Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck

Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck

Kwamba mtume nae ana mitume wenzake?Huo utume na unabii wameuchota wapi? Kama sio mambo ya wasanii na usanii wao basi Goodlucka kuwa yuko sawa kabisa(japo kisheria inaweza kuwa sio sawa)
Ameambiwa mbona kachoma Gari peke yake wakati alipewa na Pesa...!?

Saidia kumfikishia ujumbe, kuwa Pesa kazichomea wapi!?
 
Good luck

Kilichomshusha sio gari alilopewa ila ni baada ya yeye kuachana na management yake ya zamani.


Hii management yake ilikuwa too powerful katika kuwekeza kwenye mziki wake.


Kama unamjua Kijana anaitwa Obby Alpha ameimba hit song inaitwa Bora kushukuru


Huyu ndo anasimamiwa na management ya good luck ya zamani.


Mziki unahitaji uwekezaji mkubwa ili usikike .


Ukiachana na hilo ule makataba wake ulikuwa wakibepari hivyo baada ya kuachana na management yake allmenyanganywa YouTube iliyokuwa na milioni ya Views , Ticktock , Boom play n.k

So hiyo depression ndo ilimpelekea kujisalimisha Kwa nabii mkuu .

Na nabii mkuu siku zote ni attention seeker.


So inafikirisha kuchoma Gari


Mambo yamegoma kwenda million 2 nayo hela?
 
Ngoja na mimi niende kwa nabii mkuu nilie kwa unyenyekevu niombe Prado ya mwaka 2024
 
GeoDavi ni Nabii fake, huyo jamaa anamuita Mtakatifu? Hao waimini wake wote ni brain washed na hawana macho ya kuona fake pastors kama GeoDavi
 
Vifungo vya mababu daaa
Waswahili mna mambo
Kweli mtatoboa kwenye ulimwengu huu
Mtasubiri sana 😄 🤣
Usanii mnauweza na unalipa kweli
 
Kwani kunaulazima wowote wa kushuka na biblia unapohojiwa? Au Kuna vifungu vya kinabii alitaka kutusomea.
 
Back
Top Bottom