Mtuhumiwa wa Bangi alalamika kufutiwa kesi mara 5 bila kuachiwa kwa miaka 8

WaTz na mifumo yetu tuwe na utu! Miaka 8, kuna ushahidi gani mpya utakaoibuka, zaidi ya kusahau hata yaliyotokea? Wanasheria wanafanya mambo kama hawajasoma?!
Hajafikia kiwango cha rushwa inayotakiwa na wapelelezi.
 
Reactions: Auz
Kama anachukia rushwa, kwa nini asingewaweka ndani kwa nia ya kumhonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…