Naona naozeshwa kimtindo....Wacha we!! Ungetumention tu tuone mapema.
Sasa kwa taarifa yako hao ulotutaja hapo ndio wife material haijawahi tokea. Yaani ukitaka kuifaidi ndoa hao ndio wa kuoa.
Umewasahau na manengelo. Heaven Sent Khantwe Mother Confessor Sakayo
Hajawahi hata kuniomba chochote; ndo nashangaaPacha wangu amekuandama ulimnyima nini
πππππI misquoted you; my bad
Hapo umeniacha. Mungu wangu!!!!!!Ndaga fijo
Kumbe kuna kupeana na kunyimana. Mtuambie mapema sie wageni jamani.Pacha wangu amekuandama ulimnyima nini
Sasa kwa nini anakuandama wakati hajawahi hata kuomba pacha acha hizoHajawahi hata kuniomba chochote; ndo nashangaa
[emoji3][emoji3][emoji3] tunapeana wakubwa tu watoto chezeni hapa hapa ukumbini
Amesema ahsante sanaHapo umeniacha. Mungu wangu!!!!!!
Utamuweza pacha wakoSasa kwa nini anakuandama wakati hajawahi hata kuomba pacha acha hizo
Kweli kabisa.Naona naozeshwa kimtindo....
Huwa hawataki kusikia ukweli...
Kauli mbiu #achaunafikiuendembinguni#
Alikuomba indirectly ukamnyima, tena nyuzi mbili bado ukajifanya huelewi somo[emoji1745][emoji1745]Hajawahi hata kuniomba chochote; ndo nashangaa
Utasikia Fulani hana hela sana.Au rafiki yako Fulani anapata wapi hela?Hivi wewe si umesoma na john! Mbona john ana magari mawili na nyumba wewe umezubaa tu, nakwambia ukweli maisha yakiendelea hivi ntachoka
Tatizo hamkawii kuanza kutufuata watoto.[emoji3][emoji3][emoji3] tunapeana wakubwa tu watoto chezeni hapa hapa ukumbini
Abarikiwe sanaAmesema ahsante sana
Haha daah kumbe....leo nilikuwa huko mjini. Kule mahali sikwenda bwana aarghTatizo hamkawii kuanza kutufuata watoto.
Watoto wadogo wakitufuata watoto wenzao wanatuambia yote mnayowadanganya mayo piyemu.
By the way, me nipo magomeni hapa ningekuwa na usafiri ningekuja huko huko leo
Wapo kabisa ila tatizo lenu moja mnateseka na huyu mnapiga raha na wengine ndio maana wadada wamebadili niaKwa hapa Tz ' Wanawake wenye Tabia njema Hiyo. ..tayari walisha kufa Katika Vita ya Kagera
Unashangaa??? Shauri yakoπππππππHaha daah kumbe....leo nilikuwa huko mjini. Kule mahali sikwenda bwana aargh
Not fair!Haha daah kumbe....leo nilikuwa huko mjini. Kule mahali sikwenda bwana aargh
Unashangaa??? Shauri yako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Just a parent sawa, lakini wa nani? Nitaenda kesho siku ya kuzika kunakuwa na watu wengi na lile dubwana langu sitalionaNot fair!
That was a parent. Anyway, you knew the situation better