Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ahahahahahahahahahahha ata Yesu alikuwa ni muisrael ndio maana akuwai kula nguruwe wala kumiambia nyie mle nguruwe , tena akasema akuja kuvunja taurati bali kutimiliza, swali langu nani amekwambia wewe ule nguruwe? ahahahaahhaaaahahahhahahaha nataka kujua nani kakufundisha uroho ukaacha mafundisho ya Yesu na kula nguruwe?
 
Ahahahahahahahahahahahaahahahaha ndio nini wewe ahahahahhahahaahha unajibu jibu tu utumbo
Kwa hiyo Ana Mwana na sio mgumba [emoji53] Asante masudi [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] Hakika ado ado utaelewa kwa lazima [emoji53]
 
Wewe Yesu awezi fanya mwenyewe ubavu huo autoe wapi Baba ndio kila kitu mtumwa tu huyu wacha kumpa sifa asiyo nayo
YOHANA 5:30
"; Mimi SIWEZI kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo ; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka";

Ahahahahahahaa awezi fanya mwenyewe Baba ndio kila kitu tena alishakutaarifuu mapema
YOHANA 14:28
"Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia , Naenda zangu, tena naja kwenu , kama mngalinipenda , mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni MKUU kuliko mimi";

Ahahahahahahaa Yesu kasema wazi afanyi neno mwenyewe vilevile Baba ni mkuu kuliko Yesu , sasa ya mwisho Baba ni Mungu wa Yesu
YOHANA 20:17
"; Yesu akamwambia , usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba, lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu";

Ah hahahahahhhhhahhahahahaha mwenye macho na aone
 
Kwa hiyo Ana Mwana na sio mgumba [emoji53] Asante masudi [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] Hakika ado ado utaelewa kwa lazima [emoji53]
Bikira maria mama wa Mungu" kwa ubaba huo Mungu wetu ametakasika ahahahahhaahahahahahahaaaaahah lakini kwa ubaba alioufundisha Yesu kuwa baba yake ndio baba yako wewe mgeni, na Mungu wa Yesu ndio Mungu wako wewe mgeni huu mbona saafi maana hauitaji " Bikira maria awe mama wa Mungu" kwasababu ata mama yako wewe mgeni atakuwa mama wa Mungu kwa sababu ata wewe mgeni ni mtoto wa Mungu, labda uogope kwa kuwa wewe mswahili wa tandale ahahahahahhahahahhahahha
 




Hicho ulicho andika baba kasim hakubaliani na wewe anasema hana Mwana Wa aina YOYOTE ile [emoji117] View attachment 889279 na majini nayo yanaunga mkono sijui wanamjibu nani aliye sema MUNGU ana mke [emoji15] [emoji12] [emoji117] View attachment 889283 Maria kuitakidi ni Mama Wa Mungu ni sifa sababu hata Maria Anamuita Mungu Baba [emoji120] halafu ungekuwa muumini na sio kafir ungetafakari hapa [emoji117] huyu mama kwanza AMECHAGULIWA, HALAFU AMETAKASWA HATA KULIKO MAMA YAKE MUSA, DAUDI...na hata mtume wako muhammad mtoto Wa abd allah...Yaani kuliko wanawake wóóöte duniani kwa ni Mungu Amuandae kihivyo nini kinataka kuingia humo [emoji351] [emoji351] [emoji351] kwa akili za kisilamu umebakia alahu yaalam [emoji15] [emoji12]
 
Ahahahahaahahahahahahaha wewe na WAKRISTO wenzako si ndio mnasema Bikira maria mama wa Mungu? wanakujibu wewe kuwa Mungu ana mke wala ana mama wala hana baba ni upuuzi kufundishana imani za kipuuzi , Nani kakwambia kuteuliwa na Mungu ndio kupewa umama wa Mungu? ahahaahahaahahahhahahhaha Mungu ameshasema Maria na Yesu wote hao walikuwa wakila kama ww na wakienda chooni acha imani potofu Yesu si Mungu wala mama yake si mama wa Mungu wacha ukafiri ahahahahaaahaahaha
 

MAMBO HAYA


 

Abuu hureira baba wa mapaka aliwazaa nyau [emoji351] [emoji351] [emoji351] bi khadija mnamuita mama Wa waumini wee masudi kakuzaa [emoji351] [emoji351]
 

