yaah lazima tugusie kwa wanaokataa mimba bro kama ambavyo mnavyogusiaga kwetu watoa faraja[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wanaojikweza wakina Nani?? Huwezi sifia kitu chako moja kwa moja mpaka utoe dosar upande wa pili.
Kwani mtoa mada kamtaja mtuWanaojikweza wakina Nani?? Huwezi sifia kitu chako moja kwa moja mpaka utoe dosar upande wa pili.
Umeanza vizuri , ila una akili ndogoNimefurahishwa sana na nilivosikia kitendo cha Kingkiba alivoungana na mwenzake ommy dimpoz kwenda kumpongeza dada yetu mpenda happiness magese ambae juzi kati kapata mtoto baada ya mapambano ya muda mrefu, ikumbukwe dada yetu anamatatizo ya endometriosis...
kwa niaba ya JF napenda mpongeza sana kiba na ommy kwa upendo huo. Wengine wapo bize kushindana mitandaoni nyie mnafanya mambo mazuri chinichini bila kujikweza, mnaacha alama mioyoni mwa watu wanaohitaji faraja.
fuatilia hapa kujionea.
uo upande wa pili ni akna nan?Wanaojikweza wakina Nani?? Huwezi sifia kitu chako moja kwa moja mpaka utoe dosar upande wa pili.