Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Msiba kuliko wa kuabudu binadamu mwenzako ambaye unadai eti alijibandika nyama? Na vipi pale aliposujudu alikuelekezea wewe makalio??
wee huna mbegu hivyo jidunge ndoba usepe...[emoji53] [emoji33] [emoji33]
 
wee huna mbegu hivyo jidunge ndoba usepe...[emoji53] [emoji33] [emoji33]

Kuua wana

Hii ndiyo ibada kuu ya msingi katika dini ya Kikristo mpaka dakika ya leo.

Licha ya Yehova kuwakemea vikali wanadamu kujihusisha nayo, lakini sambamba na kuanzisha dini yake hiyo (Kikristo), Bwana Paulo aliamua pia kuifundisha ibada hiyo kwa kuunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu (Nabii Isa au Yesu a.s.) kama kafara ya dhambi kwa waumini wa dini yake hiyo (Ukristo), kwa kusema:

"Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu tulipokuwa tungali wenye dhambi" (Warumi 5:8).

"Kristo alitukomboa katika laana ya Torati kwakuwa alifanywa laana kwa ajili yetu, maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti". (Wagalatia 3:13)

Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo aifundishavyo ibada hiyo (ya kuua wana) akiunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu kama kafara ya dhambi za Wakristo wote.

Sambamba na mafundisho hayo ya Bwana Paulo juu ya ibada hiyo (kuua wana) waandishi wa agano jipya kwa kuwa nao walidhamiria kuuandikia Ukristo wa Paulo, kama ilivyo kazi yao (kusherehesha mafundisho ya Paulo) katika kusherehesha ibada hiyo kama ilivyofundishwa na "mwalimu wao" Bwana Paulo, katika Injili zao na nyaraka zao wamediriki hata kupenyeza maneno kinywani mwa Bwana Yesu (a.s.) wakisimulia kuwa Yesu mwenyewe (a.s.) ati aliwahi kutabiri kuuliwa kwake msalabani (Tazama Mathayo 12:40, 20:17-19; Marko 10:32-34; Luka 18:31-33 na kadhalika)!

Nasema waandishi hao wamepenyeza ibada hiyo (ya kuua wana) kinywani mwa Yesu (a.s.) kwa sababu siyo wao tu, bali hata 'mwalimu wao' Bwana Paulo anajua wazi kuwa Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi akathubutu kufundisha ibada potofu za watu wa mataifa, yaani wapagani, zilizokemewa vikali na Yehova.

Kwa upande mwingine, kutokana na mafundisho hayo ya Paulo yanayounga mkono ibada hiyo ya wapagani ( ya kuuwa wana), katika kuunga kwao mkono na kutilia mkazo mafundisho hayo (ya Paulo), Wakristo pia wameibua kitu kiitwacho "Ekaristi takatifu", "Chakula cha Bwana", "Meza ya Bwana" na kadhalika. Hapo hula mikate na kunywa divai wakiashiria kuula mwili wa Yesu (a.s.) na kuinywa damu yake wakijifariji kwa dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu! Sambamba na hilo, pia wamezua "sikukuu ya Pasaka ya Yesu" kama kumbukumbu ya kutukuza dhana ya kuuliwa mwana huyo wa Mariamu kama kafara ya dhambi zao! Kwa ujumla, ibada hiyo ya kipagani inaungwa mkono mia kwa mia na dini ya Kikristo.

Kwa uchache, ibada hiyo (ya kuua wana) ni chukizo kubwa kwa Yehova kwa kuwa alikwishaikemea vikali. InshaAllah upotofu wa ibada hii nitauelezea zaidi katika makala zangu zijazo nitakapokuwa nikiwajibu wapinzani wote wa neno la Mungu waliojitokeza kuzidandia makala zangu zile zilizohusu "Pasaka wa kweli wa Mungu" ijapokuwa waliteleza kwa kufinyangafinyanga maneno wakitoa hoja dhaifu zisizokuwa na msingi wowote.
 
