Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
akili nyingine hadi unaamini farja akbar [emoji38] [emoji38]


Paulo Na Ukristo

• Biblia yamdhihirisha Mungu anayeabudiwa na Wakristo
• Paulo alivyoibadilisha majina "miungu-Zeu" na "Herme" ya Wapagani na kuiita "Yesu"!
• Afundisha desturi na sifa zao kuwa ni moja

Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani


Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine. Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni! Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania. Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (Tazama Yohana 8:40) na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (Tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, tumeona jinsi Mungu (Yehovah au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme). Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu i sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme).

Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali! Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.)kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (Tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme.
 



UMEKIMBIA HUKU ???


Paul here is admitting that he lied or that he might resort to lying for the sake of spreading GOD Almighty's Truth.

This is demonstrated in the following verses from Paul:

Philippians 1:15-18

15 It is true that some preach Christ out of envy and rivalry, but others out of goodwill.

16 The latter do so in love, knowing that I am put here for the defense of the gospel.

17 The former preach Christ out of selfish ambition, not sincerely, supposing that they can stir up trouble for me while I am in chains.

18 But what does it matter? The important thing is that in every way, whether from false motives or true, Christ is preached. And because of this I rejoice.

So if one practices sodomy in California, USA, and offers his rear end for sexual sale to be politically correct to the society that he is in, or one does illegal sex with the girls in town and goes to the bars and get drunk with the people, to get the attention of those people that he is living among so that he can preach to them whatever he wants to preach, then according to Paul, these "false motives" are still justified!

To Paul, the end literally justifies the means!
 
YESU [emoji53]


It seems to me that Paul did not bother wanting to know what Jesus' teachings were really all about. Especially when I look at the following verse..

1 Corinthians 2:2

For I resolved to know nothing while I was with you except Jesus Christ and him crucified.



It seems like that was all Paul wanted to know. He just wanted to know that there was some one called Jesus Christ and that he was crucified. He was not interested in knowing that Jesus ordered the fulfillment of the Law (Matthew 5:17-20) or anything else in that matter.

Jesus being crucified was the soul of Paul's teachings as this commentator says:

v.2 This verse gives us the message of Paul's preaching.


We can also see that by looking at this verse

1 Corinthians 1:23

but we preach Christ crucified: a stumbling block to Jews and foolishness to Gentiles,



Some Bible commentators try resolving the issue of 1 Corinthians 2:2...

. Not to know anything "does not mean that he left all other knowledge aside, but rather that he had the gospel, with its crucified Messiah, as his singular focus and passion while he was among them."


However, we all know that the Gospels were written after the first book of Corinthians. (See Early Christian Writings: New Testament, Apocrypha, Gnostics, Church Fathers)

What other Gospel was Paul using?

Where is that Gospel?




We see Paul quoting Jesus...

Acts 20:35

In everything I did, I showed you that by this kind of hard work we must help the weak, remembering the words the Lord Jesus himself said: 'It is more blessed to give than to receive.' "


No where in the four Gospels that we have today, did Jesus say that statement.

Was Paul using another Gospel?

Was he making this all up?

Did he truly know the Gospel or Jesus' teachings? Or did he just stick to what he wanted to know and that is Jesus being crucified?
 
akili nyingine hadi unaamini farja akbar [emoji38] [emoji38]


'PAUL' CURSED JESUS CHRIST AND HIS APOSTLES AND DISCIPLES


" If we or an angel from heaven preach ANY OTHER GOSPEL to you than what we (Paul and his followers) have preached to you LET HIM BE A CURSE"
(Gal 1:18)



There was a distinction even back then with the disciples of Jesus and Paul and "his" followers. Barnabbas and Mark both followed Paul at one time and then left him and went back to the disciples.

Barnabbas was sent by the Apostle Peter to travel with Paul and teach Paul the ways and teachings of Jesus, but Paul wasn't going to play second fiddle to anyone and usurped the authority of Barnabbas and taught what he wanted to teach.

