TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mtata kweli naona unamsagia jamaa kunguni [emoji1]Uzi wa kumuhusu Yule kijana mdogo wake na Tajiri GSM mmeuona?!
Anajiita "Counselor Salaah"
Upekueni muuone muusome kwa makini, mshirikishe nguvu za ziada mkakusanye mapato yenu... na ikiwezekana mumuwajibishe!
Kama ushawahi kupata TIN hautengenezi mpyaMbona baada ya kupata TIN sjapewa document file ya kudownload TIN yangu na nikitaka kuingia kwenye acc yangu ya TRA inalzimisha nichange password
Kama ushawahi kupata TIN hautengenezi mpya
Ingia login alafu ingia forgot password
Kupata TIN no.
Ingia apply TIN- TIN APPLICATION STATUS -INGIZA NIDA NO. Ita display mama ulikuwa na NIDA kipindi unaomba
Kudownload TIN DOCUMENT ni baada ya kureset password
Utaingia kwenye my account
Ngazi za juu kwenye sekta tajwa ana watu wake tayari kwaio hakuna kitakachoendeleaTRA Tanzania muupitie na huu uzi
Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi
Utangulizi wa kunukuu maelezo ya Muhanga aliyetusaidia kujua undani wa hizi operations za kampuni ya Silent Ocean Nchini, zikiongozwa na CEO wake, Saalah Mohammed, mdogo wake na GSM. Hapo nikapokea simu kutoka kwa Salah (C.E.O) au Simba wa Bahari akinitaka ndani ya wiki moja niwe nimetimiza...www.jamiiforums.com
TRA iko moja mkuu.Nawachukia TRA
Kwamba hawajui lolote as if ni mfanyabiashara undeground !!!??Uzi wa kumuhusu Yule kijana mdogo wake na Tajiri GSM mmeuona?!
Anajiita "Counselor Salaah"
Upekueni muuone muusome kwa makini, mshirikishe nguvu za ziada mkakusanye mapato yenu... na ikiwezekana mumuwajibishe!