Mtume Mwamposa ktk msiba wa Grace Mapunda (Tessa)

Mtume Mwamposa ktk msiba wa Grace Mapunda (Tessa)

Hizi ni baadhi ya sifa za Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yeye ndiye mwisho wa Manabii. Maana yake ni kwamba hakuna Nabii mwingine atayekuja baada yake. Yeye ndiye amekhitimisha utume, kwa maana nyingine ni kwamba hatoongezwa wala kupunguzwa. Allaah amekhitimisha ujumbe kwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Amesema (Ta´ala):

مَّا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِّن رِّجَالِكُمْ وَلَـٰكِن رَّسُولَ اللَّـهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ ۗ وَكَانَ اللَّـهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا

“Hakuwa Muhammad baba wa yeyote miongoni mwa wanaume wenu, lakini ni Mtume wa Allaah na ni mwisho wa Manabii. Na Allaah daima kwa kila kitu ni Mjuzi.”[
 
Ilikuwa Moshi. Siyo Arusha
Moshi Kwa wajanja Wachaga wakaingizwa mjini na hajawahi kurudi Moshi tena..na tangu hapo ndo nyota yake iling'aa sana waumini kibao wakamuamini.. tatizo mwamposa akija mwanza Huwa ajali lazima zitokee
 
Mwamposa naona anawavuta watu waende kanisani kwake kwamba kupitia Tessa kusali kwake tayari yuko mbinguni
Friends, ladies and gentlemen ,

tutafute utakatifu kwa bidii sana,
na tujipeleke sote mbinguni kibinafsi. tofauti na hapo utapigwa sana pesa na ni mgonjwa na utajikuta pekeyako kaburini..🐒

R.I.P Grace
 
Back
Top Bottom