WEwe Hizi C&P zako zitakutokea Puani siku moja.
Mtume na mjuvi huyo check anavyotolewa nishai na wakeze.
Narrated Nabhan the freed slave of Umm Salamah:
to Ibn Shihab, that Umm Salamah narrated to him, that she and Maimunah were with the Messenger of Allah (ﷺ), she said: "So when we were with him, Ibn Umm Maktum came, and he entered upon him, and that was after veiling had been ordered for us. So the Messenger of Allah (ﷺ) said: 'Veil yourselves from him.' So I said: 'O Messenger of Allah! Is he not blind such that he can not see us or recognize us?' So the Messenger of Allah (ﷺ) said: 'Are you two blind such that you can not see him?'"
حَدَّثَنَا سُوَيْدٌ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ، أَخْبَرَنَا يُونُسُ بْنُ يَزِيدَ، عَنِ ابْنِ شِهَابٍ، عَنْ نَبْهَانَ، مَوْلَى أُمِّ سَلَمَةَ أَنَّهُ حَدَّثَهُ أَنَّ أُمَّ سَلَمَةَ حَدَّثَتْهُ أَنَّهَا، كَانَتْ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَمَيْمُونَةُ قَالَتْ فَبَيْنَا نَحْنُ عِنْدَهُ أَقْبَلَ ابْنُ أُمِّ مَكْتُومٍ فَدَخَلَ عَلَيْهِ وَذَلِكَ بَعْدَ مَا أُمِرْنَا بِالْحِجَابِ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " احْتَجِبَا مِنْهُ " . فَقُلْتُ يَا رَسُولَ اللَّهِ أَلَيْسَ هُوَ أَعْمَى لاَ يُبْصِرُنَا وَلاَ يَعْرِفُنَا فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَفَعَمْيَاوَانِ أَنْتُمَا أَلَسْتُمَا تُبْصِرَانِهِ " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ .
Grade: Hasan (Darussalam)
English reference : Vol. 5, Book 41, Hadith 2778Arabic reference : Book 43, Hadith 3005
Mtu kaingia kipofu haoni, njemba kwa tamaa zake za kingono ngono, linawakimbiza wake za wakajifunike Baibui/Hijabu.
Sasa wao wakimuona ndo iwe nini?
by the way Guys, mnakumbuka hii kitu aliileta Umar ibn Khattab, Mudy akacopy fasta na kuiweka kwenye Yellow pages yake wahyi umeshuka!!
Too funny!!
HIZO AYA ZAKO ; PETER NDIO AMEMSAIDIA PAULOOOOO ????
Yesu alisema:
1. Katika njia ya Mataifa msiende. (Mathayo 10:5). Lakini Paulo akafundisha:
A. Nimekabidhiwa Injili ya wasiotahiriwa. (Wagalatia 2:7, maandishi ya Paulo).
B. Amewafungulia mataifa mlango wa imani. (Matendo ya Mitume 14:27).
2. Yesu alitahiriwa sku ya 8 (Luka 2:21). Yohana alitahiriwa siku ya 8 (Luka 1:59). Paulo alitahiriwa siku
ya 8 (Wafilipi 3:5) Lakini yeye mwenyewe alipinga kutahiriwa (Wagalatia 5:2-6).
Yesu alisema:
3. Msidhani kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu yeyote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atayezitenda na kuzifundisha , huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. (Mathayo 5:17-20).
Lakini Paulo anasema:
Sheria ni laana. (Wagalatia 2:16-21, 3:10-13). Warumi 7: yote).
4. Bwana Yesu alisema:
Msichukuwe dhahabu, wala fedha, wala mapesa mifukoni mwenu: (Mathayo 10:9).
Hivyo Wakristo wale ambao wanakusanya mali ni (AntiChrist).
5. Bwana Yesu alisema: Lakini mimi nawaambia msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume mgeuzie na la pili. Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. (Mathayo 5:39-40).
Hivyo Wakristo wale ambao wanagombana ni (Ant Christ).
6. Yesu pia alikataza kuitwa Kristo: Ndipo alipowakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20).
Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni (Ant Christ).
WEwe Hizi C&P zako zitakutokea Puani siku moja.
Muslims mna practice Trinity kila siku halafu mnajidai ooh trinity explained funny.
Siyo nyie mnatakiwa kusalimia mara TATU- mudi alifanya sana hizo.
Kwanini mnapotawadha lazima iwe mara TATU? Uso unaosha x3, mkono x3, unasukutua x3. Mpaka adhana x3
WHY?
