Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
hahaaaa " kwahiyo " na masaa " nayo yakasimama" so mpangilio " wa " siku ulikuwaje", ?? na mpka jua " linasimama means",huwa " linatembea"" ??

ujinga mwingine bwana
Wote atufaham na kila mtu anafuata kile anachojifunza isije ukawa mjinga zaidi ya mwenzio?!
 
Sayansi ni nini maana yake halisi?!
 
Rejea andiko vizuri dhul qarnaini ndie alieona jua likizama kwenye matope Mungu alikuwa akimpa mtume masimulizi juu ya kile dhul qarnaini alichoona kwa upeo wa macho yake
Hakuna ujanja ujanja umeipinga quran sasa pinga na hadithi.
 
MKUU AYA HAZITAFSIRIWI KWA MAPENDEKEZO YAKO....AYA ZINATAFSIRIWA KWA MUJIBU WA SUNNAH NA MAPOKEO YA MASWAHABA WAONGOFU NA UJUE KUNA TOFAUTI KATI YA TAFSIRI NA MAELEZO YA AYA...HAPO NDIO UTAKUTANA NA ZA MASHEHE MBALIMBALI,NA UJUE QURAN SIO KIARABU NA HAOHAO WAARABU NAO WANASHINDWA KUFASIRI MANA NI ELIMU INGINE NJE YA LUGHA YA KIARABU....NA NITAKAPO KUULIZA UMETAFSIRI KWA TAFSIRI YA NANI BILA SHAKA HUNA UMJUAYE ILA UMETOA KICHWANI MWAKO AMA HUKO UJUAKO WEWE....
ILI KUONDOA FASIRI YAKO YENYE KUPOTOSHA NA ISIYO NA MASHIKO WALA UELEWA JUU YA MASHUKO YA IYO AYA BASI NATUONE FASIRI ILIYO SAHIHI NA MAELEZO YAKE
QURAN 18:83-86
Al-Kahf
وَيَسۡأَلُونَكَ عَن ذِي ٱلۡقَرۡنَيۡنِۖ قُلۡ سَأَتۡلُواْ عَلَيۡكُم مِّنۡهُ ذِكۡرًا ۝
83. Na wanakuuliza kuhusu Dhul-Qarnayn. Sema (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Nitakusomeeni kuhusu baadhi ya habari zake.”
إِنَّا مَكَّنَّا لَهُۥ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَءَاتَيۡنَٰهُ مِن كُلِّ شَيۡءٖ سَبَبٗا ۝
84. Hakika Sisi Tulimmakinisha katika ardhi, na Tukampa njia ya kila kitu.
فَأَتۡبَعَ سَبَبًا ۝
85. Basi akaifuata njia.
حَتَّىٰٓ إِذَا بَلَغَ مَغۡرِبَ ٱلشَّمۡسِ وَجَدَهَا تَغۡرُبُ فِي عَيۡنٍ حَمِئَةٖ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوۡمٗاۖ قُلۡنَا يَٰذَا ٱلۡقَرۡنَيۡنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمۡ حُسۡنٗا ۝
86. Hata alipofika machweo ya jua; Magharibi, akalikuta linatua katika chemchemu ya matope meusi (au ya moto), na akakuta huko watu. Tukasema: “Ee Dhul-Qarnayn! Ima uwaadhibu au wafanyie ihsaan”
HAYA NDIO MAELEZO/UFAFANUZI WAKE KWA UCHACHE(HAPA WAISLAMU WAMENIELEWA ILO NENO UCHACHE)
83. Ewe Mtume! Baadhi ya makafiri wanakuuliza khabari za Dhul-Qarnaini. Waambie nitakusimulieni baadhi ya khabari zake.
Rudi kwenye Sura

84. Tumemtilia nguvu amri yake katika ardhi, akiendesha humo mambo kwa mazingatio yake na utawala wake. Na tukampa ujuzi mwingi kwa njia ambazo kwazo akiweza kuongoza mambo.

85. Kwa kutumia njia hizo aliweza kueneza madaraka yake katika ardhi, na akafuata njia mpaka akafika huko magharibi kunako kuchwa jua.

86. Akenda mpaka akafika pahala mbali huko upande wa magharibi, akalikuta jua kwa linavyo onekana kwa macho kama kwamba linazama pahala penye chemchem ya maji ya moto na matope meusi. Na karibu ya chemchem hii Dhul- Qarnaini aliwakuta watu makafiri. Mwenyezi Mungu akamtia moyoni mwake afanye mojapo ya mambo mawili: Ama awaite kwenye Imani, na hili kwa hakika ni jambo zuri; au awapige vita ikiwa hawakuitikia wito wa Imani.

