Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ahahhahajahahajajajaja kama yakobo( Israel ) nae alikuwa teja ahahahahahaha alikuwa na wawili na vijakaza wawili kama una jeuri njoo useme yakobo alikosea wana wa Israel watoto wa kungonoka ahahajaajjajaajajjaaja maana kuna mmoja mzaramo pia analazimisha uisrael wa kuchovya wa PAULO sijui waisrael rohoni ahahahhahahaahaha
 

deen ni ya warabu [emoji117] Mimi ni mtu Wa Tz [emoji106] muhammad alikuwa anawasomea aya watu wake wa maka na uswazi yake kama alivyo agizwa na allah [emoji4] sasa wee daudi mtoto wa mushahara ni mtu wa maka [emoji47] hata allah amebainisha wale wanyama wanao chinjwa kule maka wale, na makombo wawapelekee makafir wanao londea londea [emoji117] mnafikiri hizi mbuzi zilizo fungwa kwenye sanda mnaletewa kwa mujibu wa aya hatuzioni eeh [emoji15] [emoji47] [emoji4] hadi imamu kampiga kichwa mwenzie kugombea ile minyama ya kafara [emoji15] [emoji12] hata huyu shehe wa wahabi hakuuma Maneno [emoji117] mnatufedhehesha na uchu wenu ndugu zetu ktk Adam [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Na hii [emoji117] nayo allah kamuongezea nguvu [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mnaesema katemewa mate kama kinyesi ahahahahhahahaha bila shaka mtakuwa na matatizo ya akili

aliye umba magaidi Wa kuwasumbua Mitume ni allah [emoji117] wameshindwa Yesu yuko Hai wanajifanya eti alibabaishiwa mtu mwingine [emoji15] [emoji4] nani? Hawamjui hata jina [emoji38] [emoji38] Hao unaosema majemedari wengine wamekufa wamepakatwa na mkewe huku analia lia [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yakobo ndiye kigezo chenu?? Mungu aliye Muumbia MSAIDIZI na sio WASAIDIZI alikosea [emoji47] jibu swali hilo kafir mkubwa wee [emoji15] uchu wa mtu mnaufanya ni agizo la Mungu [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

tatizo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahhahahahahaajjaajja ww babu acha bange vitabu vya hadithi vinajulikana ukija hapa taja jina la kitabu volume gani au hadithi namba ngapi sasa ukija hapa unaleta uandishi wa source aueleweki unaokota mavitabu una unga unga ahahhahahahahaja

Kuunga unga ni miratul rasul [emoji117] ulikuwa hujui eeh [emoji15] kitabu huna ni c$p [emoji117] [emoji38] [emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

umebakia bride bride [emoji12] [emoji33] [emoji33]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AhHahahahaahahajajaj hii hoja yako DHAIFU tumekujibu sana waarabu si watu mimi mnyamwezi si mtu haya jibu ndio hili 7:158 Quran labda kama ww sio mtu awe mwarabu awe msukuma lakini kama ni mtu mtume ni mohamadi
 
Yakobo ndiye kigezo chenu?? Mungu aliye Muumbia MSAIDIZI na sio WASAIDIZI alikosea [emoji47] jibu swali hilo kafir mkubwa wee [emoji15] uchu wa mtu mnaufanya ni agizo la Mungu [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahhahahahaha mbona unatema povu Mungu aliumba msaidizi na huyo huyo aliruhusu kumiliki wanawake wengi ndio maana wenye nguvu zao maridadi wakina selemani walikuwa na 700 ww unga unga mwana kamoja kanakushinda ata Israel Mungu alijua kamke kamoja watoto 12 itakuwa tabu akampa yakobo wawili na vijakazi 2 ndio wana wa Israel kukamilika 12 Mungu angekuwa na akili mbovu kama yako ya kamke kamoja leo wana wa Israel wasingezidi 6 ahahahahahhaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…