Mtume Mwamposa ktk msiba wa Grace Mapunda (Tessa)

Mtume Mwamposa ktk msiba wa Grace Mapunda (Tessa)

Acha upuuzi Kwa mawazo finyu, Kwa hiyo yeye hatakiwi kwenda misibani....?
 
Kuokoka ni neema lkn tumuombe Mungu akituokoa aokoe kwanza fikra zetu kabla ya uponyaji wa magonjwa maana ulokole ni direct proportion na changamoto ya afya ya akili usipokuwa makini na hata wachungaji wapo wenye changamoto ya afya ya akili na matokeo yake ndo haya hata maarifa tu tuliopewa na Mungu hatuyatumii tena
 
Acha upuuzi Kwa mawazo finyu, Kwa hiyo yeye hatakiwi kwenda misibani....?
Wote wanaoendaga kanisani Kwake wanatoa sadaka na kununua maji wakifa Huwa anaenda kuongoza ibada ya mazishi?
 
Ilikuwa Moshi. Siyo Arusha
Kwa Wachaga wajanja ila wakaingizwa mjini...na hajawahi kirudi Moshi tena...alafu tangu hapo ndo nyota yake iling'aa sana waumini kibao wakamuamini...alafu Kila akija mwanza Huwa ajali lazima zitokee
 
Wooote wanaosali kwake wakifa huwa anaenda au ni huyu tu kwakua alikua celebrity?
Wale waliokufa Arusha kipindi kile kwwnye kukanyaga mafuta hata kuomba radhi au salam za rambi ramb sikumbuki kama hata aliweza kusema chochote
Shtuka mkuu ! DINI imekuwa biashara kama zilivyokuwa biashara nyingine, hakuna anayetaka kufanya biashara ya hasara
 
Kwa Wachaga wajanja ila wakaingizwa mjini...na hajawahi kirudi Moshi tena...alafu tangu hapo ndo nyota yake iling'aa sana waumini kibao wakamuamini...alafu Kila akija mwanza Huwa ajali lazima zitokee
Ahaa
 
Back
Top Bottom