Mtume Mwamposa 'Buludoza' popote pale ulipo, tafadhali nijibu haya maswali yangu muhimu sana kwako

Mtume Mwamposa 'Buludoza' popote pale ulipo, tafadhali nijibu haya maswali yangu muhimu sana kwako

Sawa Mrs. Mwamposa siku zingine nitafanya hivi. Vipi mnaanza Kulala na 'Kubaiolojiana' Saa ngapi ili nikutakieni 'Baioloji' njema nae huyo Mumeo?
Hahahaha nimecheka kwa sauti kubwa [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] harafu nipo safarini watu wananigeukia naonekana pimbi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwamposa , Gwajiboy, Lusekelo, Kakobe , bakwata, hawa watu ni wajanja wa mjini
Hapo kakobe kafuata nini?? Japokuwa mm sio muumini wake lkn Kakobe umemuonea,hapo wangeongezeka Nabii Flora,Suguye,Geodave na Mwingira ningekuelewa
 
Na kama kuna Mtu ambaye huwa 'nawavuna' Kingono Waumini wa Kike ( Mademu ) wanaosali hapo Kwake ni Mimi. Ni wepesi kama Toilet Tissues.
Wewe jamaa unapenda sana kujisifia ujinga,eti unawavuna kirahisi so hapo unajiona bonge la mjanja nawewe
 
Siku ukianza kumind ur own business ndo siku utakapoacha kuandika huu utopolo, my view kila mtu ana imani yake ,hamuwezi kufanana kama anawaibia waumini wake its non of ur business wewe pambana na hali yako as long as havunji sheria mwacheni tu, muda ndo huwa unaongea kila kitu ipo siku utajua mtama ni upi na makapi ni yapi but issue ya kuongelea mtu ambaye anapiga pesa zake kupitia wanakondoo hell no its not great thinkers way of living. Na wewe kama unaona anafaidi fungua kanisa lako utapata wa kukupa sadaka ili mradi ufuate sheria zote za nchi
 
Dah, yani maswali yako yote ni sawa na yangu yote ambayo nilikuwa najiulizaga mwenyewe.
Kwa hiyo waumini wanaosali kwa Mwamposa rahisi sana kutongozeka??
No.3,aisee wanaume mnadharau sana,kwanini na nyie rahisi sana kutongoza ovyo kama ng'ombe'??
Kati ya wa Mwamposa na humu Jf wametuzidi au sio?
 
Kwa hiyo waumini wanaosali kwa Mwamposa rahisi sana kutongozeka??
No.3,aisee wanaume mnadharau sana,kwanini na nyie rahisi sana kutongoza ovyo kama ng'ombe'??
Kati ya wa Mwamposa na humu Jf wametuzidi au sio?
kugongeka kabisa unashka tu mkono kama una gari unamfungulia tu mlango akiamini mume kutoka kwa bwana amemshukia baada ya maombi
 
kugongeka kabisa unashka tu mkono kama una gari unamfungulia tu mlango akiamini mume kutoka kwa bwana amemshukia baada ya maombi
Hakuna lolote,ni dharau tu mlizonazo.Ukimuuliza mtowa mada ametongoza wangapi na kawala wangapi wa hilo kanisa utakuta unajibiwa matusi tu.
Hata kutongoza ovyo hakukufanyi kuwa mwanamme rijali.Msemeni huyo Mwamposa ila sio lazima kudhalilisha wanawake.
 
Hakuna lolote,ni dharau tu mlizonazo.Ukimuuliza mtowa mada ametongoza wangapi na kawala wangapi wa hilo kanisa utakuta unajibiwa matusi tu.
Hata kutongoza ovyo hakukufanyi kuwa mwanamme rijali.Msemeni huyo Mwamposa ila sio lazima kudhalilisha wanawake.
ukisoma vizuri post ya mleta mada hakuwa na nia ya kumdhalilisha mtu bali ameuliza tu why this happen nami nkaweka mkazo kuwa anachokiongea ni kweli kwani nami nishajiulizaga hilo na ni kweli kabisa
 
ukisoma vizuri post ya mleta mada hakuwa na nia ya kumdhalilisha mtu bali ameuliza tu why this happen nami nkaweka mkazo kuwa anachokiongea ni kweli kwani nami nishajiulizaga hilo na ni kweli kabisa
Kwa hiyo Mwamposa ana jibu la No.3??
Haya.
 
ndo maana na wew ukaja kucoment sababu unaweza kuwa ni mmoja wa muumin wa kanisa hilo hivyo unaweza kutueleza ni kwanini pia maana ndo dhumuni la forum
Nasali hapo eeh,pia sababu anafundisha hivyo.Alafu kwa sababu tunawashwa sana,malaya sana sana.
Happy now?
 
Nasali hapo eeh,pia sababu anafundisha hivyo.Alafu kwa sababu tunawashwa sana,malaya sana sana.
Happy now?
mbona unaanza kupanik hali ya kuwa tumekubaliana kufanya mjadala wa kirafiki na uwazi mbona kuwashwa ni kawaida swali ni je mbona kuwashwa kunazidi mkiwa mnatoka sehemu hyo
 
mbona unaanza kupanik hali ya kuwa tumekubaliana kufanya mjadala wa kirafiki na uwazi mbona kuwashwa ni kawaida swali ni je mbona kuwashwa kunazidi mkiwa mnatoka sehemu hyo
Acha longolongo.Unajuaje kuwa nimepaniki wakati nimekujibu.Au ulitaka nibishane na wewe?? Nimekuuliza umefurahia jibu unauliza swali lingine.
Siku njema.
 
Back
Top Bottom