Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ww kweli ujui kitu yaani mpaka leo ujui kwamba quran inamtambua isa ni masihi izi elimu mnaokota wap aya kasome ww na wenzie sura 3 aya ya 45(3:45) ujinga ukotoke acha story za vijiweni alaaaa
 
Yesu huyu aliekausha mti kisa njaa(ubao) au yule mnaosema kapigwa kipigo cha mbwa koko
 
Vita iko wapi hapo? Hatujadili dini Bali ukweli Wa Sayansi ya Jua.Lazima kutenganisha Dini na sayansi katika suala hilo
Kabla ya kwenda mbali, ingawa nimechelewa kuuona uzi; tuweke sawa kama Mtume Muhammad (S.A.S) alikuwa mwanasayansi. Hii itasaidia kutousisha dini na masuala ya kisayansi katika mjadala.
 
Ww kweli ujui kitu yaani mpaka leo ujui kwamba quran inamtambua isa ni masihi izi elimu mnaokota wap aya kasome ww na wenzie sura 3 aya ya 45(3:45) ujinga ukotoke acha story za vijiweni alaaaa

Nimesha kwambia koloani inapo mtaja MASIHI inamkusudia Yesu [emoji106] inapo mtaja isa ni yule zeru zeru mtoto ambaye allah alimbaka na kumpuliza farja ya binti amrani [emoji117] baada ya mpulizo akamzaa isa na mtoto kamkataa! Unaelewa sasa?

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu naomba kujibu swala lako japo kwa ufupi kwa kuchangia.
Kwanza Tumjue Dhul-qarnain huyu binaadam kiumbe kma alivyo kiumbe mwengine ila mungu Alimjaalia kua mfalme na mungu alimruzuku mali na nguvu kubwa katika ufalme wake na juu ya hayo hakutakabar bali alikua akimkumbuka mungu.
Na hio chemchem ya matope meusi inaitwa black sea iliopo Asia minor kwani bahar ni chemchem. Na dhul-qarnain alikua ni mfalme wa jamii ya wafursi(waajemi) na mungu alimjaalia kila kitu alichohitajia katika kukamilisha nguvu za ufalme wake.
 
ahahahahahahhaha umepagawa sasa ulitaka wembe umekukata rejea iyo 3:45 sukumizia na maji
 
Mkuu ulitaka kufanya akili za watu sizo za kufkiria lbda nikujuze kwanza ukitaka kutafsiri quran basi kuna na sherhe na hadithi za mtume s.a.w na maswahaba wanazuoni na makhalifa. Nakuomba tu rudi kwenye quran na tafsir yake halafu soma sherhe yake inayozungumzia hizo aya.
 
Quran haijawa na mkanganyiko katika aya zake ila nyie wafasiri ndo mnaivuruga. Je kama kweli usemavyo kuwa jua linazama kwenye matope, na katika surat Rahman Allah anasema kuwa Dunia, mwezi na jua vyote ni duara na angani vinaogelea, kwahyo vinaogelea ziwani au baharini?

Pia kwa imani ya kiislamu ni kuwa Allah hafanani na kiumbe yeyote yule na hakuna kiumbe anaeweza kumfikiria alivyo na ikawa ndio alivyo, kwenye maandiko kuna aya zinasema 'mkono wa Allah' (YadulLah), kwahiyo tuamini Allah Subhana ana mikono kama sie?
 
Mkuu lengo kuu la jamaa tushalijua anataka apotoe watu akijua watu hawajui imani yao inavyosema. Watu kma hawa wapo duniani bila kusahau una umati uliangamizwa kutokna na kuuliza maswala mingi ya kejeli.
 
ahahahahahahhaha umepagawa sasa ulitaka wembe umekukata rejea iyo 3:45 sukumizia na maji

Unaona utofauti? Kuna isa ibn mariam [emoji117] kuna Masihi isa, halafu yule isa ambaye Babu mzee imran...unaona alivyo vurugwa na mapepo [emoji15] [emoji12] au aliprogwa na Yahudi laabid akawa anabwajaja nyie mkaona wahyi mkaanza kupia takbirr allah mkubwa [emoji38] [emoji38]
 
hakuna masihi isa iyo aya labda kaitunga paulo sisi tuna masihi isa mwana wa maryamu ahahahhahahha
 
