kwa nini umewaza pombe tu? bangi je?,dawa kwa mfano unaweza kuumwa na mdudu, kuumwa tumbo,kuumia na ukaambiwa jani flani ni dawa ilikuwaje mwanzo mpaka ikaja kufahamika ivyo! niliwahi kuwaza hivyo na mengine mengi mengi mengiiiWakuu, nimejaribu ku trace mawazo ya huyu jamaa wa kwanza alipo kunywa pombe akalewa, na bila shaka alipoteza network. Pia nahisi alivyoamka alikua hoi na pia nahisi aliliendeleza siku zilivyozidi.
Sasa najiuliza:
1. Hakuogopa na kuachana nayo ?
2. Au zamani hazikua ngangari kama za sasa ?
3. Au jamaa aliyegundua alikua mbishi dhidi ya mazingira yanayomzunguka?
Naomba mawazo yenu wakuu!!
shukran mkuu, kwa kuongezea na mengine. pia ni mtiririko unaohitaji tafakari ya undani...!!kwa nini umewaza pombe tu? bangi je?,dawa kwa mfano unaweza kuumwa na mdudu, kuumwa tumbo,kuumia na ukaambiwa jani flani ni dawa ilikuwaje mwanzo mpaka ikaja kufahamika ivyo! niliwahi kuwaza hivyo na mengine mengi mengi mengiii
Kwani ukinywa pombe unapoteza kumbukumbu?Deejay nasmiunapoteza 18230527 said:siku ya kwanza hakujua kama amelewa,may be alidhan amepata homa ya gafla akawa amepoteza kumbukumbuku.hapo hakuwa na wazo hata chembe kwamba alichokunywa ndio kimemfanya awe hvo.hvo baada ya kuwa strong ikawa pengne anaendelea ku2mia hiyo pombe(kwa muda huo tuseme ni kinywaji\chakula) siku za mbele baada ya kutokewa na hali hiyo,akagundua kuwa hali hiyo inatokea kila akila/kunywa hiyo kinywaji.
hayo ni mawazo yangu tu
Mbowe....alikuwa Nani?
Kwani ukinywa pombe unapoteza kumbukumbu?
Na hiyo pombe aliitengenezaje bila kujua kitu anachokitengeneza I mean dhamira yake ilikuwa nini mpaka ikatokea pombe?
Mkuu hata ule mti wa ulanzi ukiukata na kunywa majimaji yake muda ule ule hulewi, mpaka yalale yachachuke then ndio yawe na ukakasi wa kilevi. Nothing can be termed alcohol without going fermentation process upo hapo mkuu? Hata hizo spirits, grants, wisky matunda yalichachushwa kwanza ndipo distillation ikafanyika kuvipata.sio lazima atengeneze,chukulia mfano alikuwa muwindaji na kila siku polini, kiu imembana afu maji hayapo jirani,gafla anaona mti unatoa maji maji kama ile miti ya ulanzi,akaamua kutupia bila kujua kama ni kilevi.so dhamira yake ilikuwa kukata kiu ya maji but kumbe amekunywa kinywaji ambacho baadae amekuja kugundua kimemletea hali fulani mwilini.hapo ndo akaimba dear gambe
Kina nani??Wanakuja
Haujaulizwa Mtu wa Kwanza aliyetajwa kwenye Biblia.... na kama Nuhu alikunywa basi akili za kutengeneza hakuzianzia nje tu baada ya kutoka kwenye Safina it means either aliipakiza ndani ya Safina au nae alikuta watu wa enzi zake walishaigundua na ilikuwa inatumika kama vinjwaji vya kawaida na haikuwa haramMimi najua mtu wa kwanza kunywa pombe ni nuhu....
huyo jamaa aligundua pombe alikuwa ni alchemist aliyejulikana kama Mohammed ibin raz miaka hiyo na tunavyojua scientists wengi wanapenda kile kinywaji kama kinafungua akili hivi.Wakuu, nimejaribu ku trace mawazo ya huyu jamaa wa kwanza alipo kunywa pombe akalewa, na bila shaka alipoteza network. Pia nahisi alivyoamka alikua hoi na pia nahisi aliliendeleza siku zilivyozidi.
Sasa najiuliza:
1. Hakuogopa na kuachana nayo ?
2. Au zamani hazikua ngangari kama za sasa ?
3. Au jamaa aliyegundua alikua mbishi dhidi ya mazingira yanayomzunguka?
Naomba mawazo yenu wakuu!!