Mlishawahi muuliza Mudi kuhusu hilo? au ndio ile style yenu ya AAAAMMEEEEEEN!!
Jibu Hadith hiyo Bible huiwezi wewe!!Kila mti hutambulika kwa matunda yake.” (Luka 6:44).
Sawa na usemi huu wakati tunampima Bwana Yesu Kristo tunamkuta kwamba ameanguka vibaya sana.
Ingawa sisi tumempenda na tumemuheshimu. Lakini kumpenda kwetu hakumsaidii. Maana Biblia inamuangusha vibaya sana.
Kwa mfano:
(1) “Amini nawaambieni, pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapo muona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.” (Mathayo 16:28). Watu ambao walikuwa pamoja naYesu na vizazi vyao zaidi ya hamsini wamekwisha kufa tayari. Hakuna mmoja wao ambaye ameweza kushuhudia, mwana wa Adamu (Yesu Kristo) akija katika ufalme wake.
Kwahiyo utabiri wa Yesu haujatimia bali imeonekana uwongo.
2. “Yesu akamwambia, amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufuwake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.” (Mathayo 19:28).
Katika aya hii Bwana Yesu Kristo aliwabashiria wanafunzi wake kumi na wawili kuhusu mwisho mwema wa kiimani na kuwa viongozi wa makabila ya Waisraeli.
Lakini mwanafunzi wake mmoja bwana Yuda hakumuasi tu bali alimuuza kwa shilingi thelathini. Kwa hivi alitoka katika imani na ufalme wa kiroho.
Biblia inasema kwamba:
“Wakati huo mmoja wa wale thenashara, jina leke Yuda Iskariote, aliwaendea wakuu wa makuhani, akisema, ni nini mtakacho nipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelethini vya fedha.” (Mathayo 26:14 -15).
3. Bwana Yesu Kristo alisema kwamba:
“(Ewe Petro) nami nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalo lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni,
na lolote utalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.” (Mathayo 16:19).
Katika aya hii Bwana Yesu alim'bashiria Petro kwamba ataendelea vizuri kiimani kwa hali ya juu, lakini hali inaonesha kwamba utabiri huu wa Bwana Yesu ulivurugika vibaya mno. Hata inaonekana aibu kutaja utabiri ule.
Biblia inasema kwamba: “Na Petro alikuwa ameketi nje behewani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, wewe nawe
ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya. Akakana mbele ya wote, akisema, sijui usemalo. Naye alipotoka nje hata ukumbini, mwanamke mwingine alimuona, akawaambia watu walio kuwako huko, huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti. Akakana tena kwa kiapo, simjui mtu huyu. Punde kidogo, wale walio hudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, hakika wewe nawe u mmoja wao. Kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha. Ndipo akaanza kulaani na kuapa na kusema, simjui mtu huyu.” (Mathayo 26:69-74).
4. “Yesu akamwambia mwizi mmoja aliyekuwa pamoja naye msalabani: “Amin, nakuambia leo hii utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:43).
Aya hii inaonesha kwamba siku ya kusema habari hii Bwana Yesu Kristo na huyu mwizi wangeenda peponi kwa Baba lakini
inaonekana kwamba utabiri huu haukutimia, maana baada ya siku ya tatu Yesu bado alikuwa duniani.
Biblia inasema kwamba Yesu alimwambia, usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba
yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.” (Yohana 20:17).
Leo unamkubali huyu kuwa msemaji wako? Shame on you!!MAJIBU YAKO HAYA
Zamu hii Hakika umepata pigo baya sana.Kila mti hutambulika kwa matunda yake.” (Luka 6:44).
Sawa na usemi huu wakati tunampima Bwana Yesu Kristo tunamkuta kwamba ameanguka vibaya sana.
Ingawa sisi tumempenda na tumemuheshimu. Lakini kumpenda kwetu hakumsaidii. Maana Biblia inamuangusha vibaya sana.
Kwa mfano:
(1) “Amini nawaambieni, pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapo muona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.” (Mathayo 16:28). Watu ambao walikuwa pamoja naYesu na vizazi vyao zaidi ya hamsini wamekwisha kufa tayari. Hakuna mmoja wao ambaye ameweza kushuhudia, mwana wa Adamu (Yesu Kristo) akija katika ufalme wake.
Kwahiyo utabiri wa Yesu haujatimia bali imeonekana uwongo.
2. “Yesu akamwambia, amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufuwake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.” (Mathayo 19:28).