Tatizo hujui kusoma na wakukusomea kafa [emoji4] imepelekea umeivaa laana kwa kuhubiri Injili nyingine [emoji117] View attachment 863291 hata baba fatuma kafa anasikitika [emoji117] View attachment 863292 [emoji38] [emoji38]


Kujishughulisha na pepo

Hii ni ibada nyingine ya msingi katika dini ya Kikristo. Hata hivyo, katika kutilia mkazo makemeo yake dhidi ya ibada hiyo potofu, Yehova aliwaambia wanadamu kama ifuatavyo:

"Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Mambo ya Walawi 19:31)

"Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na mitano katika Yerusalemu; ... Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawa sawa na machukizo ya mataifa; ... akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, ... akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha". (2 Wafalme 21:1-6)

"Tena mtu mume na mtu mke aliye na pepo au aliye mchawi, hakika atauawa, watawapiga kwa mawe, damu yao itakuwa juu yao". (Mambo ya Walawi 20:27)

Kulingana na maandiko hayo juu, hapo Yehova kwa ujumla anawataka wanadamu wasishirikiane kabisa na watu wenye pepo, bali wajitenge nao mbali kabisa. Zaidi ya hivyo, mbali ya amri hiyo pia Yehova ameamuru wenye pepo wauawe kabisa na si kuacha kujishughulisha nao tu.

Pamoja na makemeo hayo ya Yehova dhidi ya yeyote anayejishughulisha na pepo, lakini muasisi wa Ukristo, Bwana Paulo anasema:

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka; juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho".(Waefeso 6:12)

Kulingana na maelezo hayo ya Paulo hapo juu, tunaona wazi kwamba wakati Yehova amefikia kuamuru kuuawa yeyote atakayebainika akijishughulisha na pepo, hapo juu Bwana Paulo anawataka watu wajishughulishe na pepo kwa kushindana nayo!

Na kama ilivyo desturi yao kuuandikia Ukristo wa Paulo, waandishi wa agano jipya katika kusherehesha mafundisho hayo ya 'mwalimu wao' (ya kuruhusu watu washindane na pepo), wamethubutu kuonyesha katika Injili zao kuwa ati Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kujishughulisha na pepo na kuwaagiza wafuasi wake wafanye hivyo! (Tazama Mathayo 8:28-32; 15:21-28; Marko 5:1-13; 7:24-30; 9:38-40; 16:17; Luka 8:26-33).

Pamoja na Paulo na washereheshaji wa mafundisho yake hayo kuhubiri mafundisho hayo ya dini yao ya Kikristo, lakini wanafahamu fika kwamba Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi kusema au kutenda jambo lolote lililokatazwa na Yehova aliyemtuma, kama hilo la kujishughulisha na ibada hiyo (ya kujishughulisha na pepo) ambayo imetokana na wapagani.

Kwa ujumla basi, katika kufuata mafundisho hayo ya Paulo, ndio utaona mpaka leo Wakristo hasa walokole hujishughulisha sana na pepo katika mikutano yao ya wazi wanayoiita ya "neno la Mungu", "December Crussade", "November Crussade" na kadhalika. Huku wakijua wazi kwamba asili ya ibada hii imetokana na wapagani na Yehova ameikemea vikali sana!
 


No nativity yarn in Epistles, Mark or John


In the letter to the Galatians, the writer of this particular Pauline epistle stresses one point about the birth of the Christ – and it is not the extravagant claim that he was born to a virgin. It is the rather prosaic claim that the birth conformed with Jewish Law (in other words, that Christ was born a Jew):


"But when the time had fully come, God sent his Son, born of a woman, born under law."
– Galatians 4.4.​


In the verse that follows the writer explains that the son was born as a Jew in order that he might "redeem" others who were also Jews. Nowhere in this, or any other epistle for that matter, is there any reference to a virgin, called Mary or by any other name, bringing forth a child. In the one passage where Paul does discuss virgins (1 Corinthians 7) the writer says virgins serve the Lord better than wives because they are not distracted by the needs of their husbands!


The only other occasion where the Pauline writers are at all concerned with the birthing of Jesus is Romans 1.1-3. and here the reference is to "human seed", not the agency of divine spirit:


"I Paul, a servant of Jesus Christ, called to be an apostle and separated onto the gospel of God ...concerning his Son Jesus Christ our Lord, which was made of the seed of David according to the flesh."​


The Pauline position is unequivocal. The authors know nothing of a supernatural conception and in fact say the very opposite – the birth was normal and Jewish, albeit of "kingly seed".


