Mtumie mama yako pesa, acha kuwapa pesa matajiri wanaoitwa wachungaji, mitume na manabii

Mtumie mama yako pesa, acha kuwapa pesa matajiri wanaoitwa wachungaji, mitume na manabii

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Pesa anayepaswa kusaidiwa ni maskini pekee.

Mtu ana range kali New model unampa pesa ili akuwekee mkono kichwani. Madness

Mtumie pesa mama yako, hakatai pesa kwakuwa ni ndogo, elfu 5, 10, 50, laki , millioni ukimtumia anafurahi na ombi lake la sekunde 30 mbele za Mungu juu yako lina nguvu kuliko ombi la nabii wako la lisaa limoja.

Sisemi kuwa msitoe sadaka ila tengeneza kwanza ya ndani mwako kabla hujatoka nje.

Mimi ni mtumishi wa Mungu ila sipendi kuwatapeli maskini. Juzi binti mmoja alitaka kunipa fungu la kumi nikamkatalia

Haiingii akilini Mimi nina mshahara kumzidi yeye, nina nyumba, usafiri halafu nimdhulumu binti anayeishi ghetto hata kiwanja hana. Nikamwambia akatoe madhababuni
 
Sadaka hupewa Mungu sio binadamu awe mtume,nabii,Mchungaji,maskini ,padri ,mama,au baba mzazi au wewe mleta mada nk

Mimi sadaka zangu nikitoa nampa Mungu.kupitia Chombo cha sadaka simpi mtu sadaka hata siku moja

Wewe unayejiita mtumishi kama huwa unapokea sadaka au kuzikataa sio mtumishi wewe.Sadaka ni za Mungu sio mtu

Huko ziendako sijui na sina mpango wa kujua nikishatoa sababu sikumpa mtu
 
Sadaka yako tunampelekea mungu ili akuvushe na chako........

1740179060391.png
 
Sadaka hupewa Mungu sio binadamu awe mtume,nabii,Mchungaji,maskini ,padri ,mama,au baba mzazi au wewe mleta mada nk

Mimi sadaka zangu nikitoa nampa Mungu.kupitia Chombo cha sadaka simpi mtu sadaka hata siku moja

Wewe unayejiita mtumishi kama huwa unapokea sadaka au kuzikataa sio mtumishi wewe.Sadaka ni za Mungu sio mtu

Huko ziendako sijui na sina mpango wa kujua nikishatoa sababu sikumpa mtu
Mungu anahitaji pesa kufanyia nini? Kununua mahitaji yake? Kujenga nyumba? Je ukichukua kitita cha pesa, ukakiweka mahali sirini ukamwambia mungu umeweka pesa mahali fulani zichue, ni sadaka nimekutolea, ukirudi baada ya muda utakuta kazichukua? Huwa nashuhudia wakatoliki wanapeleka vitu kama mchele, mayai, naparach uchu na vitu vingine vya jikoni, kupitia bikini vinavyojulikana kwa Kifumo kama JNNK. Hivyo vinaliwa na mungu?
 
Mungu anahitaji pesa kufanyia nini? Kununua mahitaji yake? Kujenga nyumba? Je ukichukua kitita cha pesa, ukakiweka mahali sirini ukamwambia mungu umeweka pesa mahali fulani zichue, ni sadaka nimekutolea, ukirudi baada ya muda utakuta kazichukua? Huwa nashuhudia wakatoliki wanapeleka vitu kama mchele, mayai, naparach uchu na vitu vingine vya jikoni, kupitia bikini vinavyojulikana kwa Kifumo kama JNNK. Hivyo vinaliwa na mungu?
Kila mtu na imani yake mimi naamini kutoa sadaka kwenye eneo la kuabudia ambako hufanyika mambo makuu manne kwanza kumuabudu,kumshukuru ,kusikiliza neno lake na kumtolea sadaka kupitia chombo cha sadaka au madhabahu sababu alisema sadaka ziletwe kwake sio kwa mtu

Hata watambika mizimu hupeleka sadaka zao sehemu ya kuabudia na kuziacha hapo iwe makaburini nk

Hayo mengine ya kusaidia yatima na wahitaji yanaitwa matendo ya huruma sio sadaka

Wewe baki na hiyo imani yako .Imani ni.kitu cha kibinafsi zaidi amini uaminivyo hata ukimpa chakula mbwa au paka mwenye njaa ukaona umetoa sadaka hayo ya kwako
 
😁😁 Pole mkuu, sikukusudia kukukwaza. Ninajaribu kutumia tu huu ubongo alonipa mungu kufikiri. Vinginevyo hakuwa na sababu ya kuniwekea ubongo.
 