Hakuna ujanja ujanja umeipinga quran sasa pinga na hadithi.
View attachment 821102
Hii post bado sijapatiwa ufafanuzi wanazuoni mko wapii??
Niliweka hii baada ya mwanazuoni mmoja kupindisha ile aya inayoelezea Dhur karnain kushuhudia jua likizama kwenye matope/maji.
Au sasa tumekubaliana jua linazama kwemnye maji au tumpinge mtume wa mungu tukachoamwe moto.
 
Hakuna ujanja ujanja umeipinga quran sasa pinga na hadithi.
View attachment 821102


Tatizo lenu mnakuwa mnatafuta ubishi hamtafuti elimu ,

Kama kweli wewe ni mtafutaji wa Elimu , Tutajie wapokezi wa hiyo hadithi

Na kuhusu Quran nimewawekea zaidi ya mara 3 majibu lakini mnarudia rudia bila kusoma chochote

Did the Noble Quran really say that the sun sets and rises on earth?


Explanation: Sun Sets in Murky Water Hadith (Sunan Abu Dawud, Musnad Ahmad)





Unreliable Hadith about Sunset in the Spring of Warm Water

What we see from analysis is that the Hadiths in which the words “it sets in a spring of warm/murky water” appear are not believed to be attributed to Prophet Muhammad (p). Thus, Muslims do not consider them to be reliable.

Now somebody may well be thinking, how it can be dismissed as not being from Prophet Muhammad p? It's simple, if you look at the analysis you will see there are numerous Hadiths with different chains of narrators (after the first three links) which all report the SAME saying of Abu Darr but they do not include the words “it sets in a spring of warm/murky water.”

So clearly both versions cannot be right.

The versions containing “it sets in a spring of warm/murky water” are based on the SAME chain of narration (see the fourth person in the chain) while the versions not containing “it sets in a spring of warm/murky water” are of 5 different chains (5 different people at the 4th link) - thus overwhelming numerical evidence shows that the Hadith containing “it sets in a spring of warm/murky water” cannot be attributed to Prophet Muhammad p. Basically it's a case of 1 person reported it with the words “it sets in a spring of warm/murky water” compared to 5 who did not report those words.

Not only this, the chain in which the words “it sets in a spring of warm/murky water” are included contains Sufyan bin Husain who was considered as a person who made mistakes in his narrations as seen in Waqar Cheema's analysis:

Muhammad ibn Sa’d said about him: “He was reliable (but) he made many mistakes in his narrations.” (Tabaqat al-Kubra, Dar al-Kotob al-Ilmiyya, Beirut, 1990, vol.7 p.227 No. 3417)

Obviously quality and quantity would mean that the Muslim does not accept this narration but rather accepts the more numerous and reliable Hadiths which are those that do NOT contain the words “it sets in a spring of warm/murky water”

There's even a theory how the words “it sets in a spring of warm/murky water” got into the Hadith by mistake - see Cheema's analysis

Cheema points out the Hadith in question is Anomolous and Defective and supplies the definitions which impugn the reliability of such hadiths:

“… the anomalous hadith is the one which a reliable transmitter relates and which is in conflict with what other people relate.” (An Introduction to the Science of Hadith, Translated by Dr. Eerik Dickinson, Garnet Publishing Ltd. Berkshire 2006 p.57)

“A defective hadith is one in which a defect impugning its soundness is detected, although it outwardly appears to be free of the defect. That may apply to an isnad made up of reliable transmitters which outwardly seems to fulfill the conditions of soundness. Someone being alone in transmitting the hadith as well as others contradicting him aid in catching the defect.” (An Introduction to the Science of Hadith, p.67)

And when a report or a part of it becomes “shaadh” it ceases to be a sahih (sound) report. For this the definition of a “Sahih hadith” will help.