The author of Mark is another who has no story of a holy virgin or divine impregnation. Mark's Jesus makes his first appearance as an adult, not a child, and there is no later referral to any supernatural, or even natural, birth. Mark sketches in the barest detail regarding his hero's origin. His Jesus came "out of Galilee", emerging from the city of Nazareth for his baptism by John. But that is all Mark has to say on the matter.


Perhaps more telling is the treatment of Jesus' origin in the gospel of John. Here, the author, though he almost certainly knew the earlier fables dreamed up Matthew and Luke, like Mark, has no interest in any human genesis of his "Word of God made flesh". John states very clearly that Jesus was "the son of Joseph" (John 1.45; 6.42.) – which could hardly have left Mary a virgin. Again, like Mark, he prefaces his story of Jesus with a preamble about John the Baptist and when the "Light" and the "lamb" first appears it is as an adult. Later in his gospel, John's Pharisees discuss the Christ and they are clearly under the impression that Jesus had no connection with Bethlehem (John 7), a belief shared earlier in his tale by the soon-to-be disciple Nathanael. Not even the evangelist John is sold on the fantastical "virgin birth" yarn!
 
Too Low. Mfsss
 
We ni dini gani?.. Ndio Mudi kakufundisha kujibu hivyo?.
Poor you.
 
Nilitaka nikujibu ila nimeona ntapotezaa nguvu na kuda ila bro upo empty kabisa kwenye Quran...

Ila ntakupa aya moja katika surat an-biya 21:107

And We have not sent you, [O Muhammad], except as a mercy to the worlds


Ninachosikitika hamtafuti ukweli mnaridhuka na infomation za kulishwa lishwa ungejua Quran imemzungumzia vip Jesus na mama yake usingendika huo Upupu hapo..! Umeshakula sumu sana na mindi set ipo kwa ajili ya kubishana suo kujifunza nakuaacha kama ulivyo ila ushauri wangu usipende sana information unazopenda kuzisikia penda kujuua ukweli..

Najua wengimnatafuta taarifa zitakazo justfy ukweli wa iman yako na tunasahau din hiz wengi tumerithi wa wazazi na wakati tunapata akilitumejikuta tumeshakua brainwashed sasa baadala kutafuta ukweli tunatafuta madhaifa ya iman nyigine ili uendele kujiona iman yako iko sawa na hili nalisema kwa iman zote wazazi wetu wamaweza kukosea mi nimezaliwa kwenyw familia ya kikristo na nimesoma ngaz karibu zote lakin nilikaa nikajiukiza mswali magumu ambayi hata nyumban nilikuwa napigwa marufuku kuyauliza baada nikaa bila iman had huku nafanya research so mnavyobishana hapa najua mlipo kwamia hamjaamua kumtafuta Mungu mmeamua kulazimisha kuhalalisha iman zen kwa infoamrtion yoyote utakayoipata dhid ya iman nyingine bila kujali ni ya kweli au sio ya kweli.! Ni bora umueleze mtu kitu cha ukweli kwa ushadi kuliko kukota mafundisho ambayo anayoyasema na yeye anatatizo kama lako.!..kuwen makin tunaisha mara moja hakuna kurud kuja kusawazisha makosa
 
Nimekwambia tatizo langu la awali hujaweza kuniambia kwa nini wewe unafikiri unaweza kunisaidia, sasa niseme hilo mara ngapi?

Wewe umeleta tatizo kwa kusema unataka kunisaidia halafu huwezi kusema kwa nini wewe unaweza kunisaidia mimi.
Kwanza umekubali una tatizo liwe la awali au la mwisho, kuhusu kuweza kukusaidia nimekwambia ndio naweza kwasababu mimi ni mbobezi wa kusaidia watu , sasa hapo kipi akieleweki?eleza tatizo usaidiwe
 
Kweli Ni Yesu Kristo pekee. Na Mohammad hakumjua Yesu Kristo. Akisema anamjua, basi kweli haimo ndani yake.
hayo maneno yako umeokota wapi? , mbona nimeshakueleza Yesu ni mtu tena nabii , na hivyo ndivyo unapaswa kufahamu,na ndivyo kila siku tunamifundisha amuelewi
 
1.Nashukuru sana kwa maelezo yako..Japo wewe huna Ukristo wowote. Hata up bringing yako haina viashiria vya Kuujua Ukristo. Ndio maana ukaona unayo maswali magumu.