Katika aya hii Bwana Yesu Kristo aliwabashiria wanafunzi wake kumi na wawili kuhusu mwisho mwema wa kiimani na kuwa viongozi wa makabila ya Waisraeli.
Lakini mwanafunzi wake mmoja bwana Yuda hakumuasi tu bali alimuuza kwa shilingi thelathini. Kwa hivi alitoka katika imani na ufalme wa kiroho.
Biblia inasema kwamba:
“Wakati huo mmoja wa wale thenashara, jina leke Yuda Iskariote, aliwaendea wakuu wa makuhani, akisema, ni nini mtakacho nipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelethini vya fedha.” (Mathayo 26:14 -15).
3. Bwana Yesu Kristo alisema kwamba:
“(Ewe Petro) nami nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalo lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni,
na lolote utalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.” (Mathayo 16:19).
Katika aya hii Bwana Yesu alim'bashiria Petro kwamba ataendelea vizuri kiimani kwa hali ya juu, lakini hali inaonesha kwamba utabiri huu wa Bwana Yesu ulivurugika vibaya mno. Hata inaonekana aibu kutaja utabiri ule.
Biblia inasema kwamba: “Na Petro alikuwa ameketi nje behewani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, wewe nawe
ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya. Akakana mbele ya wote, akisema, sijui usemalo. Naye alipotoka nje hata ukumbini, mwanamke mwingine alimuona, akawaambia watu walio kuwako huko, huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti. Akakana tena kwa kiapo, simjui mtu huyu. Punde kidogo, wale walio hudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, hakika wewe nawe u mmoja wao. Kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha. Ndipo akaanza kulaani na kuapa na kusema, simjui mtu huyu.” (Mathayo 26:69-74).
4. “Yesu akamwambia mwizi mmoja aliyekuwa pamoja naye msalabani: “Amin, nakuambia leo hii utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:43).
Aya hii inaonesha kwamba siku ya kusema habari hii Bwana Yesu Kristo na huyu mwizi wangeenda peponi kwa Baba lakini
inaonekana kwamba utabiri huu haukutimia, maana baada ya siku ya tatu Yesu bado alikuwa duniani.
Biblia inasema kwamba Yesu alimwambia, usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba
yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.” (Yohana 20:17).
Hahaaa.
Ndio alikuwa binadamu , na ndio alipewa jukumu la kufafanua mambo na ameifafanua Quran kisawasawa , kama kuna jambo ajalifafanua ujue hilo Mungu akutaka alifafanue ndio maana mtume mara zote kama ajapewa ufahamu juu ya jambo hilo na anasema " Allah Anajua zaidi";Kama alikuwa Binaadamu tu?
Kwanini unatuambia yeye ndiye alipewa jukumu la kueleza/fafanulia umma wote wapate kuelewa?
Kwanini akitajwa ndivyo sivyo moto unalipuka mnataka kuua mtu?
Hakuna ajae Dini ilishakamilika hivyo alivyovifafanua mtume vimetosha kukamilisha dini, na ndio ujue kuwa Mungu ndio mjuzi wa kila jambo ,akitaka umfunulia mtu ufahamu , na asipotaka umuacha asijue lile jambo, na bahati nzuri Mungu ana lawamaKwahiyo tumtarajie ajaye kutuelezea juu ya aya hizo? au mudi ndio wa mwisho(Seal of the Prophets!)?
Ahahahahaahahaahaha katazo alijakuja kwa ajili ya kipofu, bali limekuja kwa ajili ya mwanaume ambaye si ndugu yako ,hivyo awe kipofu au awe mzima wala sio tatizo, muhimu ni kuwa mwanaume yule sheria inamruhusu kukuoa pindi ukiachika au kabla ujaolewa .sasa unakuja hapa unaonyesha ujuzi wakati ni mweupe , kwa hoja hizi nyepesi inaonekana sasa umeishiwa lakini siwezi kukuacha hivi hivi lazima nikupe zawadi makhususiMtume na mjuvi huyo check anavyotolewa nishai na wakeze.
Narrated Nabhan the freed slave of Umm Salamah:
to Ibn Shihab, that Umm Salamah narrated to him, that she and Maimunah were with the Messenger of Allah (ﷺ), she said: "So when we were with him, Ibn Umm Maktum came, and he entered upon him, and that was after veiling had been ordered for us. So the Messenger of Allah (ﷺ) said: 'Veil yourselves from him.' So I said: 'O Messenger of Allah! Is he not blind such that he can not see us or recognize us?' So the Messenger of Allah (ﷺ) said: 'Are you two blind such that you can not see him?'"
