Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Me sio mjuzi; na mimi najifunza tu kama wengine. Nitarudi na jibu lako
yap, nakusubiri mama angu, nashangaa wenzako wananitolea mapovu as if nimewauliza wao,sasa nashangaa sijui ni utahira au kutokujielewa,maana wewe niliekuuliza umenijibu vizuri kabisa
 
Kiukweli umesema vema sana, uliyo yasema ni kweli kabisa na ndivo wengi wanavyofanyiwa.


Silazimishi msamaha, lakini kuna njia nyingine ya kurekebisha hilo, zaidi ya kusamehe?

Unadhani ukiutumia wakati wa hali ngumu kujipoza hayo machungu kwa kumdharau mumeo, kumdhihaki na kumkatisha tamaa na kumkomoa ndio itakuwa njia nzuri ya kumfunza na kumaliza machungu ulio nayo?? akiweka chuki zaidi kwasababu ya hayo unayo yafanya unadhani kutakuwa na suluhu tena hapo??

Tatizo linamalizwa kwa kutengeneza tatizo lingine?? au na wewe umeamua kukubaliana naye kwa kuunga mkono ujinga wake kwa njia ya wewe kuanzisha visasi??

Moyo we furaha ni dawa nzuri maandiko ni kweli yamesema, lakini nadhani umesahau kuwa njia pekee ya kurudisha furaha ya moyo ni kusamehe.

Kusamehe sio lazima ila ni lazima kama unania ya kujenga upya uhusiano ulio yumba, ila kama huna lengo hilo basi lipiza visasi na mwisho wa visasi nadhani unauja.
 
Haya chezeni ila msizime taa, watoto hawachezi gizani watajigonga kwenye viti waumie bure
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
yap, nakusubiri mama angu, nashangaa wenzako wananitolea mapovu as if nimewauliza wao,sasa nashangaa sijui ni utahira au kutokujielewa,maana wewe niliekuuliza umenijibu vizuri kabisa
Kumbe limekukaba eeeh!! Sukumia na maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…