2. “Believers, do not ask about things which, if revealed to you, would disappoint you. Some people before you did ask such questions, and on that account LOST THEIR FAITH.” (Quran. 5: 101-102)

[emoji1540][emoji1540][emoji1540]
Hii ayah INAWAAMRISHA waislamu wasiulizeulize kuhusu mambo ya imani yao. Kwasababu wakiulizauliza, wataiacha Imani. Kama ambavyo kuna waamini, waliouliza kabla yao waliachana na Imani kwa kuukataa Uislamu.

Kumbe basi unaamini kwasababu hauko Free to think outside the Koranic Box. This is only for blind faith. Mtu ambaye ni Sound and Sane hawezi kuendelea kuamini katika mashakamashaka ya Islam.


3. ISLAM IS FOR ARABS ALONE.

The Quran 10:47 says,
And for every people there is a Messenger.

And Quran14: 4 says,
And WE have not sent any Messenger except with REVELATION IN THE LANGUAGE of his people in order that he might MAKE THINGS CLEAR TO THEM .
[emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]Hii verse inaonyesha kua Uislamu ni mahususi kwa Waarabu. Na wasio waarabu hawahitaji kusilimu

Quran 16:36.
And WE DID RAISE among every people a Messenger

Quran 5:48
For EACH OF YOU WE prescribed a clear spiritual Law and a manifest way in secular matters

Quran 32:3
It [the Quran] is the truth from your Lord; that you [Muhammad] may warn a people to TO WHOM NO WARNER HAS COME BEFORE YOU, that they may be guided.

Quran 36.6
[This is a revelation] That thou mayest warn a people WHOSE FATHERS WERE NOT WARNED , and so they are heedless.


[emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]AYATI HIZI ZA KORAN zimerudiwa kulithibitisha hilo mara nyingi sana. Ili kuondoa mashaka YOTE.

Allah anasema kila Jamii ya watu wana mtume wao.
Muhammad ni kwa wale ambao hawakupata mtume wao. Yaani waarabu.Ili waarabu wasije wakalalamika kua hawajaletewa mtume. Allah akaweka uislamu kwaajili yao.

Quran 6: 156- 157 explain,
Lest you should say, `The Book was sent down only to two peoples before us, (Jews and Christians) and AND WE WERE INDEED UNAWARE OF WHAT THEY READ
Or LEST YOU SHOULD SAY, `Had the Book been sent down to us, we should surely have been better guided than they.’ There has now come to you a CLEAR EVIDENCE FROM YOUR LORD and a GUIDANCE and A MERCY.

Na ili kuthibitisha hilo Ayati inahakikisha kua kama Koran ingeshushwa kwa wasio waarabu wasinge amini.[emoji1313][emoji1313]

Quran. 26: 198-199
And if WE had sent it down to one of the NON-ARABS, and he had read it to them, THEY WOULD NEVER HAVE BELIEVED IN IT.

Na ili kuepuka usumbufu Koran inazidi kusema. Inawataka wakristo kufuata mafundisho yao na mafunuo yao. Koran ni kwa wale tu wasiopata mafunuo.
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Quran 5:19
O People of the Book, there indeed has come to you Our Messenger, after a break in the series of Messengers, who makes things clear to you lest you should say, `There has come to us no bearer of glad tidings and no Warner.’ So a bearer of glad tidings and a warner has indeed come to you. And ALLAH has power over all things.

Kwakua Allah anajua kuna watu wabishi Sana na hawaelewi. Na Yeye Anataka hata viziwi waelewe kile anachomaanisha kwa msisitizo kabisa
[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Quran 6:92
And this is a Book which WE have revealed, full of blessings, to fulfill that which preceded it, and to enable thee to warn the *Mother of towns and those around it.* أُمَّ الْقُرَى وَمَنْ حَوْلَهَا

Mother of Town: ina maanisha _Umul Qura, Mecca_.

Yaani Mecca na maeneo kuzunguka mji tu.

Allah anajua bado watakuja watu WAJINGA ZAIDI. Kwa msisitizo anazidi kukazia ili wale VICHWA VIGUMU WAELEWE . HAPA ANASISITIZA
Quran 42:7

🤣🤣🤣[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Quran 42:7
Thus have WE revealed to you the Qur’an in Arabic, that you may warn the Mother of towns, and all those around it.


Na koran inajieleza kua ipo wazi na haina makosa na inaeleweka vizuri na haina Mashaka
Kupitia aya mbalimbali kama ifuatavyo.