حَدَّثَنَا سُوَيْدٌ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ، أَخْبَرَنَا يُونُسُ بْنُ يَزِيدَ، عَنِ ابْنِ شِهَابٍ، عَنْ نَبْهَانَ، مَوْلَى أُمِّ سَلَمَةَ أَنَّهُ حَدَّثَهُ أَنَّ أُمَّ سَلَمَةَ حَدَّثَتْهُ أَنَّهَا، كَانَتْ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم وَمَيْمُونَةُ قَالَتْ فَبَيْنَا نَحْنُ عِنْدَهُ أَقْبَلَ ابْنُ أُمِّ مَكْتُومٍ فَدَخَلَ عَلَيْهِ وَذَلِكَ بَعْدَ مَا أُمِرْنَا بِالْحِجَابِ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " احْتَجِبَا مِنْهُ " . فَقُلْتُ يَا رَسُولَ اللَّهِ أَلَيْسَ هُوَ أَعْمَى لاَ يُبْصِرُنَا وَلاَ يَعْرِفُنَا فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَفَعَمْيَاوَانِ أَنْتُمَا أَلَسْتُمَا تُبْصِرَانِهِ " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ صَحِيحٌ .
Grade: Hasan (Darussalam)
English reference : Vol. 5, Book 41, Hadith 2778Arabic reference : Book 43, Hadith 3005
Mtu kaingia kipofu haoni, njemba kwa tamaa zake za kingono ngono, linawakimbiza wake za wakajifunike Baibui/Hijabu.
Sasa wao wakimuona ndo iwe nini?
by the way Guys, mnakumbuka hii kitu aliileta Umar ibn Khattab, Mudy akacopy fasta na kuiweka kwenye Yellow pages yake wahyi umeshuka!!
Too funny!!
Tafuta utetezi mwingine Quran utaumia , kama ungekuwa timamu neno ";WAS ONLY A MESSENGER"; linafunga mjadala wako .UTATU ni dhana ambayo katu haina mashiko, tena kwa taarifa yako wala hakuna haja ya KUPAMBANA majibu yako waziHahaaa.
Binamu yake Mudi huyu hakujua aliyekuwa akiongea hapa ni nani wakati anatoa ufafanuzi wa aya hii? Kweli mtu aliyeahidiwa PEPO(paradiso) na Mtume wake?
Tafsir Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn ‘Abbâs
Verse 4.171
Allah then revealed about the Nestorian Christians of Najran who claimed that Jesus was the son of Allah and that Jesus and the Lord are partners, saying: (O People of the Scripture! Do not exaggerate) do not be extreme (in your religion) for this is not the right course (nor utter aught concerning Allah save the Truth. The Messiah, Jesus son of Mary, was only a messenger of Allah, and His word which He conveyed unto Mary) and through His word he became a created being, (and a spirit from Him) and through His command, Jesus became a son without a father. (So believe in Allah and His messengers) all the messengers including Jesus, (and say not “Three”) a son, father and wife. (Cease!) from making such a claim and repent ((it is) better for you!) than such a claim. (Allah is only One God) without a son or partner. (Far is it removed from His Transcendent Majesty that he should have a son. His is all that is in the heavens and all that is in the earth) are His servants. (And Allah is sufficient as Defender) as Lord of all created beings and He is witness of what He says about Jesus.
How come one person awe na vyote hivyo halafu bado mseme siyo trinity?
Aliyeishusha aya hiyo alikuwa Muhammad au Allah?
Pambana na hii kwanza. Ulete majibu siyo C&P za mbururla wenzako!!
Ahahahahaahahaahaha clip kwa clip Ahahaahahaaaaha dawa ya moto ni moto Ahahahahaahahaahaha
dogo kwema [emoji350] [emoji350] unaingia huku bila kupiga kata.3[emoji344] ona unavyo mwaga harufu humu [emoji12] kaoge ndio uje...kafir mkubwa wee [emoji53]Methali 26:11
Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.
Wewe huna ubavu wa kuifafanua hadithi , wacha mayowe ahahahaah AhahaahhaahhahahahhhaJibu Hadith hiyo Bible huiwezi wewe!!
Ahahahahaahahaahaha haya majibu kama umevuta shisha ahahahahaahahahhadogo kwema [emoji350] [emoji350] unaingia huku bila kupiga kata.3[emoji344] ona unavyo mwaga harufu humu [emoji12] kaoge ndio uje...kafir mkubwa wee [emoji53]
Namkumbusha uisilamu huyo kafir ametoka kulana mvutu kifisi fisi afu anakuja na janaba humu [emoji15] [emoji53] au wee husikii harfu [emoji350] [emoji344]Ahahahahaahahaahaha haya majibu kama umevuta shisha ahahahahaahahahha
Kila mti hutambulika kwa matunda yake.” (Luka 6:44).
