Mtume wao Mwamposa hivi Wewe huu Msemo wa 'Akufukuzae Hakuambii Toka' huujui au Jeuri tu?

Mtume wao Mwamposa hivi Wewe huu Msemo wa 'Akufukuzae Hakuambii Toka' huujui au Jeuri tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Kwa namna Mamkala ( Watu ) NHC wanavyoendelea na Maandalizi ya Ujenzi wa Nyumba hapo ni dhahiri shahiri kuwa pataleta Usumbufu mkubwa wa Kiujenzi hapo Kanisani Kwako na hata kwa Waumini wako.

Mtume wao Mwamposa hivi pamoja na Wewe Kubobea hasa katika Saikolojia umeshindwa tu Kung'amua ( Kujua ) kuwa kuanza kwa huo Ujenzi hapo pia ni sehemu ya Kukulazimisha 'Kimkakati' na kwa 'Kukukomoa' kuwa uhame, wamekuchoka na kwamba uwaachie Tanganyika Packers yao?

Na ili uone kuwa Wanakukomoa ila wanatumia Akili Kubwa ni kwamba tayari wameshakuzibia Geti ulilokuwa ukipenda Kuingilia na sasa Wewe pamoja na Watu wa Kawaida nyote mnapita katika Geti moja tu.

Na katika muendelezo huo huo wa kukuonyeha kuwa hawakutaki hapo Tanganyika Packers Kawe ila Wewe unakomaa tu Kipopoma ( Kijuha ) ni kwamba kwa sasa hadi Mamitambo yao pamoja na Vifaa wameviweka karibu na eneo la Kanisa lako hapo.

Ndiyo maana wenye Akili Kubwa kukuzidi akina GENTAMYCINE tunakuuliza je, Wewe Mwenzetu ( tena Mswahili Mwenzetu ) Mtume wao Mwamposa huu Msemo wa 'Akufukuzae Hakuambii Toka' huujui?

Hama upesi hapo Tanganyika Packers Kawe kwanini husikii? Mbona maeneo yako mengi sana tu? Halafu Wewe si kuna eneo Umenunua pale Kona Baa Mbezi Beach Tangi Bovu ( njia ya zamani ya kwenda Goba ) kwa Shilingi Bilioni Tatu? Sasa kwanini huamii tu pale na unang'ang'ania hapo Tanganyika Packers Kawe ambako sasa hutakiwi na Mamkala ya hapo na hata ile Kuu ya Kikatiba?
 
Wakati huu lazima atakuwa anawaandaa kisaikolojia waumini wake, naamini sasa ndio atakuwa anawaambia waumini muda wao umefika wa kuondoka hapo Tanganyika Packers.

Ila pale Tanganyika Packers pamekuwa na nyota sana kwa wote waliowahi kupita pale, ukiondoka pale lazima utapoa ukifika kwenye makazi mapya.
 
Hata ukiweka picha mkuu haito saidia chochote, watu tayari wameshajua haukai Dar. Wanakuchora tu. Eti Tanganyika Packers.
Unatumia nguvu nyingi sana kuwaaminisha watu kwamba umewahi kufika dar.
Hujawahi kufika dar mkuu. Hatudanganyiki
 
Yaani Kwa namna Mamkala ( Watu ) NHC wanavyoendelea na Maandalizi ya Ujenzi wa Nyumba hapo ni dhahiri shahiri kuwa pataleta Usumbufu mkubwa wa Kiujenzi hapo Kanisani Kwako na hata kwa Waumini wako.

Mtume wao Mwamposa hivi pamoja na Wewe Kubobea hasa katika Saikolojia umeshindwa tu Kung'amua ( Kujua ) kuwa kuanza kwa huo Ujenzi hapo pia ni sehemu ya Kukulazimisha 'Kimkakati' na kwa 'Kukukomoa' kuwa uhame, wamekuchoka na kwamba uwaachie Tanganyika Packers yao?

