Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Lengo za Lizarazu nimelielewa analeta vitu kama hivyo ili atugawe matabaka[emoji23][emoji23][emoji23]ameahindwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisa kaona kwenye haya maswala letu moja kaamua sasa atupeleke kwenye maswala ya mpira maana anajua huko tutakuwa tofauti sasa sijui anadhani wanawake ni kama wanaume kwamba eti na sisi tunapenda mpira saaanaaa kama wao kiasi cha kufikia hatua ya kujenga uadui kisa mpira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndo unalazimisha msamaha sasa. Forgiveness is earned; not given. Possibly utasemehewa; ila ndo uwe mpole katika muda huo wa mpito. Wewe hukuona umuhimu wake; leo yamekukuta huko (eeh possibly bila kupata majanga usingerudi kwa mkeo); ndo umeona umuhimu. Just like in the same way hakukulazimisha umthamini; usimlazimishe akusamehe instantly. Hata akikumalizia hasira; muache tu; endelea kuwa mtiifu ili uuvune msamaha wake.

Afu msamaha wa mtu anayerudi after kupatwa na majanga; unakuwa haujulikani kama ni genuine au ndo kisa umepatwa: mambo yakiwa poa tena you are back to your old safe. Mpe time; mpe sababu ya kukusamehe: vumilia tu vimbwanga vyote kama ambavyo yeye alikuvumilia. Sio kila mtu ni strong kusamehe mapema; wengine wanasamehe taratibu
 
Ooooooh Haleluya.......!
 
Kuwasamehe haraka hivyo ili[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Mbona hawana mioyo iliyopondeka jamani. Wavumilie tu maana mambo mazuri hayataki haraka.
 
Ukweli gani huo yaani ile hoja yako ya kusema tuwasaidie majukumu yenu ndo ukweli unauzungumzia?

Ndio mwanaume msaliti anakosea hata mwanamke pia ila ile hoja yako na sisi tufanye shughuli zenu big noo
 
Kuwasamehe haraka hivyo ili[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Mbona hawana mioyo iliyopondeka jamani. Wavumilie tu maana mambo mazuri hayataki haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisaaa good things come to those who wait, ila hiyo sentensi yako ya mwisho imenimaliza wallah.
 
Ukweli gani huo yaani ile hoja yako ya kusema tuwasaidie majukumu yenu ndo ukweli unauzungumzia?

Ndio mwanaume msaliti anakosea hata mwanamke pia ila ile hoja yako na sisi tufanye shughuli zenu big noo
Hiyo ya kutusaidia majukumu yetu sikumaanisha kwa wanaume wote nilimaanisha kwa wale wanaume ambao wamewaachia wake zao majukumu ya baba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisaaa good things come to those who wait, ila hiyo sentensi yako ya mwisho imenimaliza wallah.
Sasa wao wanataka msamaha wa haraka haraka wakati watu wana machungu ya muda mrefu kweli[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…