Mimi najua kuswali na naswali , swala ina dk 5, kwa siku ni dk 250 , sawa na masaa 4 na dk chache , mimi nimefanya approximation masaa 5, yanabaki masaa 19, toa 8 ya kulala ,yanabaki masaa 11, toa masaa ya kufanya kazi serikalini masaa 8, yanabaki 3 kwa shughuli binafsi nje ya ajira, sasa unaona umeishiwa hoja unaanza bwabwaja Ahaahhaaahhaajhaajaj
Mkuu hao ni Mapadri hawaelewi kuzaa wanaelewa kugeuzana mabibi . Wasome signature Yangu Huyo ni Mchungaji mwenzao Katoa Siri zote za Kanisa kuhusu kulawitiana Mapadri kanisani
Succeeding a Warlord.Kwenye Huo uharo wako mbona hamna mahali Yesu anasema yeye ndiye Mungu na àmejibandika nyama na kuwa binadamu??
Kwenye Huo uharo wako mbona hamna mahali Yesu anasema yeye ndiye Mungu na àmejibandika nyama na kuwa binadamu??
Ni jambo la aibu kubwa kuona watu wazima, wengine wakiwa wanaheshimika kabisa katika jamii, wakibishana hapa kila mmoja akitaka kuonesha kwamba dini yake ni bora kuliko ya mwingine, wananukuu vifungu na maandiko, mishipa inawasimama, wanatukana, wanakashifu, wanaukataa ukweli kwamba dini ni vyombo vilivyoletwa kwa ajili ya kurahisisha kazi ya kututawala. Wanaukataa ukweli kwamba kwa maelfu ya miaka kabla ya kristo na Muhammad, watu walikuwa wakiishi katika 'kweli'! Acheni ujuha, hizi dini si chochote, utafuteni ukweli ulio ndani yenu na huo ndiyo dini ya kweli, huo ndiyo utakaowaweka huru na kuvunja man-made boundaries zinazowafanya wengi wafe kabla hata ya kulitambua dhumuni lililowafanya wakawepo hapa duniani. Awaken your spirits, awaken your inner truth!
Succeeding a Warlord.
Muhammad left no clear succession plan for his empire; an oversight which has to this day led to factions and wars within Islam as to who are the true Muslims. From 632 to 661, four Caliphs ruled from Medina, elected by the closest followers of the prophet. (Caliph means “a successor”, but it became the title of the person who became the religious and political leader after Muhammad's death.)
There was a core group of believers who along with Muhammad came to be known as the salafiya (the righteous companions). They became the first four caliphs - Abu Bakr, Umar, Uthman and Ali ibn Abu Talib.
When Muhammad died, a struggle developed among his followers as to who should assume leadership of the ummah. A group of followers that ultimately became Sunni believed the position should be by consensus from prominent leaders. The group that believed the succession should be based in familial ties ultimately became Shi’ite. As Ali was the only blood relation to Muhammad, this group pressed for Ali’s claim as Caliph.
However, Umar petitioned the believers to select Abu Bakr as successor to the prophet and he was duly appointed the first Caliph.
Two weeks prior to his death, Muhammad had planned a campaign to conquer the Christian tribes of Jordan, in which he enjoined all Muslims to take part. Due to his ill health this was not to occur before his passing. On the first day of his caliphate, Abu Bakr ordered the army to undertake this mission to carry out the last military wish of the Prophet. Forty days later, after conquering the Christian tribes of Banu Kalb and Ghassanids the army under the leadership of Usama returned to Medina, bringing a large number of captives and a considerable amount of wealth from the spoils of war.
However many of the tribes initially subdued into Islam by Muhammad, now with his death, grabbed at the opportunity to renounce the religion, Muslim rule and payment of Zakat tax. However Abu Bakr was determined to keep all of Arabia Islamic as prophesised by the prophet. SB 92:388 When Allah's Apostle died some of the Arabs reverted to disbelief, 'Umar said …. “Allah's Apostle said, I have been ordered to fight the people till they say 'None has the right to be worshipped but Allah'”. Abu Bakr said, “By Allah, I will fight him who discriminates between Zakat and prayers, for Zakat is the compulsory right to be taken from the wealth. By Allah, if they refuse, I would fight them for withholding it.”
