Mtu yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea anapaswa kuomba TIN

Mtu yeyote mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea anapaswa kuomba TIN

Uzi wa kumuhusu Yule kijana mdogo wake na Tajiri GSM mmeuona?!

Anajiita "Counselor Salaah"

Upekueni muuone muusome kwa makini, mshirikishe nguvu za ziada mkakusanye mapato yenu... na ikiwezekana mumuwajibishe!
Kukujibu Hawataki Wakati Mama Anawataka Wajibu Hoja Za Wananchi
 
Halafu nilitoa wazo la kuwapunguzia usumbufu walipa kodi wenu kuja kupanga foleni kila baada ya miezi 3, kwa ajili ya malipo ya kodi! Mtaanza lini kutumia mfumo kama ule wa wenzenu wa Idara nyingine za Serikali?

Mfano kuna Idara moja ya maji ambayo mimi ni mteja wao! Kila bill inapotoka, wananitumia control number kupitia ujumbe mfupi (sms) kwenye simu yangu, then nalipia!

Ila nyinyi mpaka mlipa kodi aje ofisini kwenu, halafu apange foleni! Ndiyo mumtolee hiyo cotrol number! Hivi inaleta mantiki kweli!! Yaani hela ni ya kwangu, bado mnaninyanyasa!!

Aisee mjitahidi kubadilika. Lakini pia muende na wakati.
 
Halafu nilitoa wazo la kuwapunguzia usumbufu walipa kodi wenu kuja kupanga foleni kila baada ya miezi 3, kwa ajili ya malipo ya kodi! Mtaanza lini kutumia mfumo kama ule wa wenzenu wa Idara nyingine za Serikali?

Mfano kuna Idara moja ya maji ambayo mimi ni mteja wao! Kila bill inapotoka, wananitumia control number kupitia ujumbe mfupi (sms) kwenye simu yangu, then nalipia!

Ila nyinyi mpaka mlipa kodi aje ofisini kwenu, halafu apange foleni! Ndiyo mumtolee hiyo cotrol number! Hivi inaleta mantiki kweli!! Yaani hela ni ya kwangu, bado mnaninyanyasa!!

Aisee mjitahidi kubadilika. Lakini pia muende na wakati.
Mliangalie hili nyie TRA
 
Halafu nilitoa wazo la kuwapunguzia usumbufu walipa kodi wenu kuja kupanga foleni kila baada ya miezi 3, kwa ajili ya malipo ya kodi! Mtaanza lini kutumia mfumo kama ule wa wenzenu wa Idara nyingine za Serikali?

Mfano kuna Idara moja ya maji ambayo mimi ni mteja wao! Kila bill inapotoka, wananitumia control number kupitia ujumbe mfupi (sms) kwenye simu yangu, then nalipia!

Ila nyinyi mpaka mlipa kodi aje ofisini kwenu, halafu apange foleni! Ndiyo mumtolee hiyo cotrol number! Hivi inaleta mantiki kweli!! Yaani hela ni ya kwangu, bado mnaninyanyasa!!

Aisee mjitahidi kubadilika. Lakini pia muende na wakati.
Haya maswala ya kupangisha foleni wateja, inadhirisha uwezo wenu wa ubunifu ulivyo duni, mnatumia mbinu za enzi za mkoloni, waambieni wakubwa wenu wajiongeze kupunguza keto ya kuwapotezea muda watu.
 
Kwamba hawajui lolote as if ni mfanyabiashara undeground !!!??
Watajijua na ujinga wao! Waarab na wahindi wanatajirikia hapa... nyie watu weusi mna ubavu wa kutajirikia kwao?! Hii miwatu bure kabisa! 😏
 
Natamani kujua mtu aliyefunga biashara process za TRA inakuwaje?
 
Natamani kujua mtu aliyefunga biashara process za TRA inakuwaje?
Iwapo unataka kufunga biashara unawajibika kuandika barua na kuitaarifu TRA kusudio la kufunga biashara yako.Ila kama ni Kampuni unatakiwa uanzie Brella kufunga hiyo kampuni kisha uitaarifu TRA kimaandishi.
 
Vp kuhusu certificate ya tin number nkihitaji naipataje?
 
Back
Top Bottom