Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.


Yesu (AS) anasema katika (Mathayo 4:10):

"...kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake."

Katika (Yohana 17:3) anasema: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."

Vilevile anasema katika Yohana 20:17: "...ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu."

Je, maelezo haya hayapo wazi? Wapi alipokubaliwa Yesu kuwa ni Mungu?
 
Anaye samehe watu dhambi ni Yesu tu [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app


Mungu pekee ndiye ajuaye ni lini Wakristo wataweza kutoa nakala sahihi (asilia) ya kitabu chao (Biblia).

Mtu atashangaa, juu ya idadi ya matoleo ya Biblia yaliyopo leo hii. Kila moja linatofautiana na jingine, ndio, kila moja linadai kuwa yeye ndio toleo asilia. Matolea yote hayo yameshawahi kutangaza duniani kuwa, yenyewe ni ufunuo mtakatifu. Rejeo lao lililo tayari lipo katika (2 Timotheo 3:16), isemayo “Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho...” Lakini kile wasichokifahamu Wakristo ni kuwa, “Kwa hakika, yaliyomo katika Biblia zao si Maandiko matakatifu ispokuwa ni hekaya, fikra, matukio na tamaduni tu.” Tatizo hilo linachanganya zaidi pale tunapojua kuwa baadhi ya matoleo ya Biblia yana vitabu vingi zaidi kuliko mengine. Toleo la Orthodox (OVC), lina vitabu 86; Toleo la Charismatic (CV), lina vitabu 76; Toleo la Roman Catholic (RCV), lina vitabu 73; na matoleo yote ya Kiprotestanti yana vitabu 66 likiwemo The New World Translation of the Holy Scripture [1984] (NW), linalotumiwa na Mashahidi wa Yehova na matoleo mengine kama vile the King James [1611-1942] (KJ), American Standard [1901-1944] (AS), Rivised Standard [1971] Second Edition (RS) Jerusalem Bible [1966] (JB), Good News Bible (1954: iliyochapwa 1956), Ronald A, Knox (Kx), New International Version (NIV), na motoleo mengine yasiyo na idadi.

Zaidi ya hayo, vipi kuhusu hoja ya Warejeaji wanosifika wa Biblia ya the Rivised Standard Version (RS), Rivised Edition ya 1952, na kwa Agano Jipya, Second Edition ya 1971, by Wm. Collins Sons & Co. Ltd. Iliyochapwa na Canadian Bible Society, isemayo katika Utangulizi wake: (1) “Naam, Toleo la King James lina dosari kubwa mno.... dosari hizo ni nyingi sana na hatari sana kiasi cha kupelekea kuitishwa wito wa kurekebishwa kwa tafsiri yake ya Kingereza.” (2) “Toleo la King James la Agano Jipya liliegemea katika mandiko ya Kigiriki yaliyoharibiwa kimakosa” Vipi kuhusu hoja ya Mashahidi wa Yehova katika chapa ya Mwamko ya Septemba 1951 inayoeleza; “Biblia ina makosa 50,000!”

Na vipi kama nikisema, kinyume na imani yetu, kuwa “Katika Waandishi wanne wa Injili Hakuna hata mmoja aliyekuwa Mwanafunzi wa Yesu (AS).” Katika (Luka 6:14-16 na Marko 3:17) tunaona yametajwa majina ya wanafunzi kumi na wawili na Yesu (AS). Huku majina Mathayo na Yohana yamo, na majina Marko, Luka na Paulo hayajatwaja.

Hata hivyo, kutokana na nkuu zifuatazo, utagundua kuwa hizo Injili mbili zinatajwa kuwa ni za Mathayo na Yohana kwa kuwaheshimu tu, kwani ziliandikwa na mtu wa tatu. Soma nakala halisi ya mstari wa (Mathayo 9:9):

"Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani aitwaye Mathayo, akamwambia nifuate. Akaondoka akamfuata."

Na katika (Yohana 21:24):

"Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya; nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli?"


Katika aya ya kwanza, mwandishi anasimulia tu kile kilichotokea kati ya Yesu (AS) na Mathayo, huku katika aya ya pili, ni wazi kuwa kiwakilishi “nasi” kinawakilisha mwandishi.