Hafiz Ibn Salah writes;

“The sahih (sound) hadith is a “supported” hadith (al-hadith al-musnad), the isnad of which coheres continuously through the transmission of one upright and accurate person from another up to its point of termination. The sound hadith can be neither anomalous (shaadh) nor defective (mu’allal),” (An Introduction to the Science of Hadith, p.5)

So merely being “sahih al-isnaad” is not enough for the report itself to be sahih.

Conclusion

If you come across a Christian missionary or any other Anti-Islam zealot quoting any Hadith saying the sun “sets in a spring of warm/murky water” then just dismiss it. Kindly let that person know that the Hadith is unreliable and there are numerous Hadith which contradict that and these are the more reliable Hadith. Let the person know, the Hadith he/she is citing cannot be attributed to the Prophet - due to intellectual honesty.

For more information see analysis.

The narrations which you may come across:

Yazid bin Harun- Sufyan bin Husain- Al-Hakam bin ‘Utaybah- Ibrahim (b. Yazid al-Taymi)- Yazid al-Taymi- Abu Dharr said: I was sitting behind the Apostle of Allah who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets? I replied: Allah and his Apostle know best. He said: It sets in a spring of warm water. (Sunan Abu Dawud, Hadith 3991)

Related narrations:

In Musnad Ahmad these words are part of a longer narration reported through same chain of narrators;

Abu Dharr narrated, “Once I was with the Prophet riding a donkey on which there was a saddle or a (piece of) velvet. That was at sunset. He said to me, ‘O Abu Dharr, do you know where this (sun) sets?’ I said, ‘Allah and His Messenger know better.’ He said, ‘It sets in a spring of murky water, (then) it goes and prostrates before its Lord, the Exalted in Might and the Ever-Majestic, under the Throne. And when it is time to go out, Allah allows it to go out and thus it rises. But, when He wants to make it rise where it sets, He locks it up. The sun will then say, “O my Lord, I have a long distance to run.” Allah will say, “Rise where you have set.” That (will take place) when no (disbelieving) soul will get any good by believing then.’” (Musnad Ahmad, Hadith 21459 al-Risala ed.)

This narration is quite similar to the narration found in many hadith works including Sahih Bukhari, Sahih Muslim etc. except the words “It sets in a spring of warm water.”
 
Last edited:
Barwan ndio nani??? Kinacho angaliwa, aya imeshuka wapi, sababu ya kushuka, na baba kassim kaifundishaje..zaidi ya hapo ni ukafiri [emoji12]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app


Huyu hapa ndiye Barwan


UKOO WA YESU

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu.

Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).


Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.
Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha 26 ,wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini?

Karibuni, Muhammad s.a.w. anawakaribisheni kwa mikono miwili.

Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu.

Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni. Maana sasa hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam.

Kwahiyo karibuni sana.
 
Ha ha ha ha na bado kwaiyo huo ndio ujanja wenu wa kuyakana maandishi yenu kwa mwendo huo hakuna maana ya mjadala maana tukiwaonesha jamaa yenu alivokuwa ignorant mnasema ooh hiyo hadithi sio kweli huyo mwanazuoni alikosea sasa sijui sisi tuwaamini nyinyi au wanazuoni wenu wakubwa walioandika vitabu vyenu quran na hadithi ambavyo ndio mwongozo wenu.
Lakini tutaendelea kuwabainishia ujanjajanja wa ndugu yenu najua ni ngumu kwenu kukiri lakini ukweli mnauona na ukweli utawaweka huru.
 

Ujanja


Sasa niambie huyo muyahudi uliyemfanya mungu , inakuwaje mkamfanya mwanaharamu huku mkisema eti mwanaharamu haingii katika ufalme wa Mungu

Anza kumnusuru au ndio ujanja ujanja wenu umemaliza hapa??

UKOO WA YESU

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu.

Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).


Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.
Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha 26 ,wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini?

Karibuni, Muhammad s.a.w. anawakaribisheni kwa mikono miwili.

Kama mnaona kwamba Yesu Kristo ni mtakatifu lakini Biblia imechafuka kwa mikono ya waandishi, pia karibuni katika dini ya Kiislamu.

Qur'an kitabu cha Mungu kitawatoshelezeni. Maana sasa hakuna njia ya kusalimika isipokuwa katika dini ya Kiislam.

Kwahiyo karibuni sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…