In response he launched an offensive, known as the Ridda Wars (Wars of Apostasy) in which he formed eleven units to be sent throughout Arabia to quell the widespread occurrence of apostasy. Armies were despatched to Yamamah, Tabuk, the Syrian frontier, East Medina, Mecca, Bahrain, Oman, Mahra and Yemen. It was obvious that given the opportunity, the Arab people preferred their original way of life to that of Islam. However only through force were the people of the region shackled to this ideology for so many centuries.
With the Ridda wars concluded Abu Bakr assembled a military force of 18,000, and advanced on Palestine and Syria in 634 and defeated the Byzantine armies at Yarmouk River in 636. Under the leadership of Khalid a force was sent to conquer Iraq, the richest province of Persia. Forty thousand more Muslims marched to conquer North Africa. At home he used Umar to force Ali and his followers to submit to his caliphate and denied Ali's family the inheritance of Muhammad's property and land.
With the death of Abu Bakr only two years into his Caliphate, who from some accounts was murdered as a result of eating poisoned food months earlier, Umar was elected the second Caliph. He was the father of Hafsa, Muhammad's fourth wife. Under his rule the Muslim empire expanded throughout Egypt, Syria and into the Persian Empire and achieved the surrender of Jerusalem to the Muslims. Umar was stabbed to death by a fellow Muslim in the Medina Mosque in 646.
Again Ali was bypassed as Caliph when Uthman ibn Affan was selected. He was from the Ummayid clan and was married to Ruqqayah and Um Kuthulm, two of Muhammad's daughters by Kadijja. Under his rule, the empire expanded rapidly with him appointing family members to military and government positions to maintain control. Also he spearheaded the revision of the Qur’an and ordered all previous copies to be burnt. He too was murdered aged 80 while reading the Qur’an at his palace.
When Ali, the first cousin of Muhammad, husband of Muhammad’s daughter, Fatima, and one of the first Muslims, was finally appointed in 656, the governor of Syria, Muawiya, refused to recognize him as Caliph. This resulted in a long drawn out civil war between the two parties. Trouble also brewed with Aisha who had hoped that Zubayr would become caliph after Uthman. She incited the citizens against Ali and was able to summon support from various corners of the empire. Aisha now took command of an army opposed to Ali.
Ali was forced to abandon his campaign against Muawiya, deciding instead, to use his small force against Aisha. The two armies met outside Basra with Aisha mounting her camel (Battle of Camel). Ali ordered his men not to take offensive action unless the enemy reached their lines. Wherever the camel of Aisha stood, there the battle was waged most fiercely. As long as that animal was standing, Ali realized, the battle would continue. He therefore ordered that the legs of the camel be cut. Within a very short time after bringing down the animal, the bugle sounded to signal the end of the battle. Ali allowed Aisha to return to her home advising her that it was not becoming of the prophet’s wife to be involved in squabbles within the ummah.
The caliphate of Ali came to an end in 661 when he was assassinated by one of his own followers. Previously, Ali in the interest of conciliation between the various contentious groups bided his time until he was finally caliph. However upon his assassination the major split in Islam took root.
With the death of Ali came the end of the period known as Rashidun (The Rightly Guided Caliphs). These were the Caliphs who were companions of the prophet and hence considered to be guided properly in the faith.
The governor of Syria, Muawiyah, a cousin of Uthman (the third caliph), insisted on the return of the caliphate to the Ummayid clan. Ali's son, Hassan agreed to the request under military pressure. With Hassan's death under suspicious circumstances, followed shortly after by Muawiyah death, Yazid, son of Muawiyah was appointed the next caliph.
Hassan's brother, Husayn, son of Fatima and hence grandson of the prophet, raised an army to march against the Ummayad’s who Ali’s descendants called the Usurper's dynasty. On October 10th 680 (Muharram - first month of the Islamic calendar.), Husayn and his companions fought against a large army of perhaps 4,000 men under the command of Umar ibn Sa'd. Husayn and all of his men were killed. The bodies of the dead, including that of Husayn were then mutilated.
Today, the death of Husayn ibn Ali is commemorated by Shi’ah Muslims as the Day of Ashura (or Hosay in some countries) during the month of Muharram. To mourn the death and wash away their sins, Muslims cut their bodies and sometimes their own children’s with knives or flagellate themselves with chains in public processions.
The bloody struggle for power and ideology within Islam continues unabated since the death of Muhammad. With their goal also to rid the planet of Dar-ul-Harb, the non-believing world, Islam in this technologically advanced age poses a distinct threat to humanity when swords and poison can be easily swapped for weapons not yet imagined in the minds of Muhammad and his companions.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja kaa kimya!
