Mtu wa kunibeba Mabibo Hostel

Mtu wa kunibeba Mabibo Hostel

p dagrt

New Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
2
Reaction score
1
wadau wa mwaka wa kwanza, natafuta mtu wa kunibeba mabibo hostel, kama uko tayari tuwasiliane, niko third year & worry out nitalipia kwa whole year
( plse help me coz hii issue inanipa headache sana.....!!!)
 
wadau wa mwaka wa kwanza, natafuta mtu wa kunibeba mabibo hostel, kama uko tayari tuwasiliane, niko third year & worry out nitalipia kwa whole year
( plse help me coz hii issue inanipa headache sana.....!!!)

pole kijana!
 
hivi hostel za mabibo na za main campus zipi nzuri na uzuri wake ni upi wakuu
 
ww umeomba wadau wa mwaka wa kwanza (UDSM)
kwanini usibandike Tangazo hilo hapo Mabibo?
Mimi nataka kukubeba kila usiku nitakupataje
 
wadau wa mwaka wa kwanza, natafuta mtu wa kunibeba mabibo hostel, kama uko tayari tuwasiliane, niko third year & worry out nitalipia kwa whole year
( plse help me coz hii issue inanipa headache sana.....!!!)

acha ujinga kapange
 
Third year bado unang'ang'ana kubanana na wadogo zako hostel??..njoo nikubebe gheto kwangu hapa survey.
 
usijali kaka maisha kusaidiana, m nimechaguliwa apo coict udsm 1st year m ntakubeba bure tu wala usijali mana aya maisha leo una shida wewe kesho yaweza yakanikuta. ni pm number yako.
 
usijali kaka maisha kusaidiana, m nimechaguliwa apo coict udsm 1st year m ntakubeba bure tu wala usijali mana aya maisha leo una shida wewe kesho yaweza yakanikuta. ni pm number yako.

Kubeba usiye mfahamu ni shiida aisee kusaidiana kupo utawezana naye tabia kama una rafiki mbebane muuze kitanda na ukibeba analipa hela ya chumba
 
0766085018 hiyo hapo wadau nina stress hostel ndio mpango mzima
 
ni kweli usemayo, ila nadhani ukimsaidia mtu inabidi ajiongeze afate tabia zako km nna tabia kama zake au tofauti, suala la pesa kunilipa ili nimbebe hapana japo m ni mtanzania wa hali ya chini.
 
ni kweli usemayo, ila nadhani ukimsaidia mtu inabidi ajiongeze afate tabia zako km nna tabia kama zake au tofauti, suala la pesa kunilipa ili nimbebe hapana japo m ni mtanzania wa hali ya chini.

Ukifika chuo ndo utajua hiyo other naongea from experience ukimbeba lazima alipie chumba plasi usumbufu kwa kua we ni first year au una rafiki ako mbebane hicho chumba mumupe itakusaidia kubebana ku na chosha sema tu watu.huwa wanasaidiana
 
ahsante kwa ushauri mzuri mungu akubariki, ngoja nichanganye na akili zangu. nashukuru kwa kunipa darasa la bure.
 
Back
Top Bottom