Mtume Mwamposa 'Buludoza' popote pale ulipo, tafadhali nijibu haya maswali yangu muhimu sana kwako

Mkuu so unamaanisha ni sawa na wafuasi wa ccm/Matanga?

'Matanga' ndiyo nini Mkuu? Yaani una Chuki na 'Kisununu' na CCM hadi unakosea hata Kuandika vyema maneno. CCM itatawala Tanzania 'Milele' tu.
 
'Matanga' ndiyo nini Mkuu? Yaani una Chuki na 'Kisununu' na CCM hadi unakosea hata Kuandika vyema maneno. CCM itatawala Tanzania 'Milele' tu.
Matanga ni kifupi cha Make Tanzania Great Again (MATANGA). So wanaccm kwa sasa wanajiita/Mnajiita Matanga
 
Halafu utawakutwa wakinamama na Wadada wazuri wako huko wanasubiri miujiza ya kuolewa wakati hawafanyi chochote juma lote wako kwa Mwamposa! Mwamposa yeye anaingiza sadaka wewe unarudi nyumbani hata maji ya kunwa huna. What for? Watu wajitambue makanisa yamekua njia za kilaghai siku hizi.
 
Hahahahah. Umesikika Prophet somebody.
Mimi si Prophet mkuu, ni muumini wa kawaida tu na sitaki vyeo vyovyote vya kikanisa/msikiti.
Lakini huyu Mwamposa a.k.a "Burudoza", watu au waumini wake naona hawasituki kuwa huyu jamaa ni tapeli.
Miujiza yake ilikosa upako wa aina yoyote baada ya wato 20 kufa kule Moshi.
Watu wema wanahubiri wagonjwa wanapona, kwake watu wazima wanajazwa tamaa na wanaishia kufa!
Huo upako wa Ibilisi!!
😑😑😑
 
Aisee hawa manabii wa leo ni njaa tupu wanatumiz nguvu za shetani kujifanya wana Mungu usiende kwa nabii yoyote wapiga pesa tu na watoa kafara
 

Na kama kuna Mtu ambaye huwa 'nawavuna' Kingono Waumini wa Kike ( Mademu ) wanaosali hapo Kwake ni Mimi. Ni wepesi kama Toilet Tissues.
 
PICHA YAKE MKUU TUMUONE TUSIOMJUA
 
PICHA YAKE MKUU TUMUONE TUSIOMJUA

Umeshawahi kutembelea Hifadhi ya Utalii nchini ya Gombe Mkuu? Hata kama bado 'Google' tu huko, kisha huenda ukakutana na Jibu la Swali lako.
 
Mi nlifikiri una mambo ya maana kumbe UPUMBAVU ULE ULE WA SIKU ZOTE. We bwana mdogo una penda attention za kijinga. Adam Mchomvu we ndo angekupasua vibaya sana. Waumini wa Mwamposa achaneni na huyu Fala hana uelewa. Fanyeni mambo yenu. Kunyamaza pia ni jibu kwa mtu mpumbavu.😁😁😁😁
 

Sifa zote ulizonitajia hapa 'aliyekuzaa' ndiye 'Kanirithisha' hivyo kama ni 'Hasira' nashauri anza Kuzilekeza Kwake wakishindwa zireshe Kwangu tu.
 
8.Ni kwa nn unawauzia waumini wako maji sh 1000. akat mtaan yanauzwa 500?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…