soweto85
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 301
- 247
Wakuu, nimejaribu ku trace mawazo ya huyu jamaa wa kwanza alipo kunywa pombe akalewa, na bila shaka alipoteza network. Pia nahisi alivyoamka alikua hoi na pia nahisi aliliendeleza siku zilivyozidi.
Sasa najiuliza:
1. Hakuogopa na kuachana nayo ?
2. Au zamani hazikua ngangari kama za sasa ?
3. Au jamaa aliyegundua alikua mbishi dhidi ya mazingira yanayomzunguka?
Naomba mawazo yenu wakuu!!
Sasa najiuliza:
1. Hakuogopa na kuachana nayo ?
2. Au zamani hazikua ngangari kama za sasa ?
3. Au jamaa aliyegundua alikua mbishi dhidi ya mazingira yanayomzunguka?
Naomba mawazo yenu wakuu!!