Hicho ulicho andika baba kasim hakubaliani na wewe anasema hana Mwana Wa aina YOYOTE ile [emoji117]
View attachment 889279 na majini nayo yanaunga mkono sijui wanamjibu nani aliye sema MUNGU ana mke [emoji15] [emoji12] [emoji117]
View attachment 889283 Maria kuitakidi ni Mama Wa Mungu ni sifa sababu hata Maria Anamuita Mungu Baba [emoji120] halafu ungekuwa muumini na sio kafir ungetafakari hapa [emoji117]
View attachment 889338 huyu mama kwanza AMECHAGULIWA, HALAFU AMETAKASWA HATA KULIKO MAMA YAKE MUSA, DAUDI...na hata mtume wako muhammad mtoto Wa abd allah...Yaani kuliko wanawake wóóöte duniani kwa ni Mungu Amuandae kihivyo nini kinataka kuingia humo [emoji351] [emoji351] [emoji351] kwa akili za kisilamu umebakia alahu yaalam [emoji15] [emoji12]