Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Ameambiwa mbona kachoma Gari peke yake wakati alipewa na Pesa...!?Kwamba mtume nae ana mitume wenzake?Huo utume na unabii wameuchota wapi? Kama sio mambo ya wasanii na usanii wao basi Goodlucka kuwa yuko sawa kabisa(japo kisheria inaweza kuwa sio sawa)
Saidia kumfikishia ujumbe, kuwa Pesa kazichomea wapi!?