KWA MAELEZO AYO YA Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani NI KWAMBA JUA HALIZAMI KWENYE MATOPE ILA UNAPOLIONA NI KANA KWAMBA LINAONEKA KAMAAAAAAAAAAAAAA LINAINGIAKWENYE MATOPE NI LILE JUA LEKUNDU LA MAGHARIBI PENGINE KWENYE MAWINGU NDIO LINAFANYA MUONEKANO WA MATOPE..........TUCHUKUE MFANO MWEPESI.......KUNA WAKATI WA MCHANA UKIITIZAMA BARABARA YA LAMI KWA MBALI UTAONA KAMA KUNA KIJITO CHA MAJI KINA MEREMETA JE VIPI YALE NI MAJI...JIBU NI HAPANA YALE SIO MAJI ILA YANAVYO ONEKANAKWA MACHO KAMA KWAMBA NI MAJI....NAYO YALE SIO MATOPEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
NA ALLAH ANAJUA ZAIDI
 
Barwan ndio nani??? Kinacho angaliwa, aya imeshuka wapi, sababu ya kushuka, na baba kassim kaifundishaje..zaidi ya hapo ni ukafiri [emoji12]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
hoja yako ipi hapo musa aliandika mpaka alipokufa na alipozikwa
 
Ndio nn sasa
 
sasa ajabu nn au mungu wako ajui manii ahahahhahahahaha au aujui kuingiliana
 
unauliza swali au unajichetua
 
Barwan ndio nani??? Kinacho angaliwa, aya imeshuka wapi, sababu ya kushuka, na baba kassim kaifundishaje..zaidi ya hapo ni ukafiri [emoji12]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
MKUU NI ALIYEFANYA TAFSIRI YA KUJA KISWAHILI LUGHA YETU AU FASIRI YA KISWAHILI UNATUMIA YA NANI AU UNAFASIRI WEWE KISWAHILI.....MTUME HAJAFASIRI KUJA KISWAHILI ILA MASHEHE NAE UYO NI MMOJA WAPO.....MJUE ZAIDI
Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani , alie fanya tarjuma hii ni Mzalendo wa Zanzibar, aliezaliwa 13 January 1919, akapata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengineo wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya zaraa katika Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.
Alianza maisha yake kwa kufanya kazi ya zaraa na uwalimu. Katika 1947 aliacha kazi ya serikali, ili ashughulikie jihadi ya nchi yake na Umma wake. Alikuwa Muhariri Mkuu wa gazeti la "Mwongozi" kwa muda wa miaka kumi na tano. "Mwongozi" lilikuwa ni gazeti la siasa, la ijtimaa na la dini. Na lilikuwa maarufu kwa kazi yake kubwa ya kudai haki za wananchi na kutapakaza misingi ya Kiislamu huko Zanzibar na sehemu mbali mbali za Afrika ya Mashariki.
Sheikh Ali Muhsin aliongoza chama cha "Hizbu" (Zanzibar Nationalist Party) na aliongoza jihadi ya Uhuru wa Zanzibar kutokana na Muingereza. Hapo alikuwa maarufu kwa jina la "Zaim" yaani Mwongozi. Alifanya kazi ya Waziri wa Ilimu na Waziri wa Mambo ya Ndani, kesha akawa Naibu wa Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje katika serekali ya kidemokrasia ya Zanzibar kabla ya mapinduzi ya Zanzibar yalio mwaga damu za watu hata ulimwengu ukashituka hapo January 1964.
Baada ya machafuzi hayo ya Zanzibar, aliwekwa jela kwa muda wa zaidi ya miaka kumi bila ya kushitakiwa, kwa sibabu ya fikra zake za kisiasa.

Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani ametunga tungo kadha wa kadha za dini. Miongoni mwake ni utenzi wa mashairi ya Kiswahili wa beti 1300 juu ya maisha ya Mtume (s.a.w.). Pia ametunga kitabu cha Kingereza cha kulinganisha Ukristo na Uiislamu ambacho kakifasiri mwenyewe Mtungaji kwa Kiswahili.
Hivi sasa Sheikh Ali anaishi Dubai, U.A.E. KAMA YU HAI
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…