Nani kanizuia kula nguruwe na nani kakuzuia wewe kula nguruwe [emoji351] [emoji350]
 
Abuu hureira baba wa mapaka aliwazaa nyau [emoji351] [emoji351] [emoji351] bi khadija mnamuita mama Wa waumini wee masudi kakuzaa [emoji351] [emoji351]
Kwahiyo abu hureira kuitwa baba wa mapaka ndio na wewe ukamuita Bikira maria mama wa Mungu? ahahahahhahahahahahahahahahahaha wewe dogo Mungu sio mtu achezewi ahahahahahahaha kwahiyo unafananisha paka na Mungu Ahahahahaahahahah bangi hizi ahahahahaaaaaha
 
Ahahahahahahahaha na wewe muigize Yesu kupigwa makofi na kutemewa mate kama kinyesi ahahahahahaaahaa ujinga mtupu kumsingizia Yesu uwongo
Mbona Namgeza kila siku [emoji15] [emoji53] sasa na wewe mgeze baba yake fatuma ule mnofu Wenye sumu kisha ufe ikilia lia mbele ya mkeo [emoji53]
 
Nani kanizuia kula nguruwe na nani kakuzuia wewe kula nguruwe [emoji351] [emoji350]
Alienizuia mimi kula NGURUWE huyu hapa
QURAN 6:145
";Sema ; sioni katika yale niliyofunuliwa mimi kitu kilichoharamishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika, au nyama ya nguruwe , kwani hiyo ni uchafu

ULIOKATAZWA wewe mgeni na waroho wenzio
MAMBO ya Walawi 11:8
"; msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu ";

ahahahahaaahhaahha hata Yesu alipokuja akuwai kula nguruwe wala kumifundisha kula nguruwe bali alisema SIKUJA KUIVUNJA TORATI ahahahhaha swali wewe nani kakwambia ule nguruwe ? Umejifunza kwanani uroho wa kula nguruwe
 
Mbona Namgeza kila siku [emoji15] [emoji53] sasa na wewe mgeze baba yake fatuma ule mnofu Wenye sumu kisha ufe ikilia lia mbele ya mkeo [emoji53]
Mbona ufi na wewe ukafufuka siku ya tatu? ahahahahaahahahahahahaaahahaa kufa tuone ufufuke kama mnavyomtangazia Yesu Mungu mtu aliechezea kichapo cha viumbe wake wayahudi ahahahahahahah imani nyingine ni vichekesho
 

wakukufundisha na kukusomea kajifia huku anasikitika [emoji117] unajifanya hujui oo koloani ilihifadhiwa kwenye kifua ndio kafa tena athari tunaziona mnavyo fumuana mikunjo hadi ya maiti na wanyama, mnavyo kamuana ngama mavi ukaacha ufuoni chumbani maiti mkatupa jalalani...mnavyo Amini mtakata mauno mbele ya MUNGU wenu.....[emoji12]
 
Ahahahahahhaahahah mbona unatia huruma ndio QURAN ilihifadhiwa kwenye kifua kwanza , wakafundishwa waislamu na mtume na mtume akakamilisha dini , na Mungu anathibitisha kuwa kakamilisha dini (QURAN 5:2-3) vilevile kwenye hotuba ya hija ya kuoga mtume aliwauliza waislamu nimefikisha waislamu wakajibu umefikisha kila fundisho ulilopaswa kufundisha ahahahaahahaaha mjomba dini hii hatubahatishi labda unamaanisha hawa wanafunzi wa Yesu wasio na elimu
MATENDO YA MITUME 4:13
" Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana , na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu , wasio na MAARIFA , wakastaajabu , wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu";

ahahahhahahahha watangaze waalimu wako hao ahahhhahaaaaaha
 

Kwa akili ya kisilamu imekamilika [emoji12] kama huku ndio kukamilika [emoji117] sawa sikubishi [emoji38] Hivi mnaona hiyo kauli ya koloani ni maskhara eeh [emoji15] [emoji53] akili ya maiti tu ndio unaweza kupata usingizi kwa ayat kama hizo [emoji15] nikuulize hiyo safari ya motoni wee umo [emoji350] [emoji351]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…