kuna vitu ziada kwa dadapoa 😂
Dada poa hakupi Raha Kama nyumba ndogo a.k.a mchepuko.
Dada poa wanatakaga umalize haraka wakauze kwa wengine. Nyumba ndogo ndio kwanza anafua suruali yako ili ikibidi ulale kabisa huku umevaa kitenge chake kiunoni na yeye khanga iliyo rojoka.
 
Hakuna watu wanafiki Kama waliooa

Mtu ameoa Ila anashinda anazunguka sehemu za kukua Dada poa mwingine michipuko kibao .

Sasa umeoa ili iweje?
Itakuwa mwanamke mwenzenu hamjamfunda na anachokifanya ni kumnyima jamaa kilicho7bisha akamuoa hali inayopelekea aje huko mnakojiuza ninyi ili angalau apate radha.
 
Kuna watu wameoa ila k hawapewi ipasavyo.

Mtu alioa akidhani ataipiga muda atakao ila kumbe inabidi aombe; na kuomba Kuna kupewa au kukataliwa.
 
Back
Top Bottom