Usione aibu mwenzio kesha ukana uislam.
Yes amasema.WEWE MWENYE HOJA TUAMBIE
Kwani Yesu alikuambia ujenge msingi wako wa imani kwake? Mbona unampakazia Yesu , Lisoda wewe???
Ahahahahaaaahahhahhaaha kumbe unaleta tafsiri zako za vatican, ahahahhahahhahah mimi nilifikiri unaleta maandiko kumbe maneno ya kwenye kahawa Ahahahahaaaahqa suala la USHAHIDI ata Mungu wa biblia analijua ila kwa vile wewe ni punguani hakuna cha kukusaidia ahahhahahahah
Sisi kweli hatuna elimu, Wenye elimu ni nyinyi mnaojitangazia kuwa ni mabibi na mnaendelea kusamehe dhambi za watu. Mwenzako huyu amejitangaza , tunakusubiri wewe
Catholic priest comes out as gay, gets a standing ovation
1.Wapi Mohamadi KATUMWA kwa waarabu? kuonya sio Kutumwa kiswahili ni janga kwa huyu mtu
2. Wapi Mohamadi kawaita wasio waarabu Mbwa , kama Yesu alivyowaita wewe na genge lako kuwa MBWA wala MAKOMBO na Mauchafu
MATHAYO 15:26
"; akajibu, akasema, Si vema kukitwaa cha kula cha WATOTO na kuwatupia MBWA ";
Ahahahahaaaahahhahhaaha kumbe Yesu yupo sawa tabia zako za kimbwa mbwa Ahahahhahahahaahjhhahaja, hao wahabi ni watume wa Vatican ? ahahahhaahhahaahahahhah
Kikafiri kafir hilo jibu ulilo liharisha umepata babu kati ya makafir wewe ni dr of divinity [emoji38] [emoji38]Ninachojua kwa mujibu wa Yesu wewe ni MBWA mla MAKOMBO ahahahaaajaauaaaua
NAYE NENO AKAVAA MWILI-KITABU CHA YOHANAHizo alama za kuuliza hukuzitaka ??
Ukimaliza ñjoo kwenye swali nililokuuliza ni wapi Yesu amejitangaza kuwa ni Mungu na àmejibandika nyama??
Swafan hataree [emoji38] [emoji38] alikuwa kamsukuma aishà apigwe mawe hadi umauti umfishe [emoji4] baba kasim kuona hii sasa noma akafuta Kauli yake ya mwanzo [emoji117] View attachment 985563 akamtoa allah mfukoni akaja na hii ktk kumsave aisha [emoji117] View attachment 985716 binge la msanii [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
NAYE NENO AKAVAA MWILI-KITABU CHA YOHANA
LETE AYA!!!!!!!!!!!!
KITABU CHA YOHANA NDIYO YESU KASEMA AU YOHANA KASEMA ???
KWANI YESU ALIANDIKA BIBLIA? AU MUHAMAD ALIANDIKA QURAN ACHA UZWAZWA UMEOMBA ANDIKO UMEPEWA NAONA UNAHARA MAHARAGE YA JANALETE AYA!!!!!!!!!!!!
KITABU CHA YOHANA NDIYO YESU KASEMA AU YOHANA KASEMA ???
Mungu yupo, ila hayo mavitabu yote ni fix tuNaona mwenzetu utakuwa umeielewa vibaya hiyo Surah Al kahfi aya ya 18:83-86 inayosema
“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”
inawezekana hapo Mwenyezi Mungu alikuwa akimaanisha kuwa wakati jua likiwa linazama Dhul- Qanaini alikuwa eneo lenye chemchem yenye matope meusi kwa wakati huo wa kuchwea kwa jua. ni sawa sawa na mtu akisema kuwa " tukiwa matemebezini mbugani na tulipofika Serengeti tu jua nalo likazama" haimaanishi kwamba jua limezama Serengeti bali kwa wakati huo giza lilianza kuingia wakiwa Serengeti. ni sawa sawa kabisa na haya hapo juu inavyosema ina maanisha giza lilianza kuifunika dunia/ usiku kuingia wakati Dhul-Qanaini akiwa eneo lenye chemchem yenye matope meusi.
ili kujua jinsi Allah na Uislamu kwa ujumla kupitia mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) alivyolielezea jua katika dunia. soma hapo chini
Kama ilivyoelezwa awali, Mwenyezi Mungu Ameumba Jua na Mwezi ili kuwezesha maisha ya Wanadamu katika sayari hii. Katika Qur’an Mwenyezi Mungu Anatufahamisha kwamba Jua na Mwezi vinakwenda na kuogelea kwa Amri yake:
“Mwenyezi Mungu ndiye aliyeziinua Mbingu bila ya nguzo mnazoziona hivi. Kisha Akatawala juu ya Arshi. Na Akaliitisha Jua na mwezi. Na kila kimoja kinaendeleya mpaka muda uliowekwa. Yeye ndiye anayeliendesha kila jambo. Anazipambanuwa aya hivi ili mpate yakini ya kukutana na Mola wenu”
Qur’an Surat Ar-Raa'd 13:2
Maisha ya kila kiumbe hai utegemea Jua kwa asilimia nyingi sana ili kiweze kupata sehemu yake ya uhai. Vile vile Jua, linatusaidia kujuwa nyakati za muda na hesabu za miaka na masiku. Mwenyezi Mungu analieleza baadhi ya faida zake kwenye Qur’ani, kwa ufupi lakini katika maana pana sana.
“Yeye ndiye aliye lijaalia Jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezi Mungu hakuviumba hivyo ila kwa Haki. Anazipambanua Ishara kwa watu wanao Jua. Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana, na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu katika mbingu na ardhi, zipo Ishara kwa watu wanao mcha-Mngu.”Qur'an Surat Yunus 10:5-6
Na ayah nyingine inasema:
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
Qur’an Surat Annabaa 78:11
Wataalam wanatueleza kuwa, Jua hupoteza tani milioni nne kwa sekunde. Ugunduzi wa sasa unaotumia satelaiti na komputa unaeleza jua kama zilivyo nyota zingine hufikia uzee yaani hufikia kipindi cha kuwa nova stage. Yaani mwanga wake huongezeka mara dufu wa huu tuliozoea. Na hali hii huchukua masiku na miezi kadhaa kama si miaka, kabla ya kufika hali ya kupasuka katika vipande vipande (Qur an 81:1-2), na kupotea nguvu zake kabisa.
Jua litakapo kunjwakunjwa Na nyota zitakapopukutika (zikazimwa)
Qur’ an Surat Attakwir 81:1-2
Hali hii itakopotokea ina maana mvutano ya kiasili yaani Gravitation Force haitakuwepo. Na hii itasababisha dunia kutokuwa na uvutano, kwa hiyo itasukwasukwa pamoja na matetemeko ya ardhi kutokea. Kama tunavyosoma katika Qur’ ani.
"Itakapotetemeshwa ardhi mtetemesho wake (mkubwa) Na itakopotoa ardhi mizigo yake.”
Qur’an Surat Az-Zilzalah 99:1-2
Itakapofika hali hii uhai wote hautakuwepo tena duniani, kwa sababu uhai wa viumbe vyote hapa duniani hutegemea Jua.
Wanasayansi wa Anga (Modern Astronomy) wamefanya kazi kubwa sana kiasi cha kutushangaza na magunduzi yao mengi mpaka dunia inaamua kuwazawadia zawadi mbalimbali katika mwaka 1917 SHAPLEY alikisia umbali wa jua kutoka katika Galaxy yetu hii ni 10 Kiloparsecs katika Maili. Hiyo ni namba yenye kufuatiwa na sifuri 17. Vilevile Jua hujizungusha katika muhimili wake.
Jua pamoja na Galaxy nzima huchukua kama miaka 250 milioni kumaliza mzunguko wake. Jua husafiri kwa uchache kilomita 241/sec kuzunguka ulimwengu. Na hujizungusha lenyewe kwa siku 25 ili kukamilisha mzunguko wa kujizungusha tofauti na dunia ambayo huchukua masaa 24 kujizungusha.
…Na jua linakwenda mpaka kituoni pake…. na vyote vinaogolea katika njia.Qur an Surat Ya-Sin 36:38-40
Vilevile:
Vyote vinaogelea katika njia yake...Qur’ an Suratul Anbiyaa 21:33
Allahu akbar, mambo hayo yalishaandikwa ndani ya Qur an miaka zaidi ya 1400 iliyopita.
---
Tafasiri ya Qur'an na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
KWANI YESU ALIANDIKA BIBLIA? AU MUHAMAD ALIANDIKA QURAN ACHA UZWAZWA UMEOMBA ANDIKO UMEPEWA NAONA UNAHARA MAHARAGE YA JANA