Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck

Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck

Kwamba mtume nae ana mitume wenzake?Huo utume na unabii wameuchota wapi? Kama sio mambo ya wasanii na usanii wao basi Goodluck yuko sawa kabisa(japo kisheria inaweza kuwa sio sawa)
Kamshtaki basi km gari linakuhusu ukichoma nyumba yako unafungwa ukichoma gari la kupewa nani kakwambia unafungwa jela? Vifungo vya miungu ya mababu wa ukoo
 
Duh makanisani kushaanza kuchangamka kapewa gari kachoma kwanini asingerudisha tu...
 
Kamshtaki basi km gari linakuhusu ukichoma nyumba yako unafungwa ukichoma gari la kupewa nani kakwambia unafungwa jela? Vifungo vya miungu ya mababu wa ukoo
AKili ndio kitu unakosa kunasehemu nimesema kufungua mashitaka?Angalia clip vizuri kuna sehemu ya mwanasheria anasema ni kosa kisheria.
Pumbavu zako
 
Back
Top Bottom