Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Hivi wewe si umesoma na john! Mbona john ana magari mawili na nyumba wewe umezubaa tu, nakwambia ukweli maisha yakiendelea hivi ntachoka
Utasikia Fulani hana hela sana.Au rafiki yako Fulani anapata wapi hela?
Ila marafiki Wa Bongo kichechefu hawezi kukupa ushauri Wa kufanikiwa!! Wala hawezi kukwambia mamilioni kayapataje!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3] tunapeana wakubwa tu watoto chezeni hapa hapa ukumbini
Tatizo hamkawii kuanza kutufuata watoto.

Watoto wadogo wakitufuata watoto wenzao wanatuambia yote mnayowadanganya mayo piyemu.

By the way, me nipo magomeni hapa ningekuwa na usafiri ningekuja huko huko leo
 
Tatizo hamkawii kuanza kutufuata watoto.

Watoto wadogo wakitufuata watoto wenzao wanatuambia yote mnayowadanganya mayo piyemu.

By the way, me nipo magomeni hapa ningekuwa na usafiri ningekuja huko huko leo
Haha daah kumbe....leo nilikuwa huko mjini. Kule mahali sikwenda bwana aargh
 
Kwa hapa Tz ' Wanawake wenye Tabia njema Hiyo. ..tayari walisha kufa Katika Vita ya Kagera
Wapo kabisa ila tatizo lenu moja mnateseka na huyu mnapiga raha na wengine ndio maana wadada wamebadili nia
 
Back
Top Bottom