😁😁 Pole mkuu, sikukusudia kukukwaza. Ninajaribu kutumia tu huu ubongo alonipa mungu kufikiri. Vinginevyo hakuwa na sababu ya kuniwekea ubongo.
Mambo ya Mungu yako juu kuliko.uwezo wetu wa kutumia ubongo ndio maana huitwa imani.Mtu anatakiwa kuamini kuwa yupo sio kuwaza kuwa yupo

Mimi naamini yupo situmii ubongo kwenye hilo.natumia imani na kuwa nikitoa sadaka nampa yeye situmii ubongo natumia imani maana pasipo imani si rahiisi kumpendeza Mungu

Na naamini nikimpa sadaka yeye atanibariki na kuniongezea ndio maana naamini fedha na dhahabu na vyote nilivyonavyo na nitakavyohitaji vyatoka kwake kwani yeye ndie anipaye nguvu na uwezo na connection za kupata utajiri na maisha mazuri
 
Pesa anayepaswa kusaidiwa ni maskini pekee.

Mtu ana range kali New model unampa pesa ili akuwekee mkono kichwani. Madness

Mtumie pesa mama yako, hakatai pesa kwakuwa ni ndogo, elfu 5, 10, 50, laki , millioni ukimtumia anafurahi na ombi lake la sekunde 30 mbele za Mungu juu yako lina nguvu kuliko ombi la nabii wako la lisaa limoja.

Sisemi kuwa msitoe sadaka ila tengeneza kwanza ya ndani mwako kabla hujatoka nje.

Mimi ni mtumishi wa Mungu ila sipendi kuwatapeli maskini. Juzi binti mmoja alitaka kunipa fungu la kumi nikamkatalia

Haiingii akilini Mimi nina mshahara kumzidi yeye, nina nyumba, usafiri halafu nimdhulumu binti anayeishi ghetto hata kiwanja hana. Nikamwambia akatoe madhababuni
Mtu yeyote aaminiye nabii au sheikh lazima anakuwa na matatizo ya afya ya akili, si bure.
 
Sadaka hupewa Mungu sio binadamu awe mtume,nabii,Mchungaji,maskini ,padri ,mama,au baba mzazi au wewe mleta mada nk

Mimi sadaka zangu nikitoa nampa Mungu.kupitia Chombo cha sadaka simpi mtu sadaka hata siku moja

Wewe unayejiita mtumishi kama huwa unapokea sadaka au kuzikataa sio mtumishi wewe.Sadaka ni za Mungu sio mtu

Huko ziendako sijui na sina mpango wa kujua nikishatoa sababu sikumpa mtu
Baadae huishia wapi hiyo sadaka?
 
Baadae huishia wapi hiyo sadaka?
Sio kazi yangu kufuatilia hilo kuwa sadaka nikishatoa zinaenda wapi na wala sina mpango wa kufuatilia.Mimi nikishampa Mungu sadaka nimemaliza sehemu yangu
 
Mnaacha masikini mtaani mnaenda kumpa pesa mwamposa mwenye magari na majumba

Ukristo ni useng
 
Sadaka hupewa Mungu sio binadamu awe mtume,nabii,Mchungaji,maskini ,padri ,mama,au baba mzazi au wewe mleta mada nk

Mimi sadaka zangu nikitoa nampa Mungu.kupitia Chombo cha sadaka simpi mtu sadaka hata siku moja

Wewe unayejiita mtumishi kama huwa unapokea sadaka au kuzikataa sio mtumishi wewe.Sadaka ni za Mungu sio mtu

Huko ziendako sijui na sina mpango wa kujua nikishatoa sababu sikumpa mtu
Jinga hili sadaka gani unayompa mungu, mungu hahitaji sadaka yako acha uzwazwa wewe unapigwa, kwanza hiyo sadaka unampa mungu ili aifanyie nn wkt mbinguni hakuna maduka wala supermarket,

Sadaka wanakula wachungaji ndio maana kila siku wananunua magari mapya
 
Sadaka hupewa Mungu sio binadamu awe mtume,nabii,Mchungaji,maskini ,padri ,mama,au baba mzazi au wewe mleta mada nk

Mimi sadaka zangu nikitoa nampa Mungu.kupitia Chombo cha sadaka simpi mtu sadaka hata siku moja

Huko ziendako sijui na sina mpango wa kujua nikishatoa sababu sikumpa mtu
Hutaki jua zinapoenda ama unakaza ubongo? Wakitaka range wao wanaomba sadaka, tukitaka sisi wanatuombea 😂.

Maelekezo ya kumpa Mungu kupitia chombo cha sadaka ni maandiko ama ubunifu wako mwenyewe?

Sadaka hupewa watu hawa: yatima, masikini, walioharibikiwa safarini, watu wako wa karibu (wazazi, kaka, dada n.k). Hata kuweka tonge mdomoni kwa mke/mume wako ni sadaka.
 
Back
Top Bottom