Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
ππππππππππNa kweli shauri yangu[emoji3][emoji3] na umesubiri usiku ndio uniambie
Niache na watoto wenzangu hukoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππππNa kweli shauri yangu[emoji3][emoji3] na umesubiri usiku ndio uniambie
Duh! Dubwana????Just a parent sawa, lakini wa nani? Nitaenda kesho siku ya kuzika kunakuwa na watu wengi na lile dubwana langu sitaliona
yap, nakusubiri mama angu, nashangaa wenzako wananitolea mapovu as if nimewauliza wao,sasa nashangaa sijui ni utahira au kutokujielewa,maana wewe niliekuuliza umenijibu vizuri kabisaMe sio mjuzi; na mimi najifunza tu kama wengine. Nitarudi na jibu lako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Niache na watoto wenzangu hukoooo
Kiukweli umesema vema sana, uliyo yasema ni kweli kabisa na ndivo wengi wanavyofanyiwa.Ulimwengu tunaoishi unaongozwa na kanuni. Moja ya kanuni kubwa ni kanuni ya KUPANDA na KUVUNA. Utavuna ulichopanda; na utavuna mema kama ulipanda mema; na ukipanda mabaya basi jiandae kuvuna mabaya. Na katika kupanda mema au mabaya; sio lazima uje uvune kwa mtu yule yule ulikopanda; wakati mwingine utavuna kwa third party; Au usivune wewe wakavuna kizazi chako.
Unfortunately; Wengi wetu hatujali nini tunapanda; bali tunatarajia sana mavuno mema tena hata ambako hatukupanda. Unaishi na mwenzi wako; humjali, unamnyanyasa, kumdhalilisha, unamnenea maneno mabaya etc; then siku ya uhitaji wako unatarajia uvune huruma na loyalty yake; je kwake ulipanda huruma na loyalty?
Huku kwetu most of times mke ukikamatwa unachepuka ni hakuna maelezo talaka 3; la kumnyanyasa me ni kwa ke wachache na wanalimudu hilo effectively. Ila mume kuchepuka eti ni nature; so mke utavumilia tu; ukinyanyaswa; ukipigwa, ukiletewa watoto vumilia tu.You have a face to save to the society; maana utaambiwa mwanamke mjinga huvunja ndoa yake blah blah. Bado wengi wetu ni tegemezi; unawaza ntaanzaje maisha on my own; what about my kids etc. So pamoja na manyanyaso yote bado utaendelea kudumu ndoani. Unfortunately katika manyanyaso haya; wanawake wengi huwa wanaishia kubeba uchungu moyoni. Uchungu ambao unaweza ukawa unamtafuna yeye mwenyewe; mwingine uchungu anamalizia kwa watoto; yani ni mkali kwa watoto na watadundwa hao bila hata kosa la msingi. Wachache huwa wanaomba rehema juu ya waume zao; hadi kufikia hatua ya kuwasamehe; ilhali bado wanawaumiza
Wale wenye uchungu; siku yako ya tabu ndo siku ya yeye kutoa uchungu wake; aisee utasuffer (sio kama unakukomoa; ile mimba ya uchungu ndo inatoka; so vumilia tu). Unfortunately tunaishiaga kulaani tu hawa wanaotoa uchungu wao; bila kujiuliza ndani yao kulipandwa nini. Do you expect anything good to come out of a bitter person? Hata neno la Mungu linasema "Moyo uliochangamka ni dawa nzuri"; so moyo wa mkeo uliojikunja juu yako huo, utakuwa ni ugonjwa kwako. Msamaha ni kwa wachache walio na neema; hawa watakusaidia despite maumivu yote uliyowapa. Uchungu zaidi unakuja pale ambapo mnarudigi kwa wake zenu mkishakuwa total liabilities kwao; either umefulia kabisa au ndo unaumwaaa. Mke lazima uchungu uzidi; lazima akumbuke ulivyomtosa wakati things were ok for you; sasa hivi umebaki kushney karonga ndo unamuona mwema? Umegundua wema wake, ukajuta ndo ukamrudia au umerudi kwa sababu huna option? Thats hurts so so much. Afu msamaha haulazimishwi; it is earned slowly. Make some efforts hadi mkeo ajue huyu kweli amejuta.
Kukosea sawa; ila rejeeni kwa wake zenu wakati hali bado ni shwari. Na wao waexperience "katika raha"; sio wao kila siku ni katika shida tu; raha na wengine eeeeh. "UNAPANDA NINI"?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya nafuta kauli, libwana langu basiDuh! Dubwana????
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Haya chezeni ila msizime taa, watoto hawachezi gizani watajigonga kwenye viti waumie bure
Nimefurahishwa na hili, huu ni miongoni mwa ukweli nliowahi kuusema humu JF[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya nafuta kauli, libwana langu basi
Nimefurahishwa na hili, huu ni miongoni mwa ukweli nliowahi kuusema humu JF
Kwamba nimefurahishwa na wewe kutengua kauli. Hawezi kuwa dubwana aiseeeUkweli upi?
Usiniambie uongo kwako ni mwingi kuliko ukweliKwamba nimefurahishwa na wewe kutengua kauli. Hawezi kuwa dubwana aiseee
Usinilishe maneno mimiUsiniambie uongo kwako ni mwingi kuliko ukweli
Hahaha akirudi msukuma; me sitokuwepoAlikuomba indirectly ukamnyima, tena nyuzi mbili bado ukajifanya huelewi somo[emoji1745][emoji1745]
Mimi namsifiaSasa kwa nini anakuandama wakati hajawahi hata kuomba pacha acha hizo
Acha majunguAlikuomba indirectly ukamnyima, tena nyuzi mbili bado ukajifanya huelewi somo[emoji1745][emoji1745]
Kumbe limekukaba eeeh!! Sukumia na maji.yap, nakusubiri mama angu, nashangaa wenzako wananitolea mapovu as if nimewauliza wao,sasa nashangaa sijui ni utahira au kutokujielewa,maana wewe niliekuuliza umenijibu vizuri kabisa
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hahaha akirudi msukuma; me sitokuwepo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha majungu
Unamsifia kumuita pasua kichwa pacha hebu acha utaniMimi namsifia