How many ever knew that Paul was suppose to be subservient to Barnabbas?


 
Jesus: "DO NOT CALL ANYONE ON EARTH YOUR FATHER; for ONE IS YOUR FATHER, HE who is in heaven"
(Matthew 23:9)


The devil 'PAUL' BLASPEMOUSLY BOASTED

"For I BECAME YOUR FATHER"
(1 Corinthians 4:15)
Takbirrr [emoji109] mgongo wa ngisi akbar [emoji38]
 
.

This verse is contextual. Read again the reason:

Philipians1:17.- "The former preach Christ out of selfish ambition, not sincerely, supposing that they can CAN STIR UP TROUBLE FOR ME while I am in chains."




Don't stir up some trouble for the "Context specific verses" which can only be applied on the similar situation.
 
Jesus: "DO NOT CALL ANYONE ON EARTH YOUR FATHER; for ONE IS YOUR FATHER, HE who is in heaven"
(Matthew 23:9)


The devil 'PAUL' BLASPEMOUSLY BOASTED

"For I BECAME YOUR FATHER"
(1 Corinthians 4:15)
Wooh! you are going to far now.
Love joking.. Bad joking.

Q. How about your parent?. Has your Mother propose a name for your dad? I heard you have only one Father-satan
 
2 Corinthians 4:4 - In whom the god of this world hath blinded the minds of them which believe not, lest the light of THE GLORIOUS GOSPEL OF CHRIST, who is the image of God, should shine unto them.


Galatians 1:5-6
To whom be glory for ever and ever. Amen.
I marvel that ye are so soon removed from him THAT CALLED YOU UNTO THE GRACE OF CHRIST unto another gospel:

This means Mohammad is cursed. His teachings is against Gospel of Christ.
 



"Paul was the great Coryphaeus, and first corrupter of the Gospel of Jesus”.



The Contradictions

(1)

Therefore no one will be declared righteous in his sight by observing the law; rather, through the law we become conscious of sin. (Romans 3:20)

Contradicted by:

For it is not those who hear the law who are righteous in God's sight, but it is those who obey the law who will be declared righteous. (Romans 2:13)


(2)

Carry each other's burdens, and in this way you will fulfill the law of Christ. (Galatians 6:2)

Contradicted by:

For each one should carry his own load. (Galatians 6:5)


(3)

For Christ died for sins once for all, the righteous for the unrighteous, to bring you to God. He was put to death in the body but made alive by the Spirit, (1 Peter 3:18)

Contradicted by:

The wicked is a ransom for the righteous, and the traitor for the upright. (Proverbs 21:18)


(4)

Marriage should be honored by all, and the marriage bed kept pure, for God will judge the adulterer and all the sexually immoral. (Hebrews 13:4)

Contradicted by:

But if you do marry, you have not sinned; and if a virgin marries, she has not sinned. But those who marry will face many troubles in this life, and I want to spare you this. (1 Corinthians 7:28)


(5)

No man hath seen God at any time. If we love one another, God dwelleth in us, and his love is perfected in us. (1 John 4:12)

Contradicted by:

I saw the LORD standing upon the altar: and he said, Smite the lintel of the door, that the posts may shake: and cut them in the head, all of them; and I will slay the last of them with the sword: he that fleeth of them shall not flee away, and he that escapeth of them shall not be delivered. (Amos 9:1)


(6)

If I covered my transgressions as Adam, by hiding mine iniquity in my bosom: (Job 31:33)

Contradicted by:

And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. (1Timothy 2:14)


* The verse says that Adam sinned, yet the New Testament says that Adam did not sin, but only Eve sinned.
 


According to Jesus, Paul was a hypocrite:

"Woe to you, teachers of the law and Pharisees, you hypocrites! You shut the kingdom of heaven in men's faces. You yourselves do not enter, nor will you let those enter who are trying to. (Matthew 23:13)

Compared with:

Then Paul, knowing that some of them were Sadducees and the others Pharisees, called out in the Sanhedrin, "My brothers, I am a Pharisee, the son of a Pharisee. I stand on trial because of my hope in the resurrection of the dead." (Acts 23:6)

Paul wants people to be sinners!


