Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi Lugola bado yupo nje, wengine wapo ndani, Sheria ipo vipande vipande?

Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi Lugola bado yupo nje, wengine wapo ndani, Sheria ipo vipande vipande?

Nchi ni moja, Bunge ni moja, Serikali ni moja, Jeshi la polisi ni moja inakuwaje watuhumiwa tofauti wenye tuhuma za aina moja wanashughulikiwa kwa mitindo tofauti?

Sheria zetu kuna baadhi ya watu zimewafanya kuwa special? Inakuwaje wengine waendelee kusota lupango huku upelelezi haujakamilika wengine tuhuma zao zipo wazi kabisa lakini wanaendelea kula Maisha uraiani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwenye hili sakata lugola nae alihongwa laptop? Alienda Romania na kulipoliwa posho? Mbona halijawekwa wazi?
 
Kweli ofisi ambayo haina ndugu yako huwa imefungwa! Huyu kwa mwendo wetu ilibidi awe ndani!

Kama wenzake wanavyowekwa ndani. Halafu watu wa CCM waonevu kama hawa hawawaoni.

Halafu watu wanadai eti kuna amani! Ni kuwa watu wanasikilizia walipuke muda ukifika
 
Back
Top Bottom