Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Duniani hakuna fair but usimsomeshe mwanamke hata siku moja. Ukisomesha mwanamke na kumpatia mtaji unajichimbia kaburi . Kumsomesha ndio kitu kibaya zaidi
Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Pamoja na hayo hii ni miongoni mwa Sheria mbovu kabisa za mirathi kwasababu. Hizi Sheria zimekwenda kuharibu ndoa za watu wengi Sana. Wanawake wamenengewa kiburi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa

Kwa ushauri zaidi njoo pm
Ushauri mzuri Sana but ili uweze kutimiza hayo yote Kwa miaka hii inakuwa ngumu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo funzo ni usisomeshe MTU ambaye hujamzalisha. Mchumba hasomeshwi
 
Mama wa nyumbani kwenye talaka huwa treated Kama mfanyakazi wa ndani hivyo wewe kama unafanya kazi naye yeye anatambuliwa hivyo

Ukikutana na jaji mbabe anakubania hapo mtagawana Mali nusu kwa nusu
Acha kukariri mambo wewe ficha ujinga wako, huwezi kuoa mwana mke amekukuta umejenga nyumba imekamilika kwa 80% afu end of the day mgawane 50% kwa 50% hapo ujue mtagawana 20% na hiyo 80% itabaki kwa mume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana mnakwama sana. Jenga nyumba zako kabla hujaoa andikisha vyote unavyomiliki kabla hujaoa viweke kisheria uone kama mwanamke atakusumbua mahakamani. Yeye mwache anunue masufuria tu na vikombe. Ukishindwa hivyo onesha ushirikiano na mkeo ila tafuta hata kiwanja sehemu jenga kiapartment cha kinyamwezi bila huyo laana mkeo kujua. Siku akitibua unaenda kujipangisha huko.
 
Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Ada ya shule alilipa nani?
Huo muda anakwenda shule majukumu ya nyumbani yalifanywa kwa gharama za nani?
Usiichukulie Sheria juu juu bila kuhoji haki haiwezi kutendeka. Ndio maana kuna watu maalumu wa kuendesha mashtaka.

Sent from my PIC-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Mahakama imeamuru mali zigawanywe kwa misingi ipi? Wameangalia contribution ya kila mmoja kwenye mali? Au ndo msukumo wa boss umepindisha sheria.
Hapo kwa haraka haraka tu hakupaswa kupewa mali sawa na mumewe maana kuna ushahidi kwamba alikwenda shule huku mwenzake akiendelea kubeba jukumu la kutafuta kipato kilichosaaidia hata yeye kulipiwa ada huko masomoni.
Hakika uislam ni mfumo Bora kabisa wa maisha
 
Ndo tatizo la kutokuwa na michepuko hilo ,jamaa angekuwa na michepuko wala asingewaza chochote angamtema kiroho safi na kuendelea na maisha
Si kila mtu anataka kuwa na michepuko. Wengine huwa wanataka utulivu wa ndoa na wao wafocus na maisha katika utafutaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake.

Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife chuo hapo UDOM, baada ya wife kumaliza chuo jamaa akafanya makaratee wife akapata ajira Tamisemi wakaendelea vizuri

Boss mmoja inadaiwa Mkurugenzi akamtamani mke wa jamaa(marehemu) mara kidogo jamaa akatumwa kufanya kazi nje ya nchi huku bongo boss akaanza kumgegeda wife wa mchizi.

Jamaa ile anarudi bongo kamkuta wife mjamzito kuanza kumuuliza wife anajiuma uma mara wife akahamishiwa Dar kukaa tena wife akadai wagawane mali hataki tena ndoa. Wife akaenda Mahakamani sijui alikuwa akipewa backup na boss Mahakama ikaamuru nyumba itiwe kufuli asikae mtu mpaka uamuzi wa Mahakama utolewe

Jamaa inadaiwa kwao wako vizuri sana huko Sumbawanga baba yake ni mmoja wa matajiri wa mwanzo wakubwa. Jamaa alikuwa ana nyumba 4, tatu zipo Dom moja Kisasa,Ilazo na mbili Kikuyu ambapo moja ni ghorofa na nyingne ipo Moro

Basi jamaa baada kuondoshwa kwenye nyumba na Mahakama akaenda nyumba yake ya Kisasa ndio siku moja kaenda kula vyombo Morena baada ya hapo akakutwa kafa ndani ya gari kwenye parking

Baada ya msiba ndugu wa marehemu walichofanya wakamwambia yule mke wake kuwa wao hawawezi kumnyanganya mali yoyote ila kwa kuwa alizaa na ndugu yao wakamwachia nyumba zote za marehemu ili mtoto akikua atazikuta na muda mchache baada ya kifo cha jamaa yule wife kapata uhamisho kurudi tena Dodoma.

Kweli duniani hakuna fair

----
Pia Soma
Ubosi mwingine mzuri sana. Yaani unakuwa boss mpaka kwa mke wa mtu! Unless kama ni tetesi, ila kama ni ukweli, huyo mtembea na wake za watu kwa ajira aliyopewa na Serikali, lazima atapoteza kazi yake muda siyo mrefu. Natamani ningekuwa na simu ya....
 
Back
Top Bottom