Mtu wa kunisaidia kuipata simu yangu

Mtu wa kunisaidia kuipata simu yangu

Hapo anandaa bajeti na muda. Hiyo kesi unaweza kupata milioni hata tano.

Nenda polisi zungumza na afande,mtengee bajeti tafuta na usafiri. Tenga kiasi cha usumbufu cha kumpa afande ambaye ndie utaenda nae kwa mtuhumiwa. Ukifanikiwa kumfikia mtuhumiwa na kumkuta na simu yako umeshatoboa.

Hiyo ni kesi itakayomaliziwa polisi tu haina haja ya kwenda mahakamani. Huyo utaemkuta na simu yako ndie aliyeingia nyumbani kwako na kuchukua million 3.7 tasilimu ambazo ulipewa usiku jana yake na rafiki yako kama mkopo,lakini pia laptop yako iliondoka na hiyo simu thamani ya laptop ni laki 8 na nusu. Hivyo vitu vyako vyote pamoja na waleti yako iliyokuwa na laki 5 vimetoweka usiku huo huo.

Afande atakusaidia kutengeneza hiyo kesi na mashtaka yatafunguliwa na watuhumiwa watatakiwa kukurejeshea hivyo vitu vyako pamoja na fidia ya gharama za upelelezi zote.

So kama utaweza nenda kituo cha polisi mtafute detective m'moja aliye vizuri akusaidie kukupa mchoro wa namna ya kuanza kufanya huu mchakato.
 
Wadau habari zenu, simu yangu iliibiwa juzi kati mtu alichomoa dirishani. Sasa nimeicheck kwa kutumia google inaonekana mara ya mwisho ilisomeka maeneo fulani(napajua) pia nimeitumia Samsung Find ambayo inaweza kupata location ya device hata ikiwa offline na inaonekana ipo maeneo fulani ambayo sio mbali sana na ninapoishi.

Nahitaji mtu(ikiwa ni polisi itakuwa bora zaidi) ili kufuatilia zaidi especially hili eneo la mwisho.

Loss report na imei number vyote ninavyo ila pia chochote hakitakosekana kama simu ikipatikana, nisaidieni kabla haijauzwa mbali zaidi.
Location ni Dar Kigamboni
Mwezi Novemba 2024 mama aliibiwa simu nyumbani na fundi ujenzi, tukaripoti polisi na kupata RB. Kuna mtu nilimpa IMEI ya simu akafanya yake, baada ya wiki 2 (Disemba 2024) simu ilipowekwa hewani tu tukampata mtumiaji na maaskari wakamkata na alilipa Tshs laki 3, askari wa mkoani nikawaachia 100,000/= na 100,000/= nilimpa askari aliyetafuta simu (DAR) na 100,000/= ikabaki kwangu.
 
Mwezi Novemba 2024 mama aliibiwa simu nyumbani na fundi ujenzi, tukaripoti polisi na kupata RB. Kuna mtu nilimpa IMEI ya simu akafanya yake, baada ya wiki 2 (Disemba 2024) simu ilipowekwa hewani tu tukampata mtumiaji na maaskari wakamkata na alilipa Tshs laki 3, askari wa mkoani nikawaachia 100,000/= na 100,000/= nilimpa askari aliyetafuta simu (DAR) na 100,000/= ikabaki kwangu.
mkuu si uniunganishe na huyo wa Dar?
 
Back
Top Bottom