[emoji117]kitabu kilicho wazi” (5:15).
[emoji117]Rahisi kueleweka (44:58 , 54:22 , 54:32, 54:40)
[emoji117]Kilichojieleza kwa kina (6:114),
[emoji117]Kilichopokelewa bila makosa (5:16, 10:15)
[emoji117]Kisicho na shaka (2:1).

Sasa aje muislamu kupinga kua Usilamu sio wa Waarabu peke yao.

🤣🤣🤣🤣









4.
Be mercy to the World. Which world?(rejea above).
Mohammad never being a mercy to this world.we ara living. Tazama biography yake utaona vyema. He seriously transgressed that Word Mercy. He slaughter thousands of innocents souls, raped, enslaved. His resume is astonishing!!
 
hayo maneno yako umeokota wapi? , mbona nimeshakueleza Yesu ni mtu tena nabii , na hivyo ndivyo unapaswa kufahamu,na ndivyo kila siku tunamifundisha amuelewi
Wewe ndio Huelewi. Yesu Ni nabii, Mwalimu(Rabbi), Mwinjilisti, Mtume, Mchungaji na kubwa zaidi ni Kristo Masiha Mwana wa Mungu.
 
Nafikir sasa umeishiwa hoja umeamua urudie rudie na kujitoa akili haya yote tulishakujibu kijana ila kwavile ww akili yako ni yakuku wacha tukutwange tena
1.Muhammad had sex with dead woman and mam , tena unarejea hadith ya sahih muslim book 38.hadith no 6678 , humo kumetajwa neno SLEPT Wewe unasema SEX huu tunaita ni utahira halafu unajifanza mjuzi wa kiarabu neno lililotumika ni ID'TAJAT maana yake ni LIE DOWN au LIE sasa vichekesho ww unakuja na kutoa tafsiri yako ya Vatican eti"lay down to have sex" ahahahahhahaha hayo maneno to have sex umeyaokota wap ?
2.Quran 9:73 unasema mambo ya Harsh punishment , tena ili kutetea hoja yako ukatoa hadith ikiwemo hii ya sahihi al bukhari book 52 hadith 261 kwamba mtume ni katili sasa mbona hiyo hadith ilitoa sababu ya hao watu kuuawa na adhabu kali , ukisoma hadith hiyo hiyo mwishoni inasema hivi (Abu Qilaba,as sub -narrator said"They committed Murder and theft and fought against Allah and His Apostle , and spread evil in the land". hiyo ndio sababu ya kupewa adhabu stahiki , mbona hata kwenye biblia watu wanaosababisha madhambi wanauliwa tu
MFANO kama huu utakufaaaaaa
HESABU 31:16-17
16"" Tazama, hawa ndio waliokosesha wana wa Israel , kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana DHAMBI katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana"
17" Basi kwa ajili hiyo, MWUENI, kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume, kwa kulala pamoja nae";
nafikir umeelewa tena mpaka vitoto vinauliwa ww unashangaa mtume kuua hao vijana lakini ya watoto unachekelea ahahhahahhahaha
3.Umezungumzia swafan na aisha kuzini
kijana huo ni uzushi kama uzushi mwingine Mungu ameeka taratibu za kufaatwa ili mtu awe na hatia nayo ni hii
Quran 24:11-16
";Kwanini hawakuleta mashahidi wanne? na ilivyokuwa hawakuleta mashahidi wanne basi hao mbele ya Mwenyezi Mungu ni waongo;"
Mungu amemaliza kazi kama unaweza thibitisha popote ata gazeti la udaku kuwa mashahidi wanne walikamilika ili aisha awe amezini basi nakukalibisha ulilete yakheeeee
 
Wewe ndio Huelewi. Yesu Ni nabii, Mwalimu(Rabbi), Mwinjilisti, Mtume, Mchungaji na kubwa zaidi ni Kristo Masiha Mwana wa Mungu.
Hata Israel mwana wa mungu, mbona wana wa Mungu kibao tu ila manabii ni wachache kubwa la kuwafundisha ni kuwa Yesu ni mtu alietumwa na Mungu , hili ndio la mbolea
 
