Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Huko ni kuishiwa hoja , labda ndio elimu na uongozi wa Roho Mtakatifu wako huo
Hutaki?
Kwanini alipaka wanja, Carlyhair eyeliner/shadow etc?
Followaer of Bewitched Prophet explain to us then why he did that kama hakuwa SHOGA?
 
Sasa hapa msingi wa hoja yako uko wapi ?
Unauliza msingi wa hoja tena au ulitaka proof ya Abdul kuva nguo za kike?
Stone Kisser aka Bewitched prophet follower, twambie, kwanini alivaa hizo nguo na kwanini wewe leo huvai blauzi ya bi chausiku?
Au ndio wakati akiwa karogwa???
 
Is it Jews/Christian Bible or Allah Bible you are talking about?
 
Hutaki?
Kwanini alipaka wanja, Carlyhair eyeliner/shadow etc?
Followaer of Bewitched Prophet explain to us then why he did that kama hakuwa SHOGA?


UMEKWISHA KWISHNEI , BOSS WAKO HUYU

 
Wew huijui Quran malaika wote walisujudu isipokua shetani je Adam alikua Mungu?


Ile ni sijda ya heshima sio ya kuabudu na Tunapoambia tumswalie mtume tumpe heshima yake....unaujua utaratibu wa ibada ya kiislam hakuna anae chukua. Udhu eti anakwenda kuswali kwa mtume au kumsujudia hilo halipo halitakaa litokee kwanza uliza maneno yanyosemwa kumsalia mtume ni kama dua ya muombea yeye abarikiwe kama alivyobarikiwa Ibrahim sasa huko ni kumsalia au kumuombea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauliza msingi wa hoja tena au ulitaka proof ya Abdul kuva nguo za kike?
Stone Kisser aka Bewitched prophet follower, twambie, kwanini alivaa hizo nguo na kwanini wewe leo huvai blauzi ya bi chausiku?
Au ndio wakati akiwa karogwa???
Leta kwanza usahihi wa hio hadithi..mnaamin hadithi za kuchakachuliwa.....hii dini huwezi kuilewa ukiwa na akili ndogo dini inahitaj shule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utajuaje na wewe deen sio yako ni yavwaarabu [emoji117] View attachment 979460View attachment 979461 kazi yako kubweka bweka [emoji117] View attachment 979465 kuliko wenye deen yao [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha hili tulishalimaliza umeishiwa hoja maswali ni haya
1.wapi Mohamadi KATUMWA kwa waarabu tu
2.wap Mohamadi ameita wasio waarabu MBWA

Badala ya kuleta AYA unaleta maneno ya mitaani ya WAHABI ahahahaahahahaha
Yesu alimiita MBWA msio waisrael kama wewe , mimi mbona sijaleta maneno ya kakobe kama wewe unavyoleta maneno ya mtaani

MATHAYO 15:26
"; Akajibu, akasema, si vema kukitwaa chakula cha WATOTO na kuwatupia MBWA";

Ahahahahaaaahahhahhaaha uwezi kujitenga na Mbwa wewe
 
Stop lying, you get busted again. Ukisoma 'kiarabu' unasema swala. Uki fasiri unatamka 'bariki'.

What's wrong with you..?.
Be a man and face this gruesome truth.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hiko wazi swalat kutoka kwa Mungu kwenda kwa viumbe ni baraka , hili halina mjadala nashangaa unacholazimisha ahahahhaajhahahah hili ata mtoto wa chekechea analijua hili
 
Nimekwambia unajua kuna sijda ya heshima na ya ibada? unajua umeingia sipo unaanza ngonjera, Adam alipata heshima baada ya kutaja vitu ambavyo malaika walikuwa hawavijui, sasa unapokuja hapa wakati ufahamu kitu unashangaza kweli, na hizo zipo nyingi hata Yusufu alimpa mzee Yakobo sujudu ya heshima alipokuja Misri baada ya miaka mingi ebu rudi darasani
 
Waarabu wenzako wameshikwa pabaya kwenye debate. Wamebaki kubadili Maelezo lakini hali ni mbaya sana.

Kama Mungu alimwita Musa na Aron Mungu. Sembuse Yesu ambaye utawala wake ni wa milele na milele?.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha Mungu alimwambia Musa atakuwa kama Mungu kwa Aron, mbona hiko wazi Musa ajawai kuwa Mungu wa Mbingu na nchi na vilivyomo, hata wewe unaweza muita Yesu ni Mungu lakini sio Muumba wa mbingu na nchi kwa sababu ata kiyama ajui , Muumba wa mbingu na nchi katu hawezi kutemewa mate wala kupigwa MAKONDE hiyo ni dhihaka kubwa msipo acha ushenzi huu , kwa kweli mtaadhibiwa
 

Unamgeza Hata kwa mishuzi [emoji117]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena huo mfano wa Adamu kutaja wanyama ni mbovu haijapata kutokea.

Tena usirudie Kuuweka hapa Maana....

Nenda kausome wewe mwenyewe tena uone jinsi ulivyo kosa Akili.

Ulipaswa kua mfano wa wewe kuuacha Uislamu rasmi. Kwasababu uko so absurd!!

Ha ha ha ha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…