Na ili uone kuwa Wanakukomoa ila wanatumia Akili Kubwa ni kwamba tayari wameshakuzibia Geti ulilokuwa ukipenda Kuingilia na sasa Wewe pamoja na Watu wa Kawaida nyote mnapita katika Geti moja tu.

Na katika muendelezo huo huo wa kukuonyeha kuwa hawakutaki hapo Tanganyika Packers Kawe ila Wewe unakomaa tu Kipopoma ( Kijuha ) ni kwamba kwa sasa hadi Mamitambo yao pamoja na Vifaa wameviweka karibu na eneo la Kanisa lako hapo.

Ndiyo maana wenye Akili Kubwa kukuzidi akina GENTAMYCINE tunakuuliza je, Wewe Mwenzetu ( tena Mswahili Mwenzetu ) Mtume wao Mwamposa huu Msemo wa 'Akufukuzae Hakuambii Toka' huujui?

Hama upesi hapo Tanganyika Packers Kawe kwanini husikii? Mbona maeneo yako mengi sana tu? Halafu Wewe si kuna eneo Umenunua pale Kona Baa Mbezi Beach Tangi Bovu ( njia ya zamani ya kwenda Goba ) kwa Shilingi Bilioni Tatu? Sasa kwanini huamii tu pale na unang'ang'ania hapo Tanganyika Packers Kawe ambako sasa hutakiwi na Mamkala ya hapo na hata ile Kuu ya Kikatiba?
🤔🤔🤔
 
Yaani Kwa namna Mamkala ( Watu ) NHC wanavyoendelea na Maandalizi ya Ujenzi wa Nyumba hapo ni dhahiri shahiri kuwa pataleta Usumbufu mkubwa wa Kiujenzi hapo Kanisani Kwako na hata kwa Waumini wako.

Mtume wao Mwamposa hivi pamoja na Wewe Kubobea hasa katika Saikolojia umeshindwa tu Kung'amua ( Kujua ) kuwa kuanza kwa huo Ujenzi hapo pia ni sehemu ya Kukulazimisha 'Kimkakati' na kwa 'Kukukomoa' kuwa uhame, wamekuchoka na kwamba uwaachie Tanganyika Packers yao?

Na ili uone kuwa Wanakukomoa ila wanatumia Akili Kubwa ni kwamba tayari wameshakuzibia Geti ulilokuwa ukipenda Kuingilia na sasa Wewe pamoja na Watu wa Kawaida nyote mnapita katika Geti moja tu.

Na katika muendelezo huo huo wa kukuonyeha kuwa hawakutaki hapo Tanganyika Packers Kawe ila Wewe unakomaa tu Kipopoma ( Kijuha ) ni kwamba kwa sasa hadi Mamitambo yao pamoja na Vifaa wameviweka karibu na eneo la Kanisa lako hapo.

Ndiyo maana wenye Akili Kubwa kukuzidi akina GENTAMYCINE tunakuuliza je, Wewe Mwenzetu ( tena Mswahili Mwenzetu ) Mtume wao Mwamposa huu Msemo wa 'Akufukuzae Hakuambii Toka' huujui?

Hama upesi hapo Tanganyika Packers Kawe kwanini husikii? Mbona maeneo yako mengi sana tu? Halafu Wewe si kuna eneo Umenunua pale Kona Baa Mbezi Beach Tangi Bovu ( njia ya zamani ya kwenda Goba ) kwa Shilingi Bilioni Tatu? Sasa kwanini huamii tu pale na unang'ang'ania hapo Tanganyika Packers Kawe ambako sasa hutakiwi na Mamkala ya hapo na hata ile Kuu ya Kikatiba?
Ahame vipi kirahisi hivyo,wakati hapo ndipo mahali alipochimbia tunguli zake za kinaigeria!

Kule kwingine unakosema amepanunua huenda kuna miundombinu ya kijini yenye nguvu kuliko yake ya kinigeria.
Ni suala la kamati za kiufundi toka kwa shetani tu....ili maono ya Biblia toka kwa neno....kuhusu siku za kuelekea mwisho yatimie!
 
Back
Top Bottom