Kila siku tunamiambia kabla hamjapiga kelele muwe mnapitia hata hivyo vifungu mnavyocopy
2.Hoja namba mbili(2) hii ni umekatisha hiyo aya 5:101 yenyewe tu ujaimaliza umeanza kuleta tafsiri zako za uongo , ebu leta hiyo aya complete utajijibu mwenyewe, maana sasa ntakua nalea wavivu
 
Hata Israel mwana wa mungu, mbona wana wa Mungu kibao tu ila manabii ni wachache kubwa la kuwafundisha ni kuwa Yesu ni mtu alietumwa na Mungu , hili ndio la mbolea
Uwana wa Mungu wa Yesu Kristo ni perculiar kulinganisha na huo wa Wana wa Israeli. Uwana wa Mungu wa Yesu Kristo ni More divine.
Rejelea nyakati zile ambapo mafarisayo. Wanamtuhumu Yesu kujifanya kua Mungu.
Yohana 10:33.

Yesu Kristo alitoka Mbinguni akaja duniani..amerudi tena Mbinguni akiwa na mamlaka juu ya vyote.
 
Hoja yako namba tatu(3) haina mashiko kabisa ndio maana unajaribu kuunga unga maandiko wote tunakubali mtume alikuwa mwarabu na Quran imekuja kwa lugha ya kiarabu , na sio Quran tu ata taurati imekuja kwa lugha yao wanaotumia hao wayahudi ili iwe rahisi kwao kuelewa lakini suala la mtume katumwa kwanani jibu analo Mungu , haya sasa twende kazi
QURAN 14:28";Na hatukukutuma ila kwa WATU WOTE , uwe mbashiri , na mwonyaji , lakini watu wengi hawajui,"

kwa mujibu aya hii miongoni mwa watu wasiojua ni ww na genge lako
VILEVILE kuna hoja yako no 4 kuhusu Mohammad sijui kuua sijui nini nafikir hii ni lawama tu tumeshalimaliza hili bila KUUA hakukuwa na alternative ya Mungu wa biblia kuipata nchi ya ahadi kwahiyo hakuna hoja hapo
 
Hili ndio tatizo lako mwanafunzi unajaribu kumzidi mwalimu yesu eti "perculiar" jamani jamani haya msikilize Yesu anachotuambia
YOHANA 20:17
";Yesu akawaambia , usinishike ;kwa maana sijapaa kwenda kwa baba , lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu NAYE ni baba YENU, kwa Mungu WANGU naye ni Mungu WENU"

Unakuja hapa unaandika mambo hata yesu ajafundisha sijui perculiar mara more divine haya mambo kamifundisha yesu yupi nyie!!!
 
Hivi ww unaugonjwa wa kusahau ili tulishakujibu muda mrefu , mtume aliwasomea na akakamilisha dini yote , sasa unataka asome nini wakati kila kitu alishamaliza? ukibanwa huku unarudia kule,ukibanwa kule unarudia huku bureee kabisaaaa wewe, halafu kuhusu kutokujua kusoma baadhi ya watu mbona kawaida hata wanafunzi wa yesu hawakujua kusoma wala elimu walikuwa hawana maarifa, mbona hilo ulitangazi humu
 
We ni dini gani?.. Ndio Mudi kakufundisha kujibu hivyo?.
Poor you.


Kanifundisha hii

Fulfilled Prophecy? No, just cut and paste


All this took place to fulfil what the Lord had spoken by the prophet:
"Behold, the virgin shall conceive and bear a son, and they shall call his name Emmanuel. " – Matthew 1.22-23.​


No one in the New Testament actually calls Jesus "Emmanuel". The prophet who supposedly made this prophecy was Isaiah, although "Isaiah" is at least three writers, composing material over a period of two hundred years. First or "proto" Isaiah, sometime in the 8th-7th century BC, wrote:
"Therefore the Lord Himself giveth to you a sign, Lo, the Virgin is conceiving, And is bringing forth a son, And hath called his name Immanuel." – Isaiah 7.14. (Young's Literal Translation)​



Such a "literal" translation of Isaiah's words still retains a Christian spin. Note, however, that the present tense is used.


