GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Mkuu so unamaanisha ni sawa na wafuasi wa ccm/Matanga?
Kumbe tupo wengiMimi nasoma comments tu
Bora hata lusekelo yeye anjiita mchungaji sio wengine majina makubwa nabii mtume kuhanihuyu na mzee wa konyagi wote motoni.
Matanga ni kifupi cha Make Tanzania Great Again (MATANGA). So wanaccm kwa sasa wanajiita/Mnajiita Matanga'Matanga' ndiyo nini Mkuu? Yaani una Chuki na 'Kisununu' na CCM hadi unakosea hata Kuandika vyema maneno. CCM itatawala Tanzania 'Milele' tu.
Matanga ni kifupi cha Make Tanzania Great Again (MATANGA). So wanaccm kwa sasa wanajiita/Mnajiita Matanga
and PatheticStupid.
Mimi si Prophet mkuu, ni muumini wa kawaida tu na sitaki vyeo vyovyote vya kikanisa/msikiti.Hahahahah. Umesikika Prophet somebody.
Aisee hawa manabii wa leo ni njaa tupu wanatumiz nguvu za shetani kujifanya wana Mungu usiende kwa nabii yoyote wapiga pesa tu na watoa kafaraJe,...
1. Ni kwanini Waumini wako wakitoka Ibadani huwa wanaishiwa Nauli na wanatusumbua Watu Mabarabarani kwa Kutuomba?
2. Ni kwanini Waumini wako wengi Uwezo wao wa Kujenga Hoja ni Mdogo na wakiona unawazidi wanasema una Pepo?
3. Ni kwanini Waumini wako wengi (siyo wote) wa Kike ni wepesi mno Kudanganyika, Kutongozeka na Kulalwa / Kungonoliwa?
4. Ni kwanini Waumini wako wengi wakiwa Kanisani wao muda wao wote Shingo zao zinaangalia nje kama DalaDala zinawaacha?
5. Ni kwanini Waumini wako wengi wanatumia Nguvu nyingi sana Kwetu Kutuaminisha kuwa Wewe ni bora na mahiri kuliko wote?
6. Ni kwanini 95% ya Muda wako uwapo Madhabahubi unahimiza tu Michango ya Sadaka ila Neno (Injili) huwa huipi sana nafasi?
7. Ni kwanini pamoja na Kupata Sadaka nyingi mno lakini huwazi kuhama Tanganyika Packers ambako Miundombinu yake ni mibovu?
Nayasubiri kwa hamu sana Majibu yako tafadhali.
Halafu utawakutwa wakinamama na Wadada wazuri wako huko wanasubiri miujiza ya kuolewa wakati hawafanyi chochote juma lote wako kwa Mwamposa! Mwamposa yeye anaingiza sadaka wewe unarudi nyumbani hata maji ya kunwa huna. What for? Watu wajitambue makanisa yamekua njia za kilaghai siku hizi.
PICHA YAKE MKUU TUMUONE TUSIOMJUAJe,...
1. Ni kwanini Waumini wako wakitoka Ibadani huwa wanaishiwa Nauli na wanatusumbua Watu Mabarabarani kwa Kutuomba?
2. Ni kwanini Waumini wako wengi Uwezo wao wa Kujenga Hoja ni Mdogo na wakiona unawazidi wanasema una Pepo?
3. Ni kwanini Waumini wako wengi (siyo wote) wa Kike ni wepesi mno Kudanganyika, Kutongozeka na Kulalwa / Kungonoliwa?
4. Ni kwanini Waumini wako wengi wakiwa Kanisani wao muda wao wote Shingo zao zinaangalia nje kama DalaDala zinawaacha?
5. Ni kwanini Waumini wako wengi wanatumia Nguvu nyingi sana Kwetu Kutuaminisha kuwa Wewe ni bora na mahiri kuliko wote?
6. Ni kwanini 95% ya Muda wako uwapo Madhabahubi unahimiza tu Michango ya Sadaka ila Neno (Injili) huwa huipi sana nafasi?
7. Ni kwanini pamoja na Kupata Sadaka nyingi mno lakini huwazi kuhama Tanganyika Packers ambako Miundombinu yake ni mibovu?
Nayasubiri kwa hamu sana Majibu yako tafadhali.
PICHA YAKE MKUU TUMUONE TUSIOMJUA
Kwahiyo unatushaurije mabaharia mkuu??Na kama kuna Mtu ambaye huwa 'nawavuna' Kingono Waumini wa Kike ( Mademu ) wanaosali hapo Kwake ni Mimi. Ni wepesi kama Toilet Tissues.
Mi nlifikiri una mambo ya maana kumbe UPUMBAVU ULE ULE WA SIKU ZOTE. We bwana mdogo una penda attention za kijinga. Adam Mchomvu we ndo angekupasua vibaya sana. Waumini wa Mwamposa achaneni na huyu Fala hana uelewa. Fanyeni mambo yenu. Kunyamaza pia ni jibu kwa mtu mpumbavu.ππππ
8.Ni kwa nn unawauzia waumini wako maji sh 1000. akat mtaan yanauzwa 500?Je,...
1. Ni kwanini Waumini wako wakitoka Ibadani huwa wanaishiwa Nauli na wanatusumbua Watu Mabarabarani kwa Kutuomba?
2. Ni kwanini Waumini wako wengi Uwezo wao wa Kujenga Hoja ni Mdogo na wakiona unawazidi wanasema una Pepo?
3. Ni kwanini Waumini wako wengi (siyo wote) wa Kike ni wepesi mno Kudanganyika, Kutongozeka na Kulalwa / Kungonoliwa?
4. Ni kwanini Waumini wako wengi wakiwa Kanisani wao muda wao wote Shingo zao zinaangalia nje kama DalaDala zinawaacha?
5. Ni kwanini Waumini wako wengi wanatumia Nguvu nyingi sana Kwetu Kutuaminisha kuwa Wewe ni bora na mahiri kuliko wote?
6. Ni kwanini 95% ya Muda wako uwapo Madhabahubi unahimiza tu Michango ya Sadaka ila Neno (Injili) huwa huipi sana nafasi?
7. Ni kwanini pamoja na Kupata Sadaka nyingi mno lakini huwazi kuhama Tanganyika Packers ambako Miundombinu yake ni mibovu?
Nayasubiri kwa hamu sana Majibu yako tafadhali.