Sawa na usemi huu wakati tunampima Bwana Yesu Kristo tunamkuta kwamba ameanguka vibaya sana.
Ingawa sisi tumempenda na tumemuheshimu. Lakini kumpenda kwetu hakumsaidii. Maana Biblia inamuangusha vibaya sana. .
Utabiri ulitimia. Baada ya Miaka 40. Hekalu lilivunjwa rasmi na Roman Empire. . Miongoni mwa wale waliosimama pale waliweza kuishi na kushuhudia tukio hili muhimu, la kubomoa Imani ya Uyahudi katika Jerusalem na Roman Empire Mwaka 70 A.D. Kuacha ufalme wa Kristo ukitamalaki ulimwenguni kote. Watu hawatazamii tena kwenda Jerusalem.Kwa mfano:
(1) “Amini nawaambieni, pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapo muona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.” (Mathayo 16:28). Watu ambao walikuwa pamoja naYesu na vizazi vyao zaidi ya hamsini wamekwisha kufa tayari. Hakuna mmoja wao ambaye ameweza kushuhudia, mwana wa Adamu (Yesu Kristo) akija katika ufalme wake.
Kwahiyo utabiri wa Yesu haujatimia bali imeonekana uwongo.
Ahadi za kristo ni Amini na Kweli. Kwa wanaomfuata. Kumfuata sio kwa mwili yaani kuongozana naye bali kwa Roho.2. “Yesu akamwambia, amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufuwake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.” (Mathayo 19:28).
Katika aya hii Bwana Yesu Kristo aliwabashiria wanafunzi wake kumi na wawili kuhusu mwisho mwema wa kiimani na kuwa viongozi wa makabila ya Waisraeli.
Lakini mwanafunzi wake mmoja bwana Yuda hakumuasi tu bali alimuuza kwa shilingi thelathini. Kwa hivi alitoka katika imani na ufalme wa kiroho.
Biblia inasema kwamba:
“Wakati huo mmoja wa wale thenashara, jina leke Yuda Iskariote, aliwaendea wakuu wa makuhani, akisema, ni nini mtakacho nipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelethini vya fedha.” (Mathayo 26:14 -15).
3. Bwana Yesu Kristo alisema kwamba:
“(Ewe Petro) nami NITAKUPA FUNGUO za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalo lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni,
na lolote utalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.” (Mathayo 16:19).
Katika aya hii Bwana Yesu alim'BASHIRIA Petro kwamba ataendelea vizuri kiimani kwa hali ya juu, lakini hali inaonesha kwamba utabiri huu wa Bwana Yesu ulivurugika vibaya mno. Hata inaonekana aibu kutaja utabiri ule.
Biblia inasema kwamba: “Na Petro alikuwa ameketi nje behewani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, wewe nawe
ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya. Akakana mbele ya wote, akisema, sijui usemalo. Naye alipotoka nje hata ukumbini, mwanamke mwingine alimuona, akawaambia watu walio kuwako huko, huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti. Akakana tena kwa kiapo, simjui mtu huyu. Punde kidogo, wale walio hudhuria wakamwendea, wakamwambia Petro, hakika wewe nawe u mmoja wao. Kwa sababu hata usemi wako wakutambulisha. Ndipo akaanza kulaani na kuapa na kusema, simjui mtu huyu.” (Mathayo 26:69-74).
4. “Yesu akamwambia mwizi mmoja aliyekuwa pamoja naye msalabani: “Amin, nakuambia leo hii utakuwa pamoja nami peponi.” (Luka 23:43).
Aya hii inaonesha kwamba siku ya kusema habari hii Bwana Yesu Kristo na huyu mwizi wangeenda peponi kwa Baba lakini
inaonekana kwamba utabiri huu haukutimia, maana baada ya siku ya tatu Yesu bado alikuwa duniani.
Biblia inasema kwamba Yesu alimwambia, usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba
yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.” (Yohana 20:17).
akhy l kareem kafiri ktk maandiko yake kahalishiwa kuua kwa KUWAPASUA PASUA watoto wadogo wasio na hatia Mimi na wewe tutaweza kumuelekeza kitu akafahamu?Ahahahahaahahaahaha haya majibu kama umevuta shisha ahahahahaahahahha