The context for this supposed "messianic prophecy" is a a world away from Herodian or Roman Judea. "The Lord" (through Isaiah) is speaking to King Ahaz, the ruler in Judah around 734-728 BC. The young woman in question is probably a wife or concubine of Ahaz himself, present among the courtiers addressed by the prophet. She is pregnant (clearly so, hence the "Behold!"), and, despite the insistence of Ahaz that he won't "test the Lord", Isaiah is determined to present the woman's imminent birthing as a "sign" from Yahweh. The "sign" is not the miracle of a virgin pregnancy – or even a miracle at all. The "sign" is that the soon-to-be-born son will quickly learn righteousness, will enjoy the favour of the Lord, and that the House of David will prevail.


A more accurate rendering of the text would be:


"Therefore Yahweh himself gives you a sign. Look! The young woman who is pregnant will give birth to a son and she should call his name Immanu'El (Yahweh is with us)."​



But the "sign" that Isaiah has identified in the pregnant maiden is incomplete without the verses that follow:


"Butter and honey shall he eat, that he may know to refuse the evil, and choose the good. For before the child shall know to refuse the evil, and choose the good, the land that thou abhorrest shall be forsaken of both her kings." – Isaiah 7.15-16.​



In other words, before the child eats "butter and honey" and learns to choose good over evil (surely a choice quite unnecessary for Jesus to learn?) Judah's current enemies will be rendered low. The timeframe is not centuries but very short. The political/military crisis caused by the then occurring assault on Judah from Ephraim (the northern kingdom, Israel) and Damascus (Syria) will – says Isaiah – result in their mutual defeat.



The "prophet" Isaiah is offering reassurance to King Ahaz, given in return for his fidelity to Yahweh.​
Clearly, we are not dealing with any Roman province or a messiah to be born some seven hundred years into the future (and of scant consolation to a king facing imminent defeat!). In fact, the "prophecy" pointed towards Ahaz's own son Hezekiah (728-698 BC) and that is the surest guide that the "sign" was actually concocted during the reign of Hezekiah himself.​
And as it happens, "Hezekiah" is theophoric name, meaning "Strengthened by Yahweh". For some later rabbis Hezekiah fulfilled the messianic hope; for others that hope would be fulfilled by Hezekiah's return.*

In reality, Ahaz did not solely "trust in Yahweh" – he appealed to Assyria and its ruler Tiglath-Pileser, who in 732 BC reduced Judah's enemies, Damascus and Israel. As a result of this "alliance" with a superpower, and to the chagrin of Yahweh's "prophets" like Isaiah, Assyrian gods were introduced into Jerusalem and Judah effectively became a vassal to Assyria.


When Hezekiah inherited the throne a few years later it was at the height of Assyrian expansionism. The early years of his reign witnessed a rebellion by the northern kingdom under Hoshea, which provoked the wrath first of Shalmaneser V and then of his successor Sargon II. As a result, the northern kingdom, based on Samaria, was destroyed in 721 BC and much of its population ("the lost ten tribes") deported.


Though in vassalage to Assyria, Judah gained emigre priests from the north, whose presence at the royal court strengthened the hand of the Yahwehists and prompted religious "reform" and notions of resistance. And indeed, following Sargon's early death, and in collusion with Egypt, Hezekiah found the courage to rebel, and launched attacks against neighbouring Assyrian allies. At this juncture, propaganda highlighting the king's "favour in the eyes of the Lord" became apposite to Judah's very survival and "Isaiah" got to work.


Like all "prophecy" Isaiah's words were written for a contemporary purpose but were dressed in the clothes of a similar, earlier conflict, in this case one thirty years earlier involving Hezekiah's own father. It assuredly had nothing at all to do with the birth of a godman far into the future, in the time of Herod. Also, like all "prophecy" it was worthless. Four years into Hezekiah's rebellion, the Assyrian war machine rolled over Judah, destroying Ashkelon, Joppa, Lachish and trapping the Jewish king "like a bird in a cage". To survive at all, Hezekiah had to forfeit his entire treasury and "strip the gold from the doors of the temple" (2 Kings 18.16). The humiliated king died within three years and both his son Manasseh and grandson Amon ruled as Assyrian vassals.


"With the acknowledgement of Assyrian overlordship, and the attendant recognition of Assyria's gods, the theological foundations of the monarchy – Yahweh's eternal choice of Zion and David – were thrown into question."​
– J. Bright, Peakes Commentary, p489.​



Quite simply, the "prophecy of a virgin birth fulfilled in Jesus", although repeated a million-fold in every nation that ever succumbed to the psychosis of Christianity, is pious rubbish from beginning to end.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…