Mtu yeyote anayeamini kuwa tumepigwa kwa kuilipa fidia kwa Kampuni ya Indiana hana akili timamu

Hatujapigwa ila tumepata hasara ya kujitakia.

Hicho kitalu tunaweza kumpa mtu kwa $90M? if that was posible mbona wasirudishiwe leseni wafanye kazi.

Mleta mada umesimplify mambo sana
Mkuu kitalu- maana yake hakuna established deposit; hapo mineral deposit imekuwa established after sizable investment-wewe bado unaita Kitalu kweli?! wewe utakuwa GEN-Z +
 
Mpwaà hawa ndio walioshiiikiliaa ndege na kuna miezi inakuja kabla ya octb ukisikia ndege nyingjne imepakiwa nchi flan kaa kimyaaa nyuki anaendelea kutoa asali
 
Ni kichaa tu anayeamini kuwa huo mkataba na hiyo kampuni ulikuwa unamanufaa Kwa nchi
 
Ni kichaa tu anayeamini kuwa huo mkataba na hiyo kampuni ulikuwa unamanufaa Kwa nchi
Wewe ulishakaririshwa mkataba mkataba. Kwa taarifa yako hakukuwa na mkataba bali leseni halali ya kufanya jambo halali
 
Wewe ka burn CD
 
Ni kichaa tu anayeamini kuwa huo mkataba na hiyo kampuni ulikuwa unamanufaa Kwa nchi
Hakukuwa na mkataba wowote waliwanyanganya tu Retention Licence zao kwa Tanzania kufuta hiyo class ya Leseni bila kuwapa mbadala hivyo wakapoteza haki zao za umiliki wa hivyo vitalu.
 
kasome mwenendo wa kesi utaona cost zilivyokuwa established na third part-kajipange kama huwezi anza kutukana maana matusi ndiyo kinga ya mjinga kama wa namna yako
 
Unaona ambavyo huna akili. badala ya kujibu hoja unarukia kutoa vikauli vya kitoto.
Utoto explicitly umedhihirishwa na wewe- unastahili kujibiwa kwa kauli za utoto. 10M USD kufanya exploration na ithibitishwe na baraza la usuluhishi kiasi cha kufanya iwe tuzo- unadhani watu wote duniani ni wajinga siyo?
 
Mkuu kitalu- maana yake hakuna established deposit; hapo mineral deposit imekuwa established after sizable investment-wewe bado unaita Kitalu kweli?! wewe utakuwa GEN-Z +
Indiana Chairman Bronwyn Barnes commented: “For the past 18 years Indiana and its partners have workedcooperatively and diligently with Tanzania in developing the Ntaka Hill Nickel Project, and to date, in excessof AUD$60 million has been invested in defining the current resource and preparing development plans andstudies.

UKIWA NA D MBILI UTAELEWA HAPO JUU.
 
Kwa kusoma ile habari tu wewe unaamua kuwa hakuna kupigwa, au tu kwa kuwa unataka kuhalisha kuwa JPM alikuwa mkurupukaji?
Umeongelea kinadharia sana, ungeweka na numbers, hapo ningekuelewa. Nchi ikiwa weak inaliwa. Kuna nchi ambayo haiheshimu mikataba kama China ? Unanyang’anywa na unafukuzwa na huwezi kushitaki. Watanzania wako complicit kwa wizi. Kama yule wakili Mkono alivyoshiriki kuibia Tanesco. Mtanzania anaweza muwa complicit kuibia bank ya Tanzania akishirikiana na Muhindi, Mchina au Mzungu. Lakini hapo hapo hao hawawezi kufanya hivyo kuibia nchi zao.
 
Ameen, sahihi kabisa, ngoja waje wabeba jeneza, watakushambulia sana
 
Mkuu nimetoka na neno moja tu TANZANIA SIYO CHINA;TANZANIA SIYO DHURUMATI
 
Si mlaumu JPM; SIYO DHAMBI kutaifisha kwani hata Nyerere alitaifisha lakini kutaifisha bila kulipa fidia ni dhambi- dhuluma
 
ongeza na hii utapata ukweli
 
Pesa za makinikia zimerudi kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…