Hebu kwa sasa tutafakari juu ya kile kilichosemwa na waandishi wawili wa Kikristo kuhusu kuundwa kwa Biblia:

“Wakati mwingine, Wanukuzi wanatia kile kisichokuwemo katika maandishi, pia kile wanachokifikiria kitakuwemo. Mnukuzi anaweza kuamini kumbukumbu zinazobadilika, au anaweza kuunda maandiko kwa mujibu wa mtazamo wa madhehebu anayoyafuata. Kwa kuongezea katika matoleo na manukuzi ya Mapadri wa Kikristo, takriban (Miswada) ya Mandiko Matakatifu elfu nne ya Wagiriki [MSS], ilijulikana kuwa ipo. Kwa hiyo, tofauti za usomaji ni jambo la kuzingatiwa.”[1]




Kwa hiyo Injili ziliundwa, na ambazo kiwaziwazi, ziliakisi mitazamo ya ufahamu wa mahitajio na matumizi ya jamii za waandishi. Kwao wao, vitu vya kimila vilitumika, lakini kulikuwa hakuna kusita katika kukibadilisha kile kisichoendana na lengo la mwandishi.”[2]




[1] J.R., dummelow: Commentary on the Holy Bible, p. 16. – (see – Mrs. Ulfat Aziz-Us-Samad: “Islam and Christianity”, 1984, Presidency of Islamic Research IFTA and Propagation, Riyadh, Kingdom of Saud Arabia p.7).



[2] T.G. Tucker: The History of The Christian in the Light of Modern Knowledge, p. 320. (Ibid, p. 6).


 
wee endelea kupata shida, WAKRISTO WANAFAIDI RAHA YA KUWA NA YESU ALIYE HAI [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 





wewe huamini Yesu ana Baba! Halafu tunaitumia aya inayo sema YESU ana BABA kukutetea ubishi wako [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe si watetee Mapadri waliokufanya uwape pete ile ya natural



Pole sana Kwa hiyo kitu mbaya aliyokufanyia Padri wako



Endelea kumvisha pete huyo Padri wako

gavana umejaa povu hadi unambishia allah aliye kuagiza halafu kakuagiza tena ukijaa povu ukapige kata tatu [emoji117] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji118] unatuletea maneno yenu ya huko sauna [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waulize makafiri wenzio makristo mie dini za mababu zangu zantosha shekheee😂😂😂 cztambui dini za waarab na wazungu walizileta ili watutawale
 
 
Ahahhahahaahaahhahahahhahaha mimi nimesema sio ww tu wakristo wenzio wote wataukana huo ukristo kama wewe unavyoukana ni konzi baada ya konzi
 
Waulize makafiri wenzio makristo mie dini za mababu zangu zantosha shekheee😂😂😂 cztambui dini za waarab na wazungu walizileta ili watutawale
Ahahhahahahahhahahaha ww ni mkristo ata ujifiche vip uwezi kutuhadaa sisi watoto wa mjini
 
Sishangai kwa mateja Wa kungonoka kuona kwako na mawazo yanajikita kwenye uchi uchu uchiii ashki majunun ati [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kungonoka ni sehemu ya maumbile ndio maana adamu alitafutiwa msaidizi wa kike na sio wakiume na hata seleman alikuwa na 700 wanawake saaafi wewe jitese ukaimbe nyimbo mbinguni ahahhahahaha hakikisha una sauti ya kwanza maaana milele utakua wa kuimba
 
Ahhahahahaaaha ww ni mgalatia Ahahahaahaa utaukana sana ukristo wako humu ndani ni jiwe baada ya jiwe
 
Ahahaahahhaahhaa hivi ww uwaga hauna hoja nyingine huyu ndie awapendi wanawake mpaka anataka KUWAKATA MIKONO
KUMB la TORATI 25:11-12
11:; Washindanapo waume wao kwa wao, akikaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe, katika mkono wa ampigaye , yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake,'
12;" Umkate ule mkono wake , lisiwe na huruma jicho lako;"

Ahahaahhahahhajaja unatangaza unapenda wanawake huku MNAWEKA SHERIA ZA KUWAKATA MIKoNO buree kabisaaaaaaaaa ww na zipo nyingi nakusubir halafu umesema kuoa ndio tunaoa ata selemani alikuwa na 700 wanawake halafu umesema wanawake wapo wengi motoni sasa unashangaa nini mbona Yesu alisema matajari watakuwa wengi motoni ukija hapa uwe umejipanga
 
Hakuna mwislam yoyote yule dunian anaeweza kunipa mimi ilimu kwasababu moja kubwa....maandiko yanayoaminiwa na waislam yamejaa upofu mtupu nao wayaaminiyo huwa vipo so logic inakuja hv...waalim wote wakiislam wanafundsha upofu pasipo kuujua
Ahahahahahaahahahajjajajajajaaj ndio elimu hii ya PAULO ya kumuita Mungu wake Mpumbavu ndio umeikubali
WAKORINTHO wa kwanza 1:25
;",Kwasababu UPUMBAVU wa Mungu una hekima zaidi ya WANADAMU, na UDHAIFU wa Mungu una nguvu zaidi ya WANADAMU;"

Ahahhahaahahah ndio elimu unayoitaka kuimbiwa Mungu anakaupumbavu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…