Mtu wa kunibeba Mabibo Hostel

Mtu wa kunibeba Mabibo Hostel

ahsante kwa ushauri mzuri mungu akubariki, ngoja nichanganye na akili zangu. nashukuru kwa kunipa darasa la bure.

Ukikiona kile kitanda unaweza kuja kufuta comments zako hapa...halafu ukute huyo anayeomba kubebwa ni boooonge la bwanaaa....utajuta
 
hahahaahahaaa navijuaga kaka vitanda vya chuoni.
 
hujaelewa[/QUOTE
kweli sijakuelewa
yaani UDSM mna vituko mtajabebana pasipobebwa

haya mambo ni kuwaonea 1st year
kwani wanetu tunawalipia kila kitu kumbe kuna miPUNGA inaomba kubebwa
kweli mwanangu hajanihadithia habari hii kwani sisi enzi zetu unalala kwenye kitanda chini au juu Double-decker
hii habari ya kuanza kumfadhili mwanammme malazi Duuuuh
 
Back
Top Bottom