Sitaji utàbiri orodheshà majina! Kafir mkubwa wee [emoji33] [emoji33] [emoji12]Hoja nyepesi unafahamu nabii Isa kabla ajaondoka alitabir nn?
Ahahaaaaaa et geita nahis itakuwa chato mkuuJielekeze kwenye mada mkuu.Acha kunijadili mimi.Suala la Jua, ni kwa faida yetu sote.Tuonyeshe ukweli,Jua linachwea wapi? Ni hapa duniani au huko angani? Hiyo chemchemu ya matope meusi iko wapi? Iko Ufaransa, Rwanda,Geita, Saudi Arabia au wapi hasa?
Anzisha topic yake mkuuWewe unasema mimi napotosha.Sawa unaweza kuniambia Muhammad alimaanisha nini kusema kwamba Mungu alimuambia kuwa maziwa ya Ng'ombe hutokea katikati ya Mavi na damu yake?
Ahahahahahah unalazimisha kisicho kuwepoSitaji utàbiri orodheshà majina! Kafir mkubwa wee [emoji33] [emoji33] [emoji12]
Itakuwa kiswahili kigumu LUTH umjui aliwafanyaje mabinti zake wa kuwazaa mwenyewe kuku kala mayai yakeLutu Umma gani wewe zwazwa wahedi [emoji15] [emoji12]
Yesu kasulubiwa saa ngap ? nasubir jibuHawakumuua wala kumkata UTOTONI kama alivyo kusudia herode llaha UKUBWANI YESU WALIMTESA NA KUMUUA..kilicho mponza baba kassim umbeya na stori za Wayahudi, vijiwe vya kahawa vya maka hadi wakamuita rainaa mzushi mpotovu! Kwa kinacho ongelewa kuongeza ña kuwàpelekea nduguze makureshi
Nina uthibitisho wa kutoshaUnavichekesho wewe....
Buree kabisa ww adam alipofanya kosa alileta toba Mungu akamsamehe kazi ipo kwenu Yesu anaomba aepushwe na kichapo Mungu wenu katia pamba kamuacha atundikweKumbe Adam ndie muislam wa kwanza [emoji15] [emoji12] umepatia [emoji4] kwa hiyo kutotii MAAGIZO YA MUNGU KAMA ALIVYO FANYA ADAM NDIO UISLAMU na kumtii shetani [emoji15] UMEPATIA NA ASANTE KWA KUNIPA ILIMU [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] nilikuwa sijui...
yote aliyafanya kwa idhini ya Mungu ndio maana mungu awezi kubali mja wake mwema afanywe tambala la deki ni hatar nyingi vita vya ovyo mnaaminMkuu hayo ni maandiko lazma yatimie sio kibaha
Nadhan inakubali Yesu alifanya miujiza ikiwemo kifufua wafu
Kutembea juu ya maji
Kulisha watu 5000
Kuhubiri amani na upendo
Asifananishe Jesus na watu wengine
Tunauthibitisho wa kutosha lakn ww ata chembe umekosa dalili ya kutumbika unabaki unalalamikaYani watu wanaamini ujinga kweli eti uislamu ulianzia kwa adam
Yesu alisulubiwa saa ngapMkuu hayo ni maandiko lazma yatimie sio kibaha
Nadhan inakubali Yesu alifanya miujiza ikiwemo kifufua wafu
Kutembea juu ya maji
Kulisha watu 5000
Kuhubiri amani na upendo
Asifananishe Jesus na watu wengine
sasa kama mtoa mada ajui kama khadr ndio alikuwa na musa yy anakwambia mtume mohamadi huyo mtu ni timamu?Pengine matope meusi ina maana ingine kiislamu
Nimeshakwambia leta andiko ndani ya hadithi ukikuta neno rape au married pigia mstari sio unatuletea ufafanuzi wako badala ya maandiko wacha andiko lizungumze kama lilivyo aya lete
Hoja yako iko wap hapo ebu eleza unataka tukujibu kipi maana majibu yapo
Kumbe naongea na msukule [emoji12] ngoja nikujibu kisilamu silamu [emoji4] kama aliomba toba na Kusamehewa baada kutomtii Mungu, huku duniani amefuata nini wakati unadai allah Alimsamehe? si angeendelea kukaa sardaus?! Jibu kafir innsui wee [emoji15]Buree kabisa ww adam alipofanya kosa alileta toba Mungu akamsamehe kazi ipo kwenu Yesu anaomba aepushwe na kichapo Mungu wenu katia pamba kamuacha atundikwe
muda aliposema allah walibabaishiwa mtu mwingine badala ya Yesu [emoji4]Yesu kasulubiwa saa ngap ? nasubir jibu
Itakuwa kiswahili kigumu LUTH umjui aliwafanyaje mabinti zake wa kuwazaa mwenyewe kuku kala mayai yake
Kwa hiyo allah muongo?¿Ahahahahahah unalazimisha kisicho kuwepo
Ni majina kwa lugha tofautisha yenye maana sawa! Jee isa na Yesu ni majina tofauti yenye maana sawa? Jina Yesu, Jesus...maana yake ni "MWOKOZI" jina isa ref; kamusi ya kiarabu ya munjid maana yake ni wekundu ulio changanyika na weupe Yaani zeru zeru! Halafu kwa akili za kisilamu unaitakidi ni Mmoja [emoji15] [emoji12]Ahahahahhahhah kwani DAVID na DAUDI ni sawa?