Huyo hakimu evodia kyaruzi namjua personally, alikua hakimu mahakama ya wilaya kahama! Ndo akahamishiwa huku, aisee huyo dada hachukui rushwa hata Senti mia yaani yupo straight tuliwahi kupata msala tukataka kumpa kibunda alitufukuza kama mbwa
Kuja uliza ma secretary yaani hata wao hawampendi Kila michongo wakimpa anawatolea nje, huyo dada kiboko