Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu nabii hakuwafufua...😂Wooote wanaosali kwake wakifa huwa anaenda au ni huyu tu kwakua alikua celebrity?
Wale waliokufa Arusha kipindi kile kwwnye kukanyaga mafuta hata kuomba radhi au salam za rambi ramb sikumbuki kama hata aliweza kusema chochote
Hongera Kwa Kupona Kaka,,,"Wajinga ni Fursa"Ila kuna nchi zinawajinga wengi sana aiseeee....☹️
Umepona?Ila kuna nchi zinawajinga wengi sana aiseeee....☹️
Tuwekee picha wengine hatumjuiMwamposa naona anawavuta watu waende kanisani kwake kwamba kupitia Tessa kusali kwake tayari yuko mbinguni
Wote wanaoendaga kanisani Kwake wanatoa sadaka na kununua maji wakifa Huwa anaenda kuongoza ibada ya mazishi?Acha upuuzi Kwa mawazo finyu, Kwa hiyo yeye hatakiwi kwenda misibani....?
Hasa Tanzania, hii inaongoza bara la Afrika kwa ujinga!Ila kuna nchi zinawajinga wengi sana aiseeee....☹️
Ilikuwa Moshi. Siyo ArushaWooote wanaosali kwake wakifa huwa anaenda au ni huyu tu kwakua alikua celebrity?
Wale waliokufa Arusha kipindi kile kwwnye kukanyaga mafuta hata kuomba radhi au salam za rambi ramb sikumbuki kama hata aliweza kusema chochote
Sio Arusha ni Moshi?Wooote wanaosali kwake wakifa huwa anaenda au ni huyu tu kwakua alikua celebrity?
Wale waliokufa Arusha kipindi kile kwwnye kukanyaga mafuta hata kuomba radhi au salam za rambi ramb sikumbuki kama hata aliweza kusema chochote
Kwa Wachaga wajanja ila wakaingizwa mjini...na hajawahi kirudi Moshi tena...alafu tangu hapo ndo nyota yake iling'aa sana waumini kibao wakamuamini...alafu Kila akija mwanza Huwa ajali lazima zitokeeIlikuwa Moshi. Siyo Arusha
Shtuka mkuu ! DINI imekuwa biashara kama zilivyokuwa biashara nyingine, hakuna anayetaka kufanya biashara ya hasaraWooote wanaosali kwake wakifa huwa anaenda au ni huyu tu kwakua alikua celebrity?
Wale waliokufa Arusha kipindi kile kwwnye kukanyaga mafuta hata kuomba radhi au salam za rambi ramb sikumbuki kama hata aliweza kusema chochote
AhaaKwa Wachaga wajanja ila wakaingizwa mjini...na hajawahi kirudi Moshi tena...alafu tangu hapo ndo nyota yake iling'aa sana waumini kibao wakamuamini...alafu Kila akija mwanza Huwa ajali lazima zitokee
Kwema mkuuIla kuna nchi zinawajinga wengi sana aiseeee....☹️