I wish that all men were as I am. But each man has his own gift from God; one has this gift, another has that. 1 Corinthians 7:6-7

Here is a trustworthy saying that deserves full acceptance: Christ Jesus came into the world to save sinners—of whom I am the worst. (1 Tim. 1:15)
 
Wooh! you are going to far now.
Love joking.. Bad joking.

Q. How about your parent?. Has your Mother propose a name for your dad? I heard you have only one Father-satan


Paul testifies there is nothing good in him:

More Contradictions


(1) Full God or Emptied God:

“Christ Jesus who, though existing in the form of God, did not consider his equality with God something to cling to, but emptied Himself as he took on the form of a slave” (Philippians 2:6)

Contradicted by:

“For in Him all the fullness of God was pleased to dwell (Colossians 1:19)



(2) God or Mediator or None:

“For there is one God and one mediator between God and men, the man Christ Jesus” (1 Timothy 2:5)

Contradicted by:

“But there is no call for an intermediary in case of one, and God is one” (Galatians 3:20)



(3) The Law Abolished or the Law Upheld:

“He brought the hostility to an end, by abolishing: the Law of commandments with its regulations” (Ephesians 2:14)

Contradicted by:

“Do we then overthrow the Law by this faith? By no means! On the contrary, we uphold the Law.” (Romans 3:31)



(4) Righteousness; with the Law or without the Law:

“not a single human being will be made righteous in God’s sight through observance of the Law” (Romans 3:20)

Contradicted by:

“For not the hearers of the Law are righteous before God but those who practice the Law will be pronounced righteous” (Romans 2:13)



(5) Salvation; by Confession or by Deeds:

“if you confess with your lips the Lord Jesus and believe in your heart that God raised him from the dead, you will be saved” (Romans 10:9)

Contradicted by:

“For he (God) will repay according to each one’s deeds; to those who by patiently doing good seek for glory and honor and immortality, he will give eternal life” (Romans 2:6)


(Source: Roshan Enam, Follow Jesus or Follow Paul? p. 65-55)



(6)

Then Peter began to speak: "I now realize how true it is that God does not show favoritism but accepts men from every nation who fear him and do what is right. (Acts 10:34-35)

Contradicted by:

But you are a chosen race, a royal priesthood, a holy nation, a people for his own possession, that you may proclaim the excellencies of him who called you out of darkness into his marvelous light. (1 Peter 2:9)
 
Kwa hiyo dhakar isipo sinyaa MILELE kwako wewe ni RAHA [emoji15] [emoji350] kunywa gongo ni RAHA [emoji38] [emoji38] kweli wazimu ni fani [emoji15] [emoji53]
Dhakari ni maumbile kwanini isinyae? , gongo ndio nini ? Mungu ameshasema pombe ya huko haitakuwa na udhia wala kutokwa na akili, ahhhhhhhhhhhh andaa koo ukapasue kifua huko ni mwendo wa sebene Ahahahhaahahaahaha
 
weka aya weka weka aya...View attachment 921311 unamwaga povu mpaka okome [emoji117] View attachment 921317 [emoji38] [emoji38]
" inapo teremshwa QURAN mtabainishiwa" aya iko wazi hakuna kujisumbua Quran itaweka mambo sawa na hicho ndio kimefanyika
QURAN 2:2
"Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake, ni uwongofu kwa wamchao Mwenyezi Mungu";
Ahahahahaahahaahaha kwanini uulize wakati QURAN ipo?
Kuhusu kujadiliana na watu wa kitabu , mwisho tunakwambia " TUMESILIMU"." * ahahhahahaha Mungu anasema tuwaulize JE MUMESILIMU ? Kama bado changamka